Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au wewe ndio mshikaji wangu(............) nini. 😂🤣gubu, mwanamke ana gubu kama kitu gani sijui.
kutokukiri kosa. daima yeye ndie anaokosewa.
hii ni tabia universal kwa wanawake. Ni wachache sana wanaokiri makosa. Kosa umkosee yeye, litaongelewa mpaka yesu arudi. Akosee yeye sasa, kama hajakaa kimya basi atatafuta njia ageuze kosa lake liwe lako.Au wewe ndio mshikaji wangu(............) nini. 😂🤣
Kanilalamikia saana hii kitu mkewe hakubali kosa hata iweje.
Mke wako ni mnene?1. Mvivu sana hata nyumba hafagii yote. N jioni na sebuleni tu. Nguo najifulia mwenyewe. Shuka mpaka uzitoe ndo kwa aibu atafua.
2. Mchafu.
Japo sijaoa ila upo sahihi sanaa!hii ni tabia universal kwa wanawake. Ni wachache sana wanaokiri makosa. Kosa umkosee yeye, litaongelewa mpaka yesu arudi. Akosee yeye sasa, kama hajakaa kimya basi atatafuta njia ageuze kosa lake liwe lako.
VIkimbana kabisa utaishia kuchekewa chekewa kinafiki ila kutamka neno nimekosa ni haramu kwao.
Huyo mke wako anakupenda hongera mkuu wanaume wengi wameoa wanawake ambao hawapendwi na wake zaoBora wewe unajibiwa asante baba, wengine ni wanabisha hawajakosea na wako sahihi.. 🤣😂
Ukishinda hoja utaambiwa basi yaishe.
Nina mwanangu ana majanga, wakati mwingine unaona hata aibu kumtembelea nyumbani kwake.
Mkewe ana kaujeri kakimya kimya, ukimuona ni mpole lakini ni mjeuri kinoooma, mwanangu anapata tabu saana, kuna muda anafikiria kumuacha.
Mie wangu ni kutaka kujua kila kitu in details, ananiboa saana, chochote kile atataka in details, hata apige simu mtu akuongeleshe atakuuliza nani huyo, ndio yupi. 😂🤣 Unamuliza utamjuaje sasa, hata nikikutajia fulani huwezi kumjua 😂, sijui ni kupenda kuongea na simu au vipi
Hata umpelekee zawadi atataka kujua yoote, kama umekopa, umemnunulia na sh ngapi, unajiuliza we unataka kujua nini, yaani ni shughuli pevu 😂
Kingine anapenda mnoo kuongea na simu, bora muwe karibu hii inasaidia, akiwa mbali anapiga simu ataongea mpaka stori zaitaisha, mie mvivu kubonga na FONI naishia kuweka loudspeaker tu.
Sometimes hana stori, anakupihia anakwambia mwanao anakuita, sasa mtoto Mwenyewe ndio bado hajatimiza mwaka vizuri, kuongea haongei, unajua tu hapa nimemisiwa.
Mengine madogo madogo, yanachangiwa na maisha yangu ya awali.
Elewa neno AWALI. lizingatie vema.
Haya mambo mawili kwangu binafsi nimeyapenda sana. Mkuu, mbona mkeo anakufanyia fair kabisa.2. Dawa ya mswaki.
Kwenye matumizi ya hii KITU yeye huminya popote pale.
4. Ukimkosea hakiulizi na haoneshi kama amechukia ila utaulizwa siku nyingine na atawasilisha kwa njia ya utani.
Tunaishi nayo na miaka inasogea.Wana ndoa mna mengi
Hahah mkuu tunasafiri boti moja!Kuachaniza vitu ndani,kila mkitaka kitu fulani lazima ianze operation tafuta,iwe kadi ya benki ,kadi ya mtoto ya hospitali,funguo na chochote kile mtatafuta tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mke wako ni mnene?
Sahihi nami natafsiri ni upendo ila tu nakereka wakati mwingine, sijuj kwanini haswa,Huyo mke wako anakupenda hongera mkuu wanaume wengi wameoa wanawake ambao hawapendwi na wake zao
Akose kisha alete ubishi, namvungia tu, nauchubua zangu nafanya yangu, siwezi pigizana kelele na mtu nimemtolea mahari, yaani kakosea na bado nimlazimishe akubali kosa, binafsi nikijua nimekosa ni mwepesi kuomba msamaha, sasa ye akileta huo uhuni nmi nitaleta usela mavi wangu,hii ni tabia universal kwa wanawake. Ni wachache sana wanaokiri makosa. Kosa umkosee yeye, litaongelewa mpaka yesu arudi. Akosee yeye sasa, kama hajakaa kimya basi atatafuta njia ageuze kosa lake liwe lako.
VIkimbana kabisa utaishia kuchekewa chekewa kinafiki ila kutamka neno nimekosa ni haramu kwao.
Nenda nae hivo hivo mdogo mdogo huku ukimueleza vitu gani upendi atakuelewa tu, wapo wanaume wengine wameoa mke anakawaida ya kutopokea, message hazijibiwi, mzigo anapewa kwa manati, haheshimiwi n.k huyo wa kwako ana changamoto za kawaidaSahiji
Sahihi nami natafsiri ni upendo ila tu nakereka wakati mwingine, sijuj kwanini haswa,
Kwanza kikawaida sipendi kuhojiwa saaana..
Pili mie ni mvivu mnoo wa kuzungumza na teleFONI