Baki njia kuu mkuu mbona hayo yanazungumzikaπWife wangu ni mvivu sana wa mizagamuo aisee na round hii nimechoka kubabake, yani anasababu mlima ndio ni mtumishi kaajiriwa na yupo bize lakini ikifika muda nianze kutaka kuleta maudundi yangu naishia kukasirika!!! Yeye akilala anakumbatiana na mtoto wake imeisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mimi sasa imebidi nipate kademu nje lakini ndo sina mizuka nako kabisaa
Inachangia sana.Umeongea jambo limeniyisha kidoogo, hivi karibuni napata pata maumivu ya nyonga ndio sababu ya kunjunja saana ujanani!? π€π€
Wewe sasa umezidi hadi kuiminyia kinywani ?ππ.
Usiwe hivyo bana, au bado hujawa baba? Lazima mwenzio ajue umeenda wapi, hata ukibadili mbele kwa mbele kikubwa akiulizwa cha kwanza atasema aliaga anaenda mahali fulani watu wanapata pakuanzia, incase limetokea jambo.Sijawahi aga naenda wapi wala nitarudi lini au saa ngapi? Ko hata mechi za ugenini zinaponea humo!
Ni mwiko kuniuliza nilikuwa wapi au nimetoka wapi Ko mi hata saa nane usiku nitarudi/kutoka kwangu hilo halina mjadala alishazoe nirudi home nisirudi ye hana noma, simu yangu ni mwiko kuishika au kuhoji ulikuwa unaongea na nani?
Nilichoshindwa ni kumuita mama flani siwezi
Namuita kwa jina lake alishazoea po pote pale
Mimi pia napendelea Colgate zaidi, ila wifi hakumind kuminyia dawa mdomoni badala ya kwenye mswaki?Eehh.... Naiminyia kinywani, kwenye mswaki sio saana.
Tena ni Colgate nyingine siziwezi haswa whitedent, aisee meno yanauma na najihisi kama sijaswaki vile.
Wengine maisha yetu ya awali yanatuponza, tushazoea majinj huko, tunakuja kuona malaika wao kila kitu kwao kipya na kigeni, kufanya hawawezi unaishia kuteseka tu.Wife wangu ni mvivu sana wa mizagamuo aisee na round hii nimechoka kubabake, yani anasababu mlima ndio ni mtumishi kaajiriwa na yupo bize lakini ikifika muda nianze kutaka kuleta maudundi yangu naishia kukasirika!!! Yeye akilala anakumbatiana na mtoto wake imeisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mimi sasa imebidi nipate kademu nje lakini ndo sina mizuka nako kabisaa
Hakuna cha mahindi wala mchele.. Hili sijawahi msikia akiliongelea, labda achukie nafsini, lakini hawezi mwanamke huyu jambo limkere asiseme aahh, labda sio yeye mrs makaveli tu, ataongea tu kuwa nimemkwaza au sio vizuri. ππ€£Mimi pia napendelea Colgate zaidi, ila wifi hakumind kuminyia dawa mdomoni badala ya kwenye mswaki?
Baki njia kuu mkuu mbona hayo yanazungumzika[emoji3]
Basi mkuu itabidi nijaribu kupunguza.Inachangia sana.
Bonge la MkeWakuuu habari za usiku.
Moja kwa Moja twende kwenye maada. Mimi kwa upande wangu mapungu yafuatayo kutoka kwa mama watoto wangu nimekubali KUISHI NAYO.
1. Kuto pokea simu.
Mke wa Mimi hapokei simu hata aione inaita hatashughulika NAYO Hadi amalize shughuli zake. Ukimpigia simu asipo pokea usijisumbue kutuma sms, ukituma Kuna siku utaisoma mwenyewe.
2. Dawa ya mswaki.
Kwenye matumizi ya hii KITU yeye huminya popote pale.
3. Hajichanganya na WATU.
Yeye ni kazini, nyumbani na kanisani. Haendi tofauti na maeneo hayo labda kwenye mambo ya jamii.
4. Ukimkosea hakuulizi na haoneshi kama amechukia ila utaulizwa siku nyingine na atawasilisha kwa njia ya utani.
5. Akikukosea ukiuliza atakuambia nisamehe baba......... hapo hata uongee vipi hatakujibu.
Hapendi kabisaa kijichanganya na WATU hasa ukitaka umuudhi fika nyumbani anza kumwongelea mtu hapendi kabisaa na anachukia kwa dhati.
Haya ndio baadhi ya mambo ambayo nimeamua KUISHI NAYO na nimefamikiwa KUISHI NAYO kwa muda wa miaka 19 ya ndoa yetu.
Anakupa makavu yako uhangaike nayo kuomba msamaha, safi sana kwa Mrs. MπHakuna cha mahindi wala mchele.. Hili sijawahi msikia akiliongelea, labda achukie nafsini, lakini hawezi mwanamke huyu jambo limkere asiseme aahh, labda sio yeye mrs makaveli tu, ataongea tu kuwa nimemkwaza au sio vizuri. ππ€£
Kwa afya yako ni muhimu sana. Na ukipata matatizo ya nyonga itakuwa shida sana kufanya mapenzi.Ba
Basi mkuu itabidi nijaribu kupunguza.
Wakuuu habari za usiku.
Moja kwa Moja twende kwenye maada. Mimi kwa upande wangu mapungu yafuatayo kutoka kwa mama watoto wangu nimekubali KUISHI NAYO.
1. Kuto pokea simu.
Mke wa Mimi hapokei simu hata aione inaita hatashughulika NAYO Hadi amalize shughuli zake. Ukimpigia simu asipo pokea usijisumbue kutuma sms, ukituma Kuna siku utaisoma mwenyewe.
2. Dawa ya mswaki.
Kwenye matumizi ya hii KITU yeye huminya popote pale.
3. Hajichanganya na WATU.
Yeye ni kazini, nyumbani na kanisani. Haendi tofauti na maeneo hayo labda kwenye mambo ya jamii.
4. Ukimkosea hakuulizi na haoneshi kama amechukia ila utaulizwa siku nyingine na atawasilisha kwa njia ya utani.
5. Akikukosea ukiuliza atakuambia nisamehe baba......... hapo hata uongee vipi hatakujibu.
Hapendi kabisaa kijichanganya na WATU hasa ukitaka umuudhi fika nyumbani anza kumwongelea mtu hapendi kabisaa na anachukia kwa dhati.
Haya ndio baadhi ya mambo ambayo nimeamua KUISHI NAYO na nimefamikiwa KUISHI NAYO kwa muda wa miaka 19 ya ndoa yetu.
UmenenaMapungufu yasiyoruhusiwa kwa mwanaume kuyavumilia ni, mke kuuza mechi. Mengine yote ni yale yanaitwa ya shida na raha.
Inaonekana unapenda kujichukulia sheria mkononi wewe. Nakupa tu hapa hapa ushindwe mwenyewe. Au nikupe inbox? unaogopa kuchapiwa!!!!!πππππNi wewe tu π
Watoto wa wasimbe hamuwezi jua maana ya ndoaHuo ni mtego
Kataa ndoa
Ongea na wife vizuri tu, sometimes mood zinakua down ujue, after sometimes atakua sawa, achana na mchepuko huko unaweza ukaharibu zaidiπ€Mmmh aisee mwezi umeisha na kama week kazaa hivi nakula benchi!!! Hii haivumiliki ndo sababu nikafuta pisi kali yani mpaka yule nae ataniacha maana sipigi shoo zaidi ya story nae tu
Wengine maisha yetu ya awali yanatuponza, tushazoea majinj huko, tunakuja kuona malaika wao kila kitu kwao kipya na kigeni, kufanya hawawezi unaishia kuteseka tu.
Lakini tusingeanza ufukunyuki mapema huenda wanayotenda wenzetu tungeona ndio booora zaid..
Hili nimeamua tu nilipokee sina namna.
Tupa mbali hilo fuko1. Mvivu sana hata nyumba hafagii yote. N jioni na sebuleni tu. Nguo najifulia mwenyewe. Shuka mpaka uzitoe ndo kwa aibu atafua.
2. Mchafu.