Ni mapungufu gani ya mkeo/mumeo umeamua kuishi nayo?

Ni mapungufu gani ya mkeo/mumeo umeamua kuishi nayo?

Kitoto cha mama mkwe asbh asbh umenyimwa tam na mama chanja mbona una kisirani hivi,
nguruwe pita sina mkuki mie wewe haramu kwangu... Hiyo pumbavu nakurudishia mwenyewe
Haya kuwa na siku njema sister with much love kwako. Bora umeniita mpumbavu kuliko kunidharirisha kwa kuniita "baby boy". 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😃😃😃😃 Baby boy ni hako kajamaa kako kupuuzi.😃😄😁😆😅😀
 
Umbea….. kila jion hua sitakiwi kua karibu na simu wala tv, nikuanza kupewa habari za kitaifa na kimataifa, kabla ya kua nae sikuwahi kujua ni mbea kiasi hiki, umbea ukiwa mpya napigiwa simu nikiwa kazini niwahi nyumban leo kumbe issue ni umbea tu, yan akikosa umbea atanza hata kunipa story za mtoto au wateja wake kazini yan akikosa kabisa ananza kuniletea story za kwenye viseries vya kwenye group zake huko ilimradi aongee tu na kumsikiliza iyo ni lazima sio ombi.
 
Umbea….. kila jion hua sitakiwi kua karibu na simu wala tv, nikuanza kupewa habari za kitaifa na kimataifa, kabla ya kua nae sikuwahi kujua ni mbea kiasi hiki, yan akikosa umbea atanza hata kunipa story za mtoto au wateja wake kazini yan akikosa kabisa ananza kuniletea story za kwenye viseries vya kwenye group zake huko ilimradi aongee tu na kumsikiliza iyo ni lazima sio ombi.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haya kuwa na siku njema sister with much love kwako. Bora umeniita mpumbavu kuliko kunidharirisha kwa kuniita "baby boy". 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😃😃😃😃 Baby boy ni hako kajamaa kako kupuuzi.😃😄😁😆😅😀
Sasa ukiwa mapajani kwa mama chanja si unakuwa baby boy jamani acha kuwa baridi hivyo hata hupendezi
 
Bora wewe unajibiwa asante baba, wengine ni wanabisha hawajakosea na wako sahihi.. [emoji1787][emoji23]
Ukishinda hoja utaambiwa basi yaishe.
Nina mwanangu ana majanga, wakati mwingine unaona hata aibu kumtembelea nyumbani kwake.
Mkewe ana kaujeri kakimya kimya, ukimuona ni mpole lakini ni mjeuri kinoooma, mwanangu anapata tabu saana, kuna muda anafikiria kumuacha.

Mie wangu ni kutaka kujua kila kitu in details, ananiboa saana, chochote kile atataka in details, hata apige simu mtu akuongeleshe atakuuliza nani huyo, ndio yupi. [emoji23][emoji1787] Unamuliza utamjuaje sasa, hata nikikutajia fulani huwezi kumjua [emoji23], sijui ni kupenda kuongea na simu au vipi
Hata umpelekee zawadi atataka kujua yoote, kama umekopa, umemnunulia na sh ngapi, unajiuliza we unataka kujua nini, yaani ni shughuli pevu [emoji23]
Kingine anapenda mnoo kuongea na simu, bora muwe karibu hii inasaidia, akiwa mbali anapiga simu ataongea mpaka stori zaitaisha, mie mvivu kubonga na FONI naishia kuweka loudspeaker tu.
Sometimes hana stori, anakupihia anakwambia mwanao anakuita, sasa mtoto Mwenyewe ndio bado hajatimiza mwaka vizuri, kuongea haongei, unajua tu hapa nimemisiwa.

Mengine madogo madogo, yanachangiwa na maisha yangu ya awali.
Elewa neno AWALI. lizingatie vema.
Brother hizo ndo characters za wanawake aseehhh ...hakuna baya hapoo
 
Hahah mkuu tunasafiri boti moja!

Mimi sasa nimepanga niende kwa fundi anitengenezee draw ndogo yenye lock kwa ajili ya kuweka vitu vyangu vidogo vidogo,jumapili iliyopita nilikuwa home sasa kuna wakati nikahitaji kutumia kalamu nikatafuta zinakokaa nikakosa kuna sehemu kabatini huwa naweka pen ya dharura kwenda kuangalia haipo mara anaenda kuileta kutoka juu ya fridge jikoni.

Na sijui alijuaje kama pana kalamu maana niliificha,socks kupata pair inayofanana ndiyo shughuli zaidi naweza kukaa mwezi sijavaa socks zinazofanana rangi utakuta rangi moja ipo kabatini moja ipo kwenye kamba nje nyengine zimechanganyika kwenye nguo za watoto,ni changamoto sana.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Umbea….. kila jion hua sitakiwi kua karibu na simu wala tv, nikuanza kupewa habari za kitaifa na kimataifa, kabla ya kua nae sikuwahi kujua ni mbea kiasi hiki, umbea ukiwa mpya napigiwa simu nikiwa kazini niwahi nyumban leo kumbe issue ni umbea tu, yan akikosa umbea atanza hata kunipa story za mtoto au wateja wake kazini yan akikosa kabisa ananza kuniletea story za kwenye viseries vya kwenye group zake huko ilimradi aongee tu na kumsikiliza iyo ni lazima sio ombi.
Pole mkuu
 
Mnaoshangaa namna ya kuminya dawa ya mswaki…
Mshua alitufundishaga enzi hizo kwamba kiustaarabu tu na kinidhamu dawa ya mswaki inapaswa iminywe chini.. minya chini kadri inavyosogea.

Sasa wengine unakuta anaminya kati, mara kaminya juu.. dawa inabaki na shape mbaya kweli kweli
 
1. Mvivu sana hata nyumba hafagii yote. N jioni na sebuleni tu. Nguo najifulia mwenyewe. Shuka mpaka uzitoe ndo kwa aibu atafua.

2. Mchafu.
Umepewa limbwata c bure
Kumvulia mwanamke mchafu nacho ni kipaji , afadhali wanaume uwe mchafu aisee , ila mwanamke akiwa mchafu , nyumba inakuwa haitamaniki
 
Back
Top Bottom