Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Wangu wakati nataka yale mambo yetu,ananuzungusha kama zile siku za mwanzo mwanzo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wangu wakati nataka yale mambo yetu,ananuzungusha kama zile siku za mwanzo mwanzo.
Wanasema hakuna watu wambea kama mume na mke wanaopendana, mke wako anakupenda sanaUmbea….. kila jion hua sitakiwi kua karibu na simu wala tv, nikuanza kupewa habari za kitaifa na kimataifa, kabla ya kua nae sikuwahi kujua ni mbea kiasi hiki, umbea ukiwa mpya napigiwa simu nikiwa kazini niwahi nyumban leo kumbe issue ni umbea tu, yan akikosa umbea atanza hata kunipa story za mtoto au wateja wake kazini yan akikosa kabisa ananza kuniletea story za kwenye viseries vya kwenye group zake huko ilimradi aongee tu na kumsikiliza iyo ni lazima sio ombi.
Watu ambao hamjawahi kupendwa jamani 😀😀 mnahisigi ni tamthiliya ama mwingine anaona unamset..Maisha ya tamthilia za kifilipino hayo. Mbona sisi huku kwetu Mbeya hakuna wanawke wenye hizo mambo. Maandishi yanaelezea umri na tabia ya mtu.
Ili kumfunga mdomo tu 😂😂😂 awaze mengine🤣🤣
Nimeipenda hii.
Halaf yeye na mwanamke wake ukute wanakuwa siriaz sana ,ukute yupo single kwanza huyu 😂😂😂😂Watu ambao hamjawahi kupendwa jamani 😀😀 mnahisigi ni tamthiliya ama mwingine anaona unamset..
Wacha weeeeeee 😁😁😁😁😁😄Watu ambao hamjawahi kupendwa jamani 😀😀 mnahisigi ni tamthiliya ama mwingine anaona unamset..
Ningekuwa single ningetaka connection ya gigy?😁😁😆😆😆Halaf yeye na mwanamke wake ukute wanakuwa siriaz sana ,ukute yupo single kwanza huyu 😂😂😂😂
Lakin sioni ubaya mtu akiminyia popote 😂😂😂Mnaoshangaa namna ya kuminya dawa ya mswaki…
Mshua alitufundishaga enzi hizo kwamba kiustaarabu tu na kinidhamu dawa ya mswaki inapaswa iminywe chini.. minya chini kadri inavyosogea.
Sasa wengine unakuta anaminya kati, mara kaminya juu.. dawa inabaki na shape mbaya kweli kweli
Acha kujichukulia sheria mkononi na hilo baridiNingekuwa single ningetaka connection ya gigy?😁😁😆😆😆
Basi tu ni ktk mambo ya kuwa organized 😃😃Lakin sioni ubaya mtu akiminyia popote 😂😂😂
1. Mvivu sana hata nyumba hafagii yote. N jioni na sebuleni tu. Nguo najifulia mwenyewe. Shuka mpaka uzitoe ndo kwa aibu atafua.
2. Mchafu.
tuendelee kunawa na kuvaa barakoa😀Kuwahi paja la kuku wakati nisha mwambia ilo ni langu. Saivi ni kuwahiana tu
Huyu naye ni mwanamke na kuna mtu anasema ana mwanamke au mzazi anasema ana binti hapa. Kwa maneno na maandiko yako, inathibitisha kuwa yale uliyoyaandika kuwa madhaifu ya mmeo ni chai. Hakuna mwanamke mwenye mme na mtu mzima anaandika haya uandikayo na pia anataka atumiwe video ya ngono ya mwanamke mwenzie.Acha kujichukulia sheria mkononi na hilo baridi
Hahahahahah huo udhaifu ni positive kwenye maisha yenu. Hongera sana mkuu tatizo ni overdoing it🤣Bora wewe unajibiwa asante baba, wengine ni wanabisha hawajakosea na wako sahihi.. 🤣😂
Ukishinda hoja utaambiwa basi yaishe.
Nina mwanangu ana majanga, wakati mwingine unaona hata aibu kumtembelea nyumbani kwake.
Mkewe ana kaujeri kakimya kimya, ukimuona ni mpole lakini ni mjeuri kinoooma, mwanangu anapata tabu saana, kuna muda anafikiria kumuacha.
Mie wangu ni kutaka kujua kila kitu in details, ananiboa saana, chochote kile atataka in details, hata apige simu mtu akuongeleshe atakuuliza nani huyo, ndio yupi. 😂🤣 Unamuliza utamjuaje sasa, hata nikikutajia fulani huwezi kumjua 😂, sijui ni kupenda kuongea na simu au vipi
Hata umpelekee zawadi atataka kujua yoote, kama umekopa, umemnunulia na sh ngapi, unajiuliza we unataka kujua nini, yaani ni shughuli pevu 😂
Kingine anapenda mnoo kuongea na simu, bora muwe karibu hii inasaidia, akiwa mbali anapiga simu ataongea mpaka stori zaitaisha, mie mvivu kubonga na FONI naishia kuweka loudspeaker tu.
Sometimes hana stori, anakupihia anakwambia mwanao anakuita, sasa mtoto Mwenyewe ndio bado hajatimiza mwaka vizuri, kuongea haongei, unajua tu hapa nimemisiwa.
Mengine madogo madogo, yanachangiwa na maisha yangu ya awali.
Elewa neno AWALI. lizingatie vema.
Mkuu kama hachepuki hapa naona kabisa umepata mke mwema ila kwenye hiyo namba moja ndiyo mapungufu tuu hayo mengine ni sifa za mke mwema.Wakuuu habari za usiku.
Moja kwa Moja twende kwenye maada. Mimi kwa upande wangu mapungu yafuatayo kitoka kwa mama watoto wangu nimekubali KUISHI NAYO.
1. Kuto pokea simu.
Mke wa Mimi hapokei simu hata aione inaita hataahughulika NAYO Hadi amalize shughuli zake. Ukimpigia simu asipo pokea usijisumbue kutuma sms,ukituma Kuna siku utaisoma mwenyewe.
2. Dawa ya mswaki.
Kwenye matumizi ya hii KITU yeye huminya popote pale.
3. Hajichanganya na WATU.
Yeye ni kazini,nyumbani na kanisani. Haendi tofauti na maeneo hayo labda kwenye mambo ya jamii.
4. Ukimkosea hakiulizi na haoneshi kama amechukia ila utaulizwa siku nyingine na atawasilisha kwa njia ya utani.
5. Akikukosea ukiuliza atakuambia nisamehe baba......... hapo hata uongee vipi hatakujibu.
Hapendi kabisaa kijichanganya na WATU hasa ukitaka umuudhi fika nyumbani Anza kumwongelea mtu hapendi kabisaa na anachukia kwa dhati.
Haya ndo baadhi ya mambo ambayo nimeamua KUISHI NAYO na nimefamikiwa KUISHI NAYO kwa muda wa miaka 19 ya ndoa yetu.
Hahahahahah mke yuko disorganized ndio maana anapoteza vitu hovyo.Hahah mkuu tunasafiri boti moja!
Mimi sasa nimepanga niende kwa fundi anitengenezee draw ndogo yenye lock kwa ajili ya kuweka vitu vyangu vidogo vidogo,jumapili iliyopita nilikuwa home sasa kuna wakati nikahitaji kutumia kalamu nikatafuta zinakokaa nikakosa kuna sehemu kabatini huwa naweka pen ya dharura kwenda kuangalia haipo mara anaenda kuileta kutoka juu ya fridge jikoni.
Na sijui alijuaje kama pana kalamu maana niliificha,socks kupata pair inayofanana ndiyo shughuli zaidi naweza kukaa mwezi sijavaa socks zinazofanana rangi utakuta rangi moja ipo kabatini moja ipo kwenye kamba nje nyengine zimechanganyika kwenye nguo za watoto,ni changamoto sana.
😂😂😂😂😂😂😂Huyu naye ni mwanamke na kuna mtu anasema ana mwanamke au mzazi anasema ana binti hapa. Kwa maneno na maandiko yako, inathibitisha kuwa yale uliyoyaandika kuwa madhaifu ya mmeo ni chai. Hakuna mwanamke mwenye mme na mtu mzima anaandika haya uandikayo na pia anataka atumiwe video ya ngono ya mwanamke mwenzie.
Hii inathibitisha ujumbe wanaozungushaga vijana humu kuhusu wanawake wa JF kuwa yaliyo mengi ni ukiwemo na makahaba, yaliyoshindikana, yamezalishwa na kuachwa, yana misongo ya mawazo na mengi ni maathirika sasa yanatumia fake ID kutoa uchungu wao na kuleta imagination zao huku yanajibebisha ili kuwanasa vijana wa hovyo na wenye tamaa. Byeeeeeee we kahaba humipati ngooo. Ushindwe na ulegeee.
Safi sana, mpatie nyonyo na ile kitu kisawa sawa.Ili kumfunga mdomo tu 😂😂😂 awaze mengine
Hata twende sasa kule mitupioniSafi sana, mpatie nyonyo na ile kitu kisawa sawa.
Hahaaaaa, bro umenichekesha sana asubuhi hii.Huyu naye ni mwanamke na kuna mtu anasema ana mwanamke au mzazi anasema ana binti hapa. Kwa maneno na maandiko yako, inathibitisha kuwa yale uliyoyaandika kuwa madhaifu ya mmeo ni chai. Hakuna mwanamke mwenye mme na mtu mzima anaandika haya uandikayo na pia anataka atumiwe video ya ngono ya mwanamke mwenzie.
Hii inathibitisha ujumbe wanaozungushaga vijana humu kuhusu wanawake wa JF kuwa yaliyo mengi ni ukiwemo na makahaba, yaliyoshindikana, yamezalishwa na kuachwa, yana misongo ya mawazo na mengi ni maathirika sasa yanatumia fake ID kutoa uchungu wao na kuleta imagination zao huku yanajibebisha ili kuwanasa vijana wa hovyo na wenye tamaa. Byeeeeeee we kahaba humipati ngooo. Ushindwe na ulegeee.