Ni Mambo Gani unaweza kusamehe au kutokusamehe?

Ni kweli Chauro kitu kingine ni je unaposamehe yule unayemsamehe ni kweli anakuwa amejifunza kutokana na makosa au ndio ile kuchukuliana for granted kwamba no matter what hata nikikosea nikimuomba msamaha atanisamehe tu kwasababu ananipenda
 
Moyo hutulia tu endapo utalipiza kwa
1. kumsamehe au
2. jino kwa jino.

mara nyingi hii ya pili ndo inafanya kazi kweli kweli moyoni, kusamehe bwana hakuishi, kuna siku utakumbuka tu na pia ni ni yakinadharia zaidi. Ni kama mtu anatoa pesa feki na kupewa dhahabu feki, anayepokea msamaha na anayetoa wote yawezekana ni maneno tu ila moyoni bado limo. Ila jino kwa jino hapo ni biyeeee, e.g akibaka nayeye wanamdo ili wote wabaki na kumbukumbu mbaya maishani mwao
 

.......Utusamehe makosa yetu KAMA sisi tunavyowasamehe wale wote waliotukosea.......... this is very strong philosophical and spiritual wise.
 
Msamaha does not mean kwamba uendelee kukaa na mtu...., What I mean ni kwamba you let it go.... lakini unamake sure that does not happen again unaweza ukamuacha mwenza wako and go separate ways lakini ukamsamehe na sio ku-hold the grudge
 
Mie muiraqw nitakuua na wewe na mimi pia. Uue mwanangu Mungu wangu hebu ngoja niwacheki watoto wangu home dah umenishitua mie kwa hilo dear siwezi kusamehe milele.
Wacheki uwe upate amani mpenzi!Hawa watu wanafanya mchezo!
 
Mat 6:14
http://biblia.com/bible/niv/Matthew 6.14For if you forgive men when they sin against you, your heavenly Father will also forgive you.
Ephesians 4:32
Be kind and compassionate to one another, forgiving each other, just as in Christ God forgave you

Lizzy

Forgiveness is a decision of the will. Since God commands us to forgive, we must make a conscious choice to forgive. This frees the forgiving one from the past. Once you forgive you should bury it and forget. You should move on.
 
Msamaha does not mean kwamba uendelee kukaa na mtu...., What I mean ni kwamba you let it go.... lakini unamake sure that does not happen again unaweza ukamuacha mwenza wako and go separate ways lakini ukamsamehe na sio ku-hold the grudge
Hapo VOR tuko pamoja wengi wetu ndio tunashindwa hapo
 
Baba Mchungaji:clap2::clap2::clap2:
 
Wacheki uwe upate amani mpenzi!Hawa watu wanafanya mchezo!

Sasa nina amani wote wamesharudi shule ila huyo mkubwa yuko boarding naona bado yuko darasani maana simu hapokei nimeongea na mwalimu kasema wanavipindi mpaka saa 10 so niko ok
 
Kusamehe inategemea na ulichotendewa, kuna vingine vinasameheka, lakini vingine ngumu kutokana na aina ya kosa.
 
unajua pale tunaposamehe huwa tunategemea lolote kutoka kwa muhusika nia na lengo hasa linakuwa kuondoa vile vinyongo na kutufanya tuweze kusonga mbele na maisha.binadamu tunatofautiana sana nimeshaona watu waliosamehewa na wakaendelea kujutia makosa yao maisha,na kuna wale ni kama unapigia mbuzi gitaa ,wengine ndo ivo wiki moja mbili anakuwa mpole anarudia kulekule .

Ni kweli Chauro kitu kingine ni je unaposamehe yule unayemsamehe ni kweli anakuwa amejifunza kutokana na makosa au ndio ile kuchukuliana for granted kwamba no matter what hata nikikosea nikimuomba msamaha atanisamehe tu kwasababu ananipenda
 

je mpenzi wako akisex nje na mwanamke mwingine,
na wewe utafanya the same?
 


another BROKEN HEART....!
 
Kusema kweli japo kwa hali ya kibinadamu ni vigumu kusamehe yatupasa kusamehe tena kwa kila jambo, kubwa au dogo. Haijalishi umeombwa msamaha au la, au umekosewa mara ngapi inakupasa usamehe na kusahau.

Si wote wanaweza kusamehe lakini pamoja na yote inakupasa umuombe Mungu akupe roho ya Upendo ili uweze kusamehe na kusahau unapokosewa.

Kama Mungu asingetusamehe makosa yetu nani angesimama?

Ukiangalia sana utagundua kuwa suala la kuhukumu si letu, ni kazi ya Mungu, aachiwe Mungu!

Mungu anasema, wafanyieni watu yale mnayopendwa mfanyiwe! Je, ikitokea umemkosea mwenziyo iwe kwa kudhamilia au sivyo, kosa kubwa ama sivyo (ikumbukwe kwa Mungu dhambi ni dhambi) ungependa utendewe nini? Usamehewe au uhukumiwe? Bila shaka ungependa uhurumiwe na kusamehewa mia mara mia! Mkuki kwa nguruwe!.

Kipimo ukipimacho kwa mwenzio utapimiwa! Samehe uwe na amani na Mungu wako.

Mungu hakumuumba mwanadamu ili aue, ila amtumikie lakini shetani anatutumia kutukosanisha na Mungu wetu. Vita vyetu na viwe juu ya shetani na si binadamu wenzetu! Vita vita vyetu ni vya kiroho! Hebu tuwasamehe na tena tuwaombee wanaotukosea. Huo ndiyo upendo wa kweli.

It is not enough for gardners to hate weeds, they must cultivate them! Unapochukia dhambi, chukia kwa vitendo!
 
VoR you are just trying to excuse everybody!The society is not in attempt to help itself by locking up these people up!It's punishing them by taking away their freedom..make them live in a way that is not meant for humans..so the society..us collectivelly do not forgive we condemn!
 
Ngoja nianze na wewe ili nikamalizie na Lizzy.
Kuna pande mbili za haya mambo........Mtu akikukosea, akitambua kuwa amekukosea, akakuomba msamaha, maana yake amegundua alililotenda kuwa si jema kwako hivyo anakusudia kutokufanyia tena. (hapa haijalishi ukubwa wa tendo/kosa. Lakini makosa yapo ya aina mbili......amabyo mkosaji anakuwa amekukosea wewe tu, na hakuna hatari ya kuwa ameikosea jumuiya inayokuzunguka, au amekukosea wewe na jumuiya nzima au ni hatari kwa jumuia inayo mzunguka. Mfano, cheating is more personal, Kuiba is swala la jumuia zaidi, au kubaka ni jambo la jumuia zaidi......inampasa mkosaji aiombe radhi jumuia, na kwa kuwa sio rahisi, na jumuia imejiwekea utaratibu wa kuishi, basi huyo mtu anatakiwa aondolewe kwenye jumuia hiyo.

Now: Kama mume au mke anakutwanga kila siku, huwezi kusema simsamehi au namsamehe........ukisamehe unaendelea kula kichapo usiposamehe unakula kichapo vile vile.......Hili sio jambo la msamaha ukiwa ndani........toka kwenye mahusiano hayo, then samehe na endelea na maisha.

makosa mengine yanajadilika.....kama mtu ana-cheat na anaomba msamaha na maisha yanaendelea bila tukio jingine sasa ugonvi wa nn.

Swala la MSAMAHA ni jambo ambalo ni discussion kubwa among wanawake.........hasa kwa makosa yanayoumiza hisia zao, ni wagumu kusamehe. NDIYO ni wagumu kusamehe.......na hawasahau. Kuchanganya msamaha wa makosa makubwa kama kuua mtoto na cheating inaonyesha wazi ni kwa jinsi gani hisia za wanawake zilivyo na thamani kwao kuliko tunavyoweza kufikiri.

ILA KUSAMEHE NI KAZI NGUMU NA AMANI ITOKANAYO NA MSAMAHA NI AMANI ILIYO KUU. HUWEZI KUISHI KWA KUTOSAMEHE or at least KUSAHAU basi.
 
Asiye na moyo wa kusamehe hafai kabisa! Maisha ni kukoseana na kusameheana na kusahau. Anayekusamehe na kukuambia sintosahau huyu ni heri aseme hakuna msamaha hapa wewe chapa mwendo. Its about kindness and compassionate to each other! Hakuna asiyekosea na asiyehitaji kusamehewa. Hata tukienda kitaalamu genetically we are all different we need adjustment to accommodate each other kwa kusameheana. Mimi hata ukicheat nitakusamehe provided na mimi nikianguka nisamehewe lol
 
Ubakwe halafu useme usamehe?? Tatizo ni yale makovu yanayokuwa ndani imagine kila siku unakutana na huyo mbakaji wako how would you feel?? Hapo sidhani kama msamaha utafanya kazi
Absolute truth!Wakati msamaha unaendana na KUSAHAU..utawezaje wakati majeraha yako pale..makovu..aliyekutenda unamuona kila siku!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…