Ni mapungufu gani ya mkeo/mumeo umeamua kuishi nayo?

Kosa kubwa hilo. Ushauli (wa keshenzi )lakini unasaidia. We jenga ukalibu na housegirl utaona. Chelewa kulala kaa sebuleni nae mwambie(wife)kwamba sisi ndo kwanza tuaanza kuangalia tamthilia.
Ila muulize kilichomleta hapo ni nini? Na kazaliwa kwa kazi gani?
 
Kitu kipya au kigeni kwa akina nani? Aise! Kumbe na wewe ndo hivi ulivyo? Mpaka anakubali kutoka kwao anakuja kuishi kwako ujue balaa. Kafata nini? Kazi ya kufua au?We vuta picha ya mtoto wa mtaani akatizavyo na kuruka mitaro. Wako hivo hivo. Hawa ma porofeshono we huwafikii hata chembe.
Sema tu unakuta limezagamuliwa huko lilikokuwa. Mengine yana mipango kesho yake, sasa ukimrukisha sarakasi af kesho akashindwa huko alikoahidi? Hao wajanja asikwambie. Chemsha injini,hataki anatembea.
 
Ni kama tuna date manzi mmoja.
 
[emoji16][emoji16] ndo zangu hata remote iwe hapo karibu lazima aje anipe yeye nikikaa nimekaa viatu na sox anivue alete open nyepes nivae alishazoe wamgu
Acheni utemi hata sisi kazi za nyumbani zinachosha🤨
 
Mke wako anapenda kuongea sana na ww, huenda wewe ni mkimya sana. Hivo analazimika kua mtafutaji na muanzishaji wa mada.

Ila bora kua na mke muongeaji kuliko mwenye Gubu.
 

Attachments

  • download (5).jpeg
    9.4 KB · Views: 11
  • IMG_20210111_223617.jpg
    147.8 KB · Views: 11
  • 689219.png
    57 KB · Views: 9
  • IMG-20170928-WA0025.jpg
    24.4 KB · Views: 8
  • tapatalk_1503282939282.jpeg
    18.7 KB · Views: 9
  • 497764fcc739da5c062b0d5767654244.jpg
    32.7 KB · Views: 8
  • IMG-20170811-WA0048.jpg
    42.5 KB · Views: 8
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…