makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Nashuk
Naamini ananipenda, ila kwangu ndio naona kero, akiwa mbali anaweza kuamka alfajiri anajiandaa basi urapigiwa simu, sasa wengine usimgizi mi starehe yetu kiukweli, nilikuwa natabia ya kuweka simu silent nikiwa nalala haswa mchana, ila ye akiwa mbali imebidi niache tu, maana alfajiri usipopokea simu itaonekana unapata morning glory sehemu 🤣😂
Nashukuru kunipa moyo kaka,Hayo sio mapungufu brother, ni tabia ya mtu.
Alaf anakupenda huyo.
Naamini ananipenda, ila kwangu ndio naona kero, akiwa mbali anaweza kuamka alfajiri anajiandaa basi urapigiwa simu, sasa wengine usimgizi mi starehe yetu kiukweli, nilikuwa natabia ya kuweka simu silent nikiwa nalala haswa mchana, ila ye akiwa mbali imebidi niache tu, maana alfajiri usipopokea simu itaonekana unapata morning glory sehemu 🤣😂