Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nisamehe sana mkuu 😀😀nimechekaaaaa😏🤣🤣🤣🙌
Kwani mapaja si yapo 2, kila mtu achukue lake basi😀😀 hii couple mnachekesha kama ni kweliKuwahi paja la kuku wakati nisha mwambia ilo ni langu. Saivi ni kuwahiana tu
[emoji3][emoji3] wewe ni mmoja wa hao wanaobonyeza kokote[emoji16][emoji16]Hii sjaelewa,Kwan dawa za mswaki Zina sehemu ya kubinyia?
Dah ila wabongo noma, nadhani hata walotengeneza dawa hawajui pa kubonyezea😂[emoji3][emoji3] wewe ni mmoja wa hao wanaobonyeza kokote[emoji16][emoji16]
Same here [emoji4]Nasoma comments..
Kuna vitu ukiviongea unapata relief ndio maana tunatumia fake id ,kwa mwanaume hata kama unaficha id naamini sio vizuri kuanika mapungufu ya mwandani wako tena mengine yanadhalilisha.
Ooh poleni mkuu, Mungu atamtibia hilo🙏Dah, wangu alipata pressure ya uzazi baada ya kujifungua binti yetu wa pili ikaua usikivu wake pamoja ka kuzunguka mahospitali mbalimbali. Hili ni jaribu tulilonalo.
Simulia pia unayoyavumilia huko mkuu😀Same here [emoji4]
Hehee ebu ngoja pia nichungulie dawa yangu hapa ina hali gani😀😀[emoji3][emoji3] wewe ni mmoja wa hao wanaobonyeza kokote[emoji16][emoji16]
Na azidi kukubariki mkuu.Nashukuru mkuu pia namshukuru Mungu kwa kunipa make mwema
Hebu njoo PM, ili Mwakani muda kama huu, turudi kwenye huu uzi.Mapungufu yanachekesha , ila natumai kuna mazuri mengi yanayofanya mzidi kusonga mbele pamoja, keep moving mpaka kifo kije kuwatenganisha. I can't wait pia kuja kusimulia hivi[emoji3][emoji3][emoji120]
[emoji23][emoji23][emoji23]gubu, mwanamke ana gubu kama kitu gani sijui.
kutokukiri kosa. daima yeye ndie anaekosewa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ubishi jamani ubishiiii kwani waha wote lazima muwe wabishii?
😀😀 huyu mapungufu yake mazuri hayaboi, hapo kwenye kutupa kikombe cha chai ili upokee simu yake mi hoi😀😀1.Wivu baba cha wivuuu
2.Gubu jamani ili tu abembelezwe
3.Kudeka usiseme
4.Kulalamika
5.Simu upokee haraka kama umebeba kikombe cha chai kitupe upokee simu yake
Haya mapungufu machache sana nayamudu hana mambo mengi baba wa watu
Hahaa kweli kabisaaHebu njoo PM, ili Mwakani muda kama huu, turudi kwenye huu uzi.
Muhurumie jamani mtoto wa mwanamke mwenzio 😀😀Wivu,, sijapata ona mazee ila napenda akianza kupandisha munkari, basi nashuka nambembeleza ila nikipata upenyo nacheka sana namuhurumia baba mzima na hadhi yake kuwa km mtoto wa chekechea,