Ni mapungufu gani ya mkeo/mumeo umeamua kuishi nayo?

Ni mapungufu gani ya mkeo/mumeo umeamua kuishi nayo?

Nimejitahidi mkuu nimeshindwa
Ni mbaya sana, nilikuwa hivyo kutokusoma sms na kupokea simu yaani naweza masaa nisiguse simu,


Sasa kuna siku dogo alikuwa anaumwa na homa imemuanzia shule,mama yupo mbali kapewa taarifa ananipigia sipokei na dogo hali si shwari kapelekwa hospital,

Mama alimpigia mtu wa mbali na nyumbani na kumuambia aje aniambie nipokee simu[emoji23], kutizama simu imepigwa hatari


,kumtafuta akaniambia ipo siku utafuatwa na kuulizwa marehemu mama yako utazika hapahapa au utasafirisha[emoji15], aisee toka siku hiyo nipo makini,

na bora anipigie sipatikani lkn sio kutokupokelewa anakerwa.
 
Back
Top Bottom