aBinafsi nakuwaga sipo bize sana na simu,
Kwasasa nimejifunza, sikai mbali na simu labda iwe haina chaji,
Na mama bora akupigie usipatikane lkn kuliko usipokee.
π€£π€£π€£π€£ hebu usijifanye uko na akili sana.Siipendi hiyo "Basi yaishe" imekaa kama an informal way ya kusema "Ninyamazie"
Makavu, πππ€£Anakupa makavu yako uhangaike nayo kuomba msamaha, safi sana kwa Mrs. Mπ
Hahahahahah ofcourse akili zipo nyingi mno tena ku deal na vivuruge kama wewe ndio kipaji kabisaπ€£π€£π€£π€£π€£ hebu usijifanye uko na akili sana.
Huo ni ukosefu na utovu wa nidhamu.Siipendi hiyo "Basi yaishe" imekaa kama an informal way ya kusema "Ninyamazie"
Eh naupo naye kakuzalia kitu ya jamaa ingine woh umerogwaUsalitiii......mpk kuzaaa,naumia but namuomba Mungu anope aman
Usiwe hivyo bana, au bado hujawa baba? Lazima mwenzio ajue umeenda wapi, hata ukibadili mbele kwa mbele kikubwa akiulizwa cha kwanza atasema aliaga anaenda mahali fulani watu wanapata pakuanzia, incase limetokea jambo.
[emoji23][emoji23][emoji23] Lakini mkuu kwenye hili unamuonea.
Nimejifunza,Unaonekana umekuwa sasa, mambo ya kupigiwa simu huokoti au humrudii mtu ni ya kizamani sana.
a
Hahahahahah adhabu yake ni kali kweliHuo ni ukosefu na utovu wa nidhamu.
Kifungu cha 6 kwenye kanuni za wanaume kosa hilo lina adhabu yake.
HahaaaKuwahi paja la kuku wakati nisha mwambia ilo ni langu. Saivi ni kuwahiana tu
Ila wizo anakupenda sana π€£π€£π€£mpeleke hospitali
We wizo unaishije na mtu ananuka mdomo? π€£π€£π€£
Eeh haina jinsi,Ingekuwa hivyo kitaambo saana, mwanao ninge DIVIDE BY 2 BOTH SIDES π
Khaaa si yanaisha kweli? Jikaze, tafuta hata 90,000 weka kwa mama ntilie. Chakula na soda, mchana na jioni. Chai potezea. Akipika anakula mwenyewe. Rudi home,cheza na watoto, nguo fua mwenyewe,nyoosha mwenyewe. Kama anakuzidi kipato ndo ujue ulijichanganya zamani. Ila kama anakutegemea? Siku ya siku utaona kaitisha vikao. Wambie huna shida, umejipa likizo tu ya hayo maisha ikiisha watajua.Huo ni ukosefu na utovu wa nidhamu.
Kifungu cha 6 kwenye kanuni za wanaume kosa hilo lina adhabu yake.
Mtafune bana π€£ mtoto kaiva kabisa yuleMkuu yani wife wangu hama time na mimi yani mara zote yeye sa3 kalala mimi huwa nalala sa8 au9 yani hana hata hofu!!! Kuna siku nimemuangalia dada msaidizi wetu nikaanza kumuona kama ni mzuri hivi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikalikataa hili pepo maana nimeshaapa sitakuka nitembee na dada wa kazi
Aki wewe...sijui kwakweli,[emoji1787]Hadi kumpa Ile nanilii utasusa?
Umaskini na ubahiliHV hii kitu ya kubinya dawa kutokea chini Nani muasis maanake hata bba angu nae zamani sna alikuwa akitusisitiza kubinya kutoka chini
Aisee mimi napenda awe na wivu na mimi h, wala sitomuona msumbufu, imagine mtu hana wivu na yaani fanya unachojiskia wala hajali, hapigi simu mmh hapo hamna upendo. Raha ni hvyo kidogo usipopokea simu anamind, yaani wivu wivu tu flaniππNyie mnapendaga mtu mwenye wivu toka lini. Sindio mwanzo wa kuitwa msumhufu