Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
5.Simu upokee haraka kama umebeba kikombe cha chai kitupe upokee simu yake
[emoji1787][emoji1787]
Maana usipopokea kesi kwanin uchelewe kupokea simu ,bora ukitupe upokeee kwanza kesi zinachosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
5.Simu upokee haraka kama umebeba kikombe cha chai kitupe upokee simu yake
[emoji1787][emoji1787]
Aiseeee....Dah, wangu alipata pressure ya uzazi baada ya kujifungua binti yetu wa pili ikaua usikivu wake pamoja ka kuzunguka mahospitali mbalimbali. Hili ni jaribu tulilonalo.
Kifuatacho ni mbengo kufongoka[emoji119][emoji119]
😁😁😁Huyu lazima atakuwa mfupi maana wafupi wabishi sana halafu Wana viburi kinoma
Aisee ana upendo wa kweli mwaya, imagine asingekua anakupenda asingebother kuuliza wala kuona wivu, hapo shikilianeni mzeeke pamoja.👍Acha aipate pate, anafurahisha sana namuhurumia asipate magonjwa tu, yani kila nifanyacho lazima atake kukijua simu isipopokelewa nijielezee kwa kina, kila siku nina kazi ya kusema ratiba yangu bila hivyo ni kesi tena kesi nzito sio masihara alishawahi nishtaki kwa mlezi wangu km mzazi tu kikesi cha kijinga hadi aibu,
😂😂😂😂 Daaah. Si huwa yanakuwa mawili. Au nyie huwa mnanunua jogoo mwenye mguu mmojaKuwahi paja la kuku wakati nisha mwambia ilo ni langu. Saivi ni kuwahiana tu
Mie nikijua nimeyabananga, naomba tu msamaha, kwani neno lenyewe halinikati hata pumzi.Sio wote, mi naomba msamaha hata mara 5 kwa siku na yenye kumaanisha sio ili yaishe, nyie wanaume ndo wagumu kuomba msamaha
Yaani kuomba msamaha tu , mbona jambo dogo sana hilo kwani tunakwama wapi hapo?Mie nikijua nimeyabananga, naomba tu msamaha, kwani neno lenyewe halinikati hata pumzi.
We kama ni muomba msamaha mzuri, uje nikuoe rafiki yangu, mkewe kiswaswadu, hajui kukosea, hajui kuomba msamaha. 😂🤣
Yaani kusemantu samahani mke wangu.. Aahh, dk 0 tu naomba samahani bika shaka.Yaani kuomba msamaha tu , mbona jambo dogo sana hilo kwani tunakwama wapi hapo?
mpeleke hospitali
Mimi pia sioni shida, tena naomba msahama huku nalia 😀 utanisamehe tuYaani kusemantu samahani mke wangu.. Aahh, dk 0 tu naomba samahani bika shaka.
Amina...... k iheshimiwe na watu wote....
😂😂😂😂 UnazinguaaaAhsante kwa taarifa, weka picha yake...
Kulalamika kuhusu uminywaji wa dawa ya meno ni tatizo la akili. Hawa watu wanakuwa na Obssessive compulsive disoredr(OCD). Akili zao huwa hazitulii mpaka kila kitu kifanywe kwa utaratibu.Ndio Mkuu, vile unaminya dawa ya meno kunaongea vile ulivyo. Kuna watu wanabinya kati kati, wengine juu, wengine mwisho na wengine mwisho alafu wanaikunja.
Nadhani mdau aliyelalamika ni hawa wakuminya mwisho ya tube, huwa ni watu wataratibu, makini na wenye utulivu kwenye mipango yao. No wonder analalamika.
Ukijichunguza utagundua huwa kuna mahali unabinya hiyo tube ya dawa kila siku.
sawa daddympeleke hospitali
😂😂😂 Kumbe Lamomy ni panyapuku
Ila sister unaonekana muungwana sana.. I hope one day nitakuja kukufahamu. Nimekuona unaandika vizuri kwenye nyuzi nyingi.Mapungufu yanachekesha , ila natumai kuna mazuri mengi yanayofanya mzidi kusonga mbele pamoja, keep moving mpaka kifo kije kuwatenganisha. I can't wait pia kuja kusimulia hivi😀😀🙏