Ni mapungufu gani ya mkeo/mumeo umeamua kuishi nayo?


[emoji16] tumetofautiana mi tu ndo ninune na anatakiwa aje kwa mahesabu kujua ni kipi kimenisibu ila ye akinuna anune tu siwezi taka kujua kilichomsibu
 
Hatariii sanaaaa, kama nakuona vile, hapo droo haita kusaidia uwe na chumba ambacho haingii mtu, na nguo zako ufue mwenyewe najua soks umetaja kitu kimoja tu.

Vipi kuhusu kitambaa cha mkononi,
 
Huo sio wivu, huyo hakuamini. Sipendi mtu wa kunipigia video call ovyo, mtu anakupigia hajui hata uko wapi na unafanya nini.
 
Mkuu siku utapata matatizo huko, yeye atahisi ni kawaida yako either kutokurudi home, yaani mkeo asikuulize umetoka wapi uchelewa bila taarifa, mbona ubabe sana[emoji848]

Toka nimemuoa sijawahi maliza mwezi kwangu safari ni za kufikia na yeye hilo halijawahi mkera keshazoea na nikuhakikishie kwenye ubabe ndo naponea
 
nyege, yan uyu kukutomba wiki nzima haoni hasara hta umpe vitatu kwa usiku mmoja bado kesho atataka tena, sijakataa ndio kutiana n muhim ila namwambia kuna siku ntakimbia na chupi mkononi na sio kua ukiwa mbali anateseka yan mnaweza shinda mbali kila mtu busy ila mkionana jioni tu tayari ana nyege, saa zingine najisemea atakua na hisia kali juu yangu lakini kuna mda najisemea awee this is too much am not a sex machine!
 
Una mke mzuriz shukuru mungu. Sijaona upungufu hapo zaidi ya kutopokea simu. Ambacho pia siyo upungufu mkubwa
 
Tusipowatomba lawama, tukiwatomba lawama..
πŸ˜‚πŸ€£
 
Itakuwa unaifinyia sana kwa ndani 😁
 
Brother hizo ndo characters za wanawake aseehhh ...hakuna baya hapoo
Ahsante dada, najua lakini ndio kwangu ni tabu, yaani mie kuongea na simu masaa mawili, naona kama umenilaza mahabusu, nahisi sikio kuwaka moto.
Japo siku hizi naingia kwenye mfumo wake dk 20,30 hivi naongea ila simu loudspeaker.

Ila hii ya kupiga simu 12 au 11 alfajiri ni adhabu kwangu. πŸ˜‚πŸ€£
 
Sema ke tukiombwa ombwa sana msamaha tunapataga ka hali flani kakujiona malaika au watakatifu tusiokosea hata jambo dogo tutautaka siku usipoomba ni kesi nzito, hapo sasa ndo tatizo
Wanawake akili zenu mnazijua wenyewe, dawa yenu ni sisi kuwa watu tusio tabilika, binafsi sitabiliki... Nashukuru nae anajua hilo, nikiomba msamaha linakuwa limeishia hapo, ila kama atajikuta ndio mwamba ataona rangi zoote za duniani mpaka mbinguni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…