Ni mapungufu gani ya mkeo/mumeo umeamua kuishi nayo?

Ni mapungufu gani ya mkeo/mumeo umeamua kuishi nayo?

1.Wivu baba cha wivuuu
2.Gubu jamani ili tu abembelezwe
3.Kudeka usiseme
4.Kulalamika
5.Simu upokee haraka kama umebeba kikombe cha chai kitupe upokee simu yake

Haya mapungufu machache sana nayamudu hana mambo mengi baba wa watu
Au tunadate mutu mumoja na tulivyo wataalam wa kubebisha hapo namba 2 wanajinunisha ili wabembelezwe, zile za nakupenda kuliko wote ukiniacha nitakufa wanazipenda balaa,😂
 
Hakikisha wakati wa kucheka asikuone, wivu ndo mapenzi ila hawa wetu wamezidi japokuwa mi nimezoea akianza kutweta kama mjusi😂😂namsikiliza halafu nampa maelezo kesi ikiisha,,natafuta kanafasi kakucheka, k iheshimiwe na watu wote
Mi huwa siwezi kukibana kicheko muda mwingine nacheka tu 😂😂😂 maana kuna vitu vinachekesha ujue ila kuna wanaume wanajua kupenda sana mpaka raha yaan
 
Mi huwa siwezi kukibana kicheko muda mwingine nacheka tu 😂😂😂 maana kuna vitu vinachekesha ujue ila kuna wanaume wanajua kupenda sana mpaka raha yaan
Kwakweli mwanaume wa hivyo kama hujapigwa matukio huko nyuma ndo waweza muona kero ila akuu tunaenjoy, wivu unaendana na uaminifu/mapenzi kwa kiasi fulani moyo unaridhika kuwa hapa napendwa na si ndo tunavyotaka wanawake
 
Au tunadate mutu mumoja na tulivyo wataalam wa kubebisha hapo namba 2 wanajinunisha ili wabembelezwe, zile za nakupenda kuliko wote ukiniacha nitakufa wanazipenda balaa,😂
Wanafanana tabia tu sio mmoja 😂😂usinitoe roho mie,kuna siku alinichosha kulalamika na kunung’unika nikamvuta kichwa nikamuwekea nyonyo mdomoni anyonye Halaf nikawa nambembeleza kama mtoto huku namtikisa alale akalala 😂😂😂😂 last born kibokooo
 
Kwakweli mwanaume wa hivyo kama hujapigwa matukio huko nyuma ndo waweza muona kero ila akuu tunaenjoy, wivu unaendana na uaminifu/mapenzi kwa kiasi fulani moyo unaridhika kuwa hapa napendwa na si ndo tunavyotaka wanawake
Ni kweli kabisa mwanaume anakuwa muwazi kwa kila kitu hakuna siri siri mipango yote mnashirkiana kwa kila kitu,muda ukifika anakuja tu alie sahihi kwako
 
Wanafanana tabia tu sio mmoja 😂😂usinitoe roho mie,kuna siku alinichosha kulalamika na kunung’unika nikamvuta kichwa nikamuwekea nyonyo mdomoni anyonye Halaf nikawa nambembeleza kama mtoto huku namtikisa alale akalala 😂😂😂😂 last born kibokooo
Basi hapo alikatumia hako ka gap ili anyonyeshwe kila siku😂😂
 
1.Wivu baba cha wivuuu
2.Gubu jamani ili tu abembelezwe
3.Kudeka usiseme
4.Kulalamika
5.Simu upokee haraka kama umebeba kikombe cha chai kitupe upokee simu yake

Haya mapungufu machache sana nayamudu hana mambo mengi baba wa watu
5.Simu upokee haraka kama umebeba kikombe cha chai kitupe upokee simu yake
[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom