Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani kitu kidogo atataka kubisha hadi asubuhiWangu mie sio Muha ila wa ubishi nadhani ana washinda WAHA🤨
Na akishikilia kitu ni hataki kubishiwa ni hivyo ni hivyoNi natural yao[emoji23]
Ni mbaya sana, nilikuwa hivyo kutokusoma sms na kupokea simu yaani naweza masaa nisiguse simu,Nimejitahidi mkuu nimeshindwa
Na kama huwezi kubishana utaishia kulia[emoji23],maana mtu anakaza balaa.Na akishikilia kitu ni hataki kubishiwa ni hivyo ni hivyo
Jamanii nilijua ni wangu peke yangu mwanzo nilikuwa nachukia ubishi wake ila kwa sasa hadi mwenyewe anajua nimemzoea😁Na akishikilia kitu ni hataki kubishiwa ni hivyo ni hivyo
Mwanzo hii hali ilinitesa sanaNa kama huwezi kubishana utaishia kulia[emoji23],maana mtu anakaza balaa.
Yaani me huwa nanyamaza abishane mwenyeweJamanii nilijua ni wangu peke yangu mwanzo nilikuwa nachukia ubishi wake ila kwa sasa hadi mwenyewe anajua nimemzoea😁
Nimeshangaa sana.Hii sjaelewa,Kwan dawa za mswaki Zina sehemu ya kubinyia?
Hili we ndiyo una tatizo. Sasa dawa ya mswaki nayo ni ya kutafuta sehemu ya kuminya!!! Dunia ina mambo.Ndiyo
Chenga nyingine hii hapaHii sjaelewa,Kwan dawa za mswaki Zina sehemu ya kubinyia?
[emoji4][emoji4] haswaaaMapungufu yasiyoruhusiwa kwa mwanaume kuyavumilia ni,mke kuuza mechi.Mengine yote ni yale yanaitwa ya shida na raha.
nimechekaaaaa😏🤣🤣🤣🙌Hapo kwenye kuminya dawa ya mswaki hovyohovyo mmi nisingeweza kuvumilia yaani ni talaka Moja kwa moja
Vumilia tu[emoji23]Mwanzo hii hali ilinitesa sana
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]Mke wako ni mnene?