Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
😂😂We financial unanitegaHongera, hivi hana hata kaka yake tuwe ndugu sisi😀😀(joke bana)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂We financial unanitegaHongera, hivi hana hata kaka yake tuwe ndugu sisi😀😀(joke bana)
😂😂😂😂 haamini acha abaki na makurubembe yakeWatu wana makovu kwenye mahusiano punguzeni kutoa ushuhuda watu wamepigwa matukio mpaka wamepoteana, dah
Kazi anayo aiseeSijawahi aga naenda wapi wala nitarudi lini au saa ngapi? Ko hata mechi za ugenini zinaponea humo!
Ni mwiko kuniuliza nilikuwa wapi au nimetoka wapi Ko mi hata saa nane usiku nitarudi/kutoka kwangu hilo halina mjadala alishazoe nirudi home nisirudi ye hana noma simu yangu ni mwiko kuishika au kuhoji ulikuwa unaongea na nani?
Why jamani nipo serious ujue😀😂😂We financial unanitega
Si ushasema tunadanganya tulia basi waliokubali kudanganywa wafurahie vya uongoAnakupotosha huyo.
Nisije kuachika bure sababu ya dawa😀😂😂😂😂
Unataka kauhuru flani hivi, ukishuka Airport uwe huru kuchagua aina ya usafiri unataka, ila shukuru kwa kumpata wa namna hiyo, he cares! Binafsi pia nampokea, ila kwa kuombwa, yaani siwezi kwenda kwa Magufuli bila yeye kuniomba.Wangu jamani uwii! Ukikosea analisema jambo kama lilivyo bila hata chembe ya kupepesa macho.
Which is good, but kuna mambo huwa anakosea nashindwa kumface kumchana nampotezea tu nikiamini anajua anachofanya, ila ikija upande wangu nachanwa chanwa bila kuremba kitu. Sasa naona why mimi nambebea madhaifu yake yeye hanibebei? Is it fair?
Ukisafiri ukiwa unarudi lazima alazimishe kuja kukupokea, yaani hii ni lazima sio ombi, tatizo ni kwamba hata umwambie nusu saa kabla hujafika, au lisaa kabisa lazima achelewe, yaani lazima achelewe. Kwahiyo mimi kukaa airport/Au stendi dakika 10/15/20 ni kitu cha kawaida tu. Nilishamshauri hili suala la kunipokea aliache, ntapanda tax, bajaji etc ila hakubali ng'oo ni bora umuue! Nishanuna sana, nishazira sana ila haisaidii. Mwaka wa 9 huu.
Anyways.... Naishi humo!
Je anakagua simu yako?Wakuuu habari za usiku.
Moja kwa Moja twende kwenye maada. Mimi kwa upande wangu mapungu yafuatayo kitoka kwa mama watoto wangu nimekubali KUISHI NAYO.
1. Kuto pokea simu.
Mke wa Mimi hapokei simu hata aione inaita hataahughulika NAYO Hadi amalize shughuli zake. Ukimpigia simu asipo pokea usijisumbue kutuma sms,ukituma Kuna siku utaisoma mwenyewe.
2. Dawa ya mswaki.
Kwenye matumizi ya hii KITU yeye huminya popote pale.
3. Hajichanganya na WATU.
Yeye ni kazini,nyumbani na kanisani. Haendi tofauti na maeneo hayo labda kwenye mambo ya jamii.
4. Ukimkosea hakiulizi na haoneshi kama amechukia ila utaulizwa siku nyingine na atawasilisha kwa njia ya utani.
5. Akikukosea ukiuliza atakuambia nisamehe baba......... hapo hata uongee vipi hatakujibu.
Hapendi kabisaa kijichanganya na WATU hasa ukitaka umuudhi fika nyumbani Anza kumwongelea mtu hapendi kabisaa na anachukia kwa dhati.
Haya ndo baadhi ya mambo ambayo nimeamua KUISHI NAYO na nimefamikiwa KUISHI NAYO kwa muda wa miaka 19 ya ndoa yetu.
Ana makasiriko kweli hajawah kupendwa wala kupenda ,wa kumuacha huyo anune apasuke sie yetu yanasongaSi ushasema tunadanganya tulia basi waliokubali kudanganywa wafurahie vya uongo
Ka mwandiko kako ka upole kweli watoto wa mamkwe hawakuoni😂😂 mchukue huyu jimmygateteWhy jamani nipo serious ujue😀
Mkuu siku utapata matatizo huko, yeye atahisi ni kawaida yako either kutokurudi home, yaani mkeo asikuulize umetoka wapi uchelewa bila taarifa, mbona ubabe sana🤔Sijawahi aga naenda wapi wala nitarudi lini au saa ngapi? Ko hata mechi za ugenini zinaponea humo!
Ni mwiko kuniuliza nilikuwa wapi au nimetoka wapi Ko mi hata saa nane usiku nitarudi/kutoka kwangu hilo halina mjadala alishazoe nirudi home nisirudi ye hana noma, simu yangu ni mwiko kuishika au kuhoji ulikuwa unaongea na nani?
Nilichoshindwa ni kumuita mama flani siwezi
Namuita kwa jina lake alishazoea po pote pale
Na anajua kuandika gazeti huyo ngoja aje kunijibu nilivyo muongo na navyojifariji😂😂😂Ana makasiriko kweli hajawah kupendwa wala kupenda ,wa kumuacha huyo anune apasuke sie yetu yanasonga
Weee bora abaki single hakuna mtu hapo 😂Ka mwandiko kako ka upole kweli watoto wa mamkwe hawakuoni😂😂 mchukue huyu jimmygatete
Na hao ndo wengi watoto wa mama wakwe watatuuaMkuu siku utapata matatizo huko, yeye atahisi ni kawaida yako either kutokurudi home, yaani mkeo asikuulize umetoka wapi uchelewa bila taarifa, mbona ubabe sana🤔
Na hao ndo wengi watoto wa mama wakwe watatuua
Namba 2 hiyo huwa inakera kubinya popote pale
Na anajua kuandika gazeti huyo ngoja aje kunijibu nilivyo muongo na navyojifariji[emoji23][emoji23][emoji23]
Pashikilie shoga, maana hali sio ni kupelekwa kama ng'ombe usiulize mume alipo usishike simu yake akirudi saa tisa poa tuKazi anayo mwanamke mwenzetu,mim hapa nilipo nabaki hapa hapa aisee hakuna marafiki ni sisi tu mi na yeye tu
Sipendi mwanaume anashinda na marafiki muda mwingi wana kunywa pombe au kuzurura hovyo
Yawaaa kazi kweli ubabeee na uonevuPashikilie shoga, maana hali sio ni kupelekwa kama ng'ombe usiulize mume alipo usishike simu yake akirudi saa tisa poa tu