Ni mapungufu gani ya mkeo/mumeo umeamua kuishi nayo?

Ni mapungufu gani ya mkeo/mumeo umeamua kuishi nayo?

Hahah mkuu tunasafiri boti moja!

Mimi sasa nimepanga niende kwa fundi anitengenezee draw ndogo yenye lock kwa ajili ya kuweka vitu vyangu vidogo vidogo,jumapili iliyopita nilikuwa home sasa kuna wakati nikahitaji kutumia kalamu nikatafuta zinakokaa nikakosa kuna sehemu kabatini huwa naweka pen ya dharura kwenda kuangalia haipo mara anaenda kuileta kutoka juu ya fridge jikoni.

Na sijui alijuaje kama pana kalamu maana niliificha,socks kupata pair inayofanana ndiyo shughuli zaidi naweza kukaa mwezi sijavaa socks zinazofanana rangi utakuta rangi moja ipo kabatini moja ipo kwenye kamba nje nyengine zimechanganyika kwenye nguo za watoto,ni changamoto sana.
Pole huyo mkeo hayupo makini. Vitu kama socks ukishaanua zinaunganishwa pamoja ili zisipotee. Na ni vyema ukawa na sehemu maalumu ya kuzihifadhi.
 
Pole huyo mkeo hayupo makini. Vitu kama socks ukishaanua zinaunganishwa pamoja ili zisipotee. Na ni vyema ukawa na sehemu maalumu ya kuzihifadhi.
Mbona hata mimi naweza nikaweka kitu mahali na baada ya muda nikasahau?siwezi kusema hayupo makini kwa sababu ukiondoa hizi changamoto chache vingine vyote anavifanya kwa usahihi,anajitambua kama mke na mama ndani ya nyumba.

Ni kusema hizi kwa kiasi kidogo sana huwa ni kero lakini huwezi kuziita ni kero wakati yale ya msingi anayafanya correctly,zamani nilikuwa naongea sana kuhusu vitu kama hivi lakini nilipoona havibadiliki nikaachana navyo maisha yanaenda.
 
Kwa upande wangu sina mke kwa sasa, lakini nina mpenzi, nampenda sana, ila huwa ananichekeshaga sana.

1. Ana hasira za karibu(Plus ukorofi)
-kipindi ambacho anakujaga kuishi kwangu huwa anafanya vitu vinanikera sana hadi sometimes nachekaga tuu, ana sura ya kitoto, sauti ya kitoto, ni mfupi, yaan basically ni mtoto ndo maana hata akinikera nashindwa hata cha kumfanya mwishowe nacheka tuu.
-huwaga mara nyingi nachelewaga kurudi, sasa yeye hataki nichelewe kurudi, hataki kabisaaa, na ukimwambia nilikuwa sehemu flani hataki, yeye anachojua mm nilikuwa na wanawake wengine, hii inampelekea kufoka, kununa(sunajua zile morning drama, yaan asubuhi anawasha generator, halizimiki hata useme nn) pamoja na kushtaki kwa mama angu, sasa kuna siku hio sitoisahau, tulikuwa tunabishana akanimwagia maji usoni, aisee nilikasirika vibaya mno, aligundua nimekasirika akaanza kujiliiza, ugomvi wenyew ulikuwa ni wa kijinga sana, huwaga anafanya mambo kwa hasira alaf badae anaanza kujuta.

2. Anapenda kulia
-Baada ya kukukera, ukianza kuja juu analia, atalia hapo nusu saa nzima, Kitu kidogo tuu analia, na akianza kulia atakukumbushia mambo uliyomfanyia miezi sita iliyopita, na analia kokote hachagui sehemu ya kulia, barabarani, kweny mgahawa, kanisani etc
-Kuna siku tulikuwa kweny mkusanyiko wa watu akaanza kulia hadi watu wakawa wanatuangalia, na ukimbembelea ndo unachochea.
-Yaan ukimkosea analia na akikukosea wewe bado analia yeye, hadi leo bado sijaelewa hio kitu ikoje.

3. Anaongea sana
-Ila sikuiz nishamzoea, akianza kuongea naweka simu chini naanza kumsikiliza, anapenda sana kuniadisia mambo yake, na akianza kuadisia hamalizi, huwa sometimes hadi nasinzia, utakuta ananishtua anasema "mbona unalala au nakuboa?" sasa ole wako useme "Ndio", utazalisha kesi nyingine na mwisho wake ni vilio.

Mazuri yake;
-Anapatana sana na mama yangu.
-Ananipaga ushauri mzuri.
-Ni msafi.
-Pamoja na kuwa mkorofi anajua wapi amekosea na anaomba msamaha
-Ana maisha yake, hapendi kuiga watu.
-Anajiheshimu sana, havai nusu uchi.
-Hatumii pombe, sigara wala kilevi chochote, sio mtu wa kwenda bar/club.
-Ana hofu ya mungu.
 
Kwa upande wangu sina mke kwa sasa, lakini nina mpenzi, nampenda sana, ila huwa ananichekeshaga sana.

1. Ana hasira za karibu(Plus ukorofi)
-kipindi ambacho anakujaga kuishi kwangu huwa anafanya vitu vinanikera sana hadi sometimes nachekaga tuu, ana sura ya kitoto, sauti ya kitoto, ni mfupi, yaan basically ni mtoto ndo maana hata akinikera nashindwa hata cha kumfanya mwishowe nacheka tuu.
-huwaga mara nyingi nachelewaga kurudi, sasa yeye hataki nichelewe kurudi, hataki kabisaaa, na ukimwambia nilikuwa sehemu flani hataki, yeye anachojua mm nilikuwa na wanawake wengine, hii inampelekea kufoka, kununa(sunajua zile morning drama, yaan asubuhi anawasha generator, halizimiki hata useme nn) pamoja na kushtaki kwa mama angu, sasa kuna siku hio sitoisahau, tulikuwa tunabishana akanimwagia maji usoni, aisee nilikasirika vibaya mno, aligundua nimekasirika akaanza kujiliiza, ugomvi wenyew ulikuwa ni wa kijinga sana, huwaga anafanya mambo kwa hasira alaf badae anaanza kujuta.

2. Anapenda kulia
-Baada ya kukukera, ukianza kuja juu analia, atalia hapo nusu saa nzima, Kitu kidogo tuu analia, na akianza kulia atakukumbushia mambo uliyomfanyia miezi sita iliyopita, na analia kokote hachagui sehemu ya kulia, barabarani, kweny mgahawa, kanisani etc
-Kuna siku tulikuwa kweny mkusanyiko wa watu akaanza kulia hadi watu wakawa wanatuangalia, na ukimbembelea ndo unachochea.
-Yaan ukimkosea analia na akikukosea wewe bado analia yeye, hadi leo bado sijaelewa hio kitu ikoje.

3. Anaongea sana
-Ila sikuiz nishamzoea, akianza kuongea naweka simu chini naanza kumsikiliza, anapenda sana kuniadisia mambo yake, na akianza kuadisia hamalizi, huwa sometimes hadi nasinzia, utakuta ananishtua anasema "mbona unalala au nakuboa?" sasa ole wako useme "Ndio", utazalisha kesi nyingine na mwisho wake ni vilio.

Mazuri yake;
-Anapatana sana na mama yangu.
-Ananipaga ushauri mzuri.
-Ni msafi.
-Pamoja na kuwa mkorofi anajua wapi amekosea na anaomba msamaha
-Ana maisha yake, hapendi kuiga watu.
-Anajiheshimu sana, havai nusu uchi.
-Hatumii pombe, sigara wala kilevi chochote, sio mtu wa kwenda bar/club.
-Ana hofu ya mungu.
Huyu ana vumilika unless kama ana chepuka ni tatizo..
 
IMG_9667.jpeg
Hehee ebu ngoja pia nichungulie dawa yangu hapa ina hali gani😀😀
 
Wakuuu habari za usiku.

Moja kwa Moja twende kwenye maada. Mimi kwa upande wangu mapungu yafuatayo kitoka kwa mama watoto wangu nimekubali KUISHI NAYO.

1. Kuto pokea simu.
Mke wa Mimi hapokei simu hata aione inaita hataahughulika NAYO Hadi amalize shughuli zake. Ukimpigia simu asipo pokea usijisumbue kutuma sms,ukituma Kuna siku utaisoma mwenyewe.

2. Dawa ya mswaki.
Kwenye matumizi ya hii KITU yeye huminya popote pale.

3. Hajichanganya na WATU.
Yeye ni kazini,nyumbani na kanisani. Haendi tofauti na maeneo hayo labda kwenye mambo ya jamii.

4. Ukimkosea hakiulizi na haoneshi kama amechukia ila utaulizwa siku nyingine na atawasilisha kwa njia ya utani.

5. Akikukosea ukiuliza atakuambia nisamehe baba......... hapo hata uongee vipi hatakujibu.
Hapendi kabisaa kijichanganya na WATU hasa ukitaka umuudhi fika nyumbani Anza kumwongelea mtu hapendi kabisaa na anachukia kwa dhati.

Haya ndo baadhi ya mambo ambayo nimeamua KUISHI NAYO na nimefamikiwa KUISHI NAYO kwa muda wa miaka 19 ya ndoa yetu.


You have the best wife brother, Mshukuru Mungu sana na mthamni.
 
Mie nikijua nimeyabananga, naomba tu msamaha, kwani neno lenyewe halinikati hata pumzi.

We kama ni muomba msamaha mzuri, uje nikuoe rafiki yangu, mkewe kiswaswadu, hajui kukosea, hajui kuomba msamaha. 😂🤣
mi kwenye mahusiano nakuwaga mdogo sana ila sio kwenye maisha mengine hapo kuuomba msamaha sio rahisi kabisa,

kuna neno asante, pole na samahani haya matatu husaidia kudumisha mahusiano au kubomoa
 
Personally mama chanja amekua nguzo kubwa sana kwangu. Tunatofautiana, yeye ni super organized alaf mimi sasa ni totally opposite. Kweli anajitahd, kila kitu anaweka sawa after me na ameshazoea.
Jam ni pale akinuna, wooi, ukizubaa mnaeza enda hata siku 3. Nlichoamua kufanya, nkiona amenuna, namtema kwanza nakua nahangaika na mishe zangu, anaanza kuona wivu, akishafika hyo stage, nakaza vifuniko vyote ndani ya nyumba, lazma anitafute aniombe msaada. Tunaanza kuongea tena.
Lakini watoto analea vzur, nyumba n safi mida wote, chakula standard kabisa n.k
Mungu ampe maisha marefu seedco wangu
Safi sana hakika mko vizuri

katabia kakununa tunako wengi hata mie ninako tena sana 😂kananikera kila mara najisemea sitanuna tena lakinj ndo yesheyesheyeshe, narudi kule kule na naona kabisa inavyomnyima raha ila ndo mambo ya drama tena, itabidi nikaombewe aisee
 
Kwa upande wangu sina mke kwa sasa, lakini nina mpenzi, nampenda sana, ila huwa ananichekeshaga sana.

1. Ana hasira za karibu(Plus ukorofi)
-kipindi ambacho anakujaga kuishi kwangu huwa anafanya vitu vinanikera sana hadi sometimes nachekaga tuu, ana sura ya kitoto, sauti ya kitoto, ni mfupi, yaan basically ni mtoto ndo maana hata akinikera nashindwa hata cha kumfanya mwishowe nacheka tuu.
-huwaga mara nyingi nachelewaga kurudi, sasa yeye hataki nichelewe kurudi, hataki kabisaaa, na ukimwambia nilikuwa sehemu flani hataki, yeye anachojua mm nilikuwa na wanawake wengine, hii inampelekea kufoka, kununa(sunajua zile morning drama, yaan asubuhi anawasha generator, halizimiki hata useme nn) pamoja na kushtaki kwa mama angu, sasa kuna siku hio sitoisahau, tulikuwa tunabishana akanimwagia maji usoni, aisee nilikasirika vibaya mno, aligundua nimekasirika akaanza kujiliiza, ugomvi wenyew ulikuwa ni wa kijinga sana, huwaga anafanya mambo kwa hasira alaf badae anaanza kujuta.

2. Anapenda kulia
-Baada ya kukukera, ukianza kuja juu analia, atalia hapo nusu saa nzima, Kitu kidogo tuu analia, na akianza kulia atakukumbushia mambo uliyomfanyia miezi sita iliyopita, na analia kokote hachagui sehemu ya kulia, barabarani, kweny mgahawa, kanisani etc
-Kuna siku tulikuwa kweny mkusanyiko wa watu akaanza kulia hadi watu wakawa wanatuangalia, na ukimbembelea ndo unachochea.
-Yaan ukimkosea analia na akikukosea wewe bado analia yeye, hadi leo bado sijaelewa hio kitu ikoje.

3. Anaongea sana
-Ila sikuiz nishamzoea, akianza kuongea naweka simu chini naanza kumsikiliza, anapenda sana kuniadisia mambo yake, na akianza kuadisia hamalizi, huwa sometimes hadi nasinzia, utakuta ananishtua anasema "mbona unalala au nakuboa?" sasa ole wako useme "Ndio", utazalisha kesi nyingine na mwisho wake ni vilio.

Mazuri yake;
-Anapatana sana na mama yangu.
-Ananipaga ushauri mzuri.
-Ni msafi.
-Pamoja na kuwa mkorofi anajua wapi amekosea na anaomba msamaha
-Ana maisha yake, hapendi kuiga watu.
-Anajiheshimu sana, havai nusu uchi.
-Hatumii pombe, sigara wala kilevi chochote, sio mtu wa kwenda bar/club.
-Ana hofu ya mungu.
Mungu akupe nini tena ndg gunia la chawa? Hizo drama tunazo wanawake wengi na huwa tunazifanya tukiwa na mwanaume huyo 1, ukiona ke alikuwa hivyo then akaacha ujue mko zaidi ya mmoja hivyo mnamuweka bize kiasi hana muda wa drama, hii ni siri nawaibia chunguzeni ex wenu mliowafumania mtagundua hilo hawakuwa na hizo drama, sie wanawake drama na mapenzi ya kweli hutembea pamoja
 
Wanafanana tabia tu sio mmoja 😂😂usinitoe roho mie,kuna siku alinichosha kulalamika na kunung’unika nikamvuta kichwa nikamuwekea nyonyo mdomoni anyonye Halaf nikawa nambembeleza kama mtoto huku namtikisa alale akalala 😂😂😂😂 last born kibokooo
Hii ni Chai tena baridiiiiiiiiiiiiiiii. Hizi ni ndoto zako unazoota unatupiga sound hakuna mwanaume wa namna hii tena wa kiafrika na kama yupo basi atakuwa na shida ya akili au lah, jamaa wanamtindua. Kwa umri wangu wa miaka 40's ndio nimesoma na kujua kuw kuna mwanaume tena mme wa mtu ana hizi tabia. Pole hapo ke wawili wanaishi pamoja.
 
Mungu akupe nini tena ndg gunia la chawa? Hizo drama tunazo wanawake wengi na huwa tunazifanya tukiwa na mwanaume huyo 1, ukiona ke alikuwa hivyo then akaacha ujue mko zaidi ya mmoja hivyo mnamuweka bize kiasi hana muda wa drama, hii ni siri nawaibia chunguzeni ex wenu mliowafumania mtagundua hilo hawakuwa na hizo drama, sie wanawake drama na mapenzi ya kweli hutembea pamoja
Maisha ya tamthilia za kifilipino hayo. Mbona sisi huku kwetu Mbeya hakuna wanawke wenye hizo mambo. Maandishi yanaelezea umri na tabia ya mtu.
 
Wakuuu habari za usiku.

Moja kwa Moja twende kwenye maada. Mimi kwa upande wangu mapungu yafuatayo kitoka kwa mama watoto wangu nimekubali KUISHI NAYO.

1. Kuto pokea simu.
Mke wa Mimi hapokei simu hata aione inaita hataahughulika NAYO Hadi amalize shughuli zake. Ukimpigia simu asipo pokea usijisumbue kutuma sms,ukituma Kuna siku utaisoma mwenyewe.

2. Dawa ya mswaki.
Kwenye matumizi ya hii KITU yeye huminya popote pale.

3. Hajichanganya na WATU.
Yeye ni kazini,nyumbani na kanisani. Haendi tofauti na maeneo hayo labda kwenye mambo ya jamii.

4. Ukimkosea hakiulizi na haoneshi kama amechukia ila utaulizwa siku nyingine na atawasilisha kwa njia ya utani.

5. Akikukosea ukiuliza atakuambia nisamehe baba......... hapo hata uongee vipi hatakujibu.
Hapendi kabisaa kijichanganya na WATU hasa ukitaka umuudhi fika nyumbani Anza kumwongelea mtu hapendi kabisaa na anachukia kwa dhati.

Haya ndo baadhi ya mambo ambayo nimeamua KUISHI NAYO na nimefamikiwa KUISHI NAYO kwa muda wa miaka 19 ya ndoa yetu.
Umebahatika kuwa na mke mzuri! Hizi ni tabia nzuri kwa mke material hasahasa!
 
Back
Top Bottom