Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
4 kweli inaboa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchafu na uvivu ni mapacha, niliposoma pungufu la kwanza nkajisemea tu huyo mchafu. Mara paa ndio pungufu la pili.1. Mvivu sana hata nyumba hafagii yote. N jioni na sebuleni tu. Nguo najifulia mwenyewe. Shuka mpaka uzitoe ndo kwa aibu atafua.
2. Mchafu.
Usalitiii......mpk kuzaaa,naumia but namuomba Mungu anope amanWakuuu habari za usiku.
Moja kwa Moja twende kwenye maada. Mimi kwa upande wangu mapungu yafuatayo kitoka kwa mama watoto wangu nimekubali KUISHI NAYO.
1. Kuto pokea simu.
Mke wa Mimi hapokei simu hata aione inaita hataahughulika NAYO Hadi amalize shughuli zake. Ukimpigia simu asipo pokea usijisumbue kutuma sms,ukituma Kuna siku utaisoma mwenyewe.
2. Dawa ya mswaki.
Kwenye matumizi ya hii KITU yeye huminya popote pale.
3. Kijichanganya na WATU.
4. Ukimkosea hakiulizi na haoneshi kama amechukia ila utaulizwa siku nyingine na atawasilisha kwa njia ya utani.
5. Akikukosea ukiuliza atakuambia nisamehe baba......... hapo hata uongee vipi hatakujibu.
Hapendi kabisaa kijichanganya na WATU hasa ukitaka umuudhi fika nyumbani Anza kumwongelea mtu hapendi kabisaa na anachukia kwa dhati.
Haya ndo baadhi ya mambo ambayo nimeamua KUISHI NAYO na nimefamikiwa KUISHI NAYO kwa muda wa miaka 19 ya ndoa yetu.
Kwahiyo ndio umekuja kunisimanga huku?Bora wewe unajibiwa asante baba, wengine ni wanabisha hawajakosea na wako sahihi.. 🤣😂
Ukishinda hoja utaambiwa basi yaishe.
Nina mwanangu ana majanga, wakati mwingine unaona hata aibu kumtembelea nyumbani kwake.
Mkewe ana kaujeri kakimya kimya, ukimuona ni mpole lakini ni mjeuri kinoooma, mwanangu anapata tabu saana, kuna muda anafikiria kumuacha.
Mie wangu ni kutaka kujua kila kitu in details, ananiboa saana, chochote kile atataka in details, hata apige simu mtu akuongeleshe atakuuliza nani huyo, ndio yupi. 😂🤣 Unamuliza utamjuaje sasa, hata nikikutajia fulani huwezi kumjua 😂, sijui ni kupenda kuongea na simu au vipi
Hata umpelekee zawadi atataka kujua yoote, kama umekopa, umemnunulia na sh ngapi, unajiuliza we unataka kujua nini, yaani ni shughuli pevu 😂
Kingine anapenda mnoo kuongea na simu, bora muwe karibu hii inasaidia, akiwa mbali anapiga simu ataongea mpaka stori zaitaisha, mie mvivu kubonga na FONI naishia kuweka loudspeaker tu.
Sometimes hana stori, anakupihia anakwambia mwanao anakuita, sasa mtoto Mwenyewe ndio bado hajatimiza mwaka vizuri, kuongea haongei, unajua tu hapa nimemisiwa.
Mengine madogo madogo, yanachangiwa na maisha yangu ya awali.
Elewa neno AWALI. lizingatie vema.
Sasa nimekusimanga wapi jamani.. Nmesema tu shida ni maisha yangu ya awali.Kwahiyo ndio umekuja kunisimanga huku?
Nashukuru mkuu nitamwonesha hii ujumbeNi mbaya sana, nilikuwa hivyo kutokusoma sms na kupokea simu yaani naweza masaa nisiguse simu,
Sasa kuna siku dogo alikuwa anaumwa na homa imemuanzia shule,mama yupo mbali kapewa taarifa ananipigia sipokei na dogo hali si shwari kapelekwa hospital,
Mama alimpigia mtu wa mbali na nyumbani na kumuambia aje aniambie nipokee simu[emoji23], kutizama simu imepigwa hatari
,kumtafuta akaniambia ipo siku utafuatwa na kuulizwa marehemu mama yako utazika hapahapa au utasafirisha[emoji15], aisee toka siku hiyo nipo makini,
na bora anipigie sipatikani lkn sio kutokupokelewa anakerwa.
[emoji3][emoji3] huyu mapungufu yake mazuri hayaboi, hapo kwenye kutupa kikombe cha chai ili upokee simu yake mi hoi[emoji3][emoji3]
Hivi Gubu maanake nini?1.Wivu baba cha wivuuu
2.Gubu jamani ili tu abembelezwe
3.Kudeka usiseme
4.Kulalamika
5.Simu upokee haraka kama umebeba kikombe cha chai kitupe upokee simu yake
Haya mapungufu machache sana nayamudu hana mambo mengi baba wa watu
Wivu,, sijapata ona mazee ila napenda akianza kupandisha munkari, basi nashuka nambembeleza ila nikipata upenyo nacheka sana namuhurumia baba mzima na hadhi yake kuwa km mtoto wa chekechea,
Hivi Gubu maanake nini?
Hili neno nalisikia tuu, ila silielewi
Hapo kwenye kuminya dawa ya mswaki hovyohovyo mmi nisingeweza kuvumilia yaani ni talaka Moja kwa moja
Ndio Mkuu, vile unaminya dawa ya meno kunaongea vile ulivyo. Kuna watu wanabinya kati kati, wengine juu, wengine mwisho na wengine mwisho alafu wanaikunja.Hii sjaelewa,Kwan dawa za mswaki Zina sehemu ya kubinyia?
Acha aipate pate, anafurahisha sana namuhurumia asipate magonjwa tu, yani kila nifanyacho lazima atake kukijua simu isipopokelewa nijielezee kwa kina, kila siku nina kazi ya kusema ratiba yangu bila hivyo ni kesi tena kesi nzito sio masihara alishawahi nishtaki kwa mlezi wangu km mzazi tu kikesi cha kijinga hadi aibu,Muhurumie jamani mtoto wa mwanamke mwenzio 😀😀
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Kuwahi paja la kuku wakati nisha mwambia ilo ni langu. Saivi ni kuwahiana tu
Hakikisha wakati wa kucheka asikuone, wivu ndo mapenzi ila hawa wetu wamezidi japokuwa mi nimezoea akianza kutweta kama mjusi😂😂namsikiliza halafu nampa maelezo kesi ikiisha,,natafuta kanafasi kakucheka, k iheshimiwe na watu woteShoga wivu hauna umri
Nami huwa nacheka aisee ananiambia cheka tu unacheka nin sasa [emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi hizi i'm sory mnazitakiaga nini? Kwani basi yaishe huwa hamuielewi?Her moma never taught her the use of these words, I'm sorry, please, thank you, pardon me and excuse me; and most especially the bolded one. I lay all the blame to her mommy damn it!
Nakubaliana nawewe kuwa Kila mtu ana sehemu aliyozoea kubinyia lakini nakataa kuwa Kuna sehemu special ya kubinyia na kuwa Kuna uhusiano Kati ya sehemu ya kubinyia na tabia ya mtuNdio Mkuu, vile unaminya dawa ya meno kunaongea vile ulivyo. Kuna watu wanabinya kati kati, wengine juu, wengine mwisho na wengine mwisho alafu wanaikunja.
Nadhani mdau aliyelalamika ni hawa wakuminya mwisho ya tube, huwa ni watu wataratibu, makini na wenye utulivu kwenye mipango yao. No wonder analalamika.
Ukijichunguza utagundua huwa kuna mahali unabinya hiyo tube ya dawa kila siku.