Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Haijawahi kutokea mtu akatupa dawa kwa sababu aliminya popote. Wengi tunaminya hadi tunafungua na tube yenyewe 🙂 Si vizuri kuwaambukiza watoto hizo OCD,Kuminya kuanzia chini kwenda juu kunaepusha kuepuka kutupa dawa ambayo haijamalizika vizuri.
Ni kiashiria kizuri cha umakini/ustaarabu hasa kwa wanao.
Hapo kwenye kuminya dawa ya mswaki hovyohovyo mmi nisingeweza kuvumilia yaani ni talaka Moja kwa moja
Wakuuu habari za usiku.
Moja kwa Moja twende kwenye maada. Mimi kwa upande wangu mapungu yafuatayo kutoka kwa mama watoto wangu nimekubali KUISHI NAYO.
1. Kuto pokea simu.
Mke wa Mimi hapokei simu hata aione inaita hatashughulika NAYO Hadi amalize shughuli zake. Ukimpigia simu asipo pokea usijisumbue kutuma sms, ukituma Kuna siku utaisoma mwenyewe.
2. Dawa ya mswaki.
Kwenye matumizi ya hii KITU yeye huminya popote pale.
3. Hajichanganya na WATU.
Yeye ni kazini, nyumbani na kanisani. Haendi tofauti na maeneo hayo labda kwenye mambo ya jamii.
4. Ukimkosea hakuulizi na haoneshi kama amechukia ila utaulizwa siku nyingine na atawasilisha kwa njia ya utani.
5. Akikukosea ukiuliza atakuambia nisamehe baba......... hapo hata uongee vipi hatakujibu.
Hapendi kabisaa kijichanganya na WATU hasa ukitaka umuudhi fika nyumbani anza kumwongelea mtu hapendi kabisaa na anachukia kwa dhati.
Haya ndio baadhi ya mambo ambayo nimeamua KUISHI NAYO na nimefamikiwa KUISHI NAYO kwa muda wa miaka 19 ya ndoa yetu.
[emoji2960][emoji848] Makubwa
Kwani kabla hujamuoa hukuona haya?
Yaani Bora mwanaume awe mchafu,sio mwanamke [emoji119][emoji119]
Pole sn
Very true.Kabla sijamuoa alikuwa akija kwangu anafua, kufagia na kudeki nyumba. Kumbe ananilaghai tu.
Simshauri ndugu yangu kuoa mwanamke asiyeishia nae pamoja chini ya mwaka.
Ni mchafu na Mvivu sana
Asante
Usiwaamini saana watu na miandiko yao...[emoji23]Mapenzi yapo na pitia comments humu utaona watu wanavyoenjoy, sanaa aah sijui labda
Mambo ya kula pamoja wote nayapenda, home tangu nakua, wote tunakaa mezani tunapakua msosi pamoja awe mfanyakazi awe nani wote na Kwa wakati mmoja hakuna kusema sijui Mimi ntakula jikoni .Mwanamke ni kumuacha tu hivyo alivyo. Si kapenda mwenyewe?
-Akikosea,msamaha ni mara moja tuuu. Ya mwanzo na ndo inakuwa ya mwisho.
-Ukifa! Wa kukuzika wapo tuuuu. Kikubwa isikikizie nafsi yako. Kama kaandaa msosi na nafsi inakusuta kula? Hamna kula. Bora uende gengeni.
-Hakikisha mnakula pamoja,hamna cha kukupakulia wala kukutengea sahani. Chukua sahani mwenyewe.
-Watu wote,hata mdada wa kazi au kijana. Mnakula pamoja hapo hapo. Wakijichanganya wakaweka midawa yao kwa makubaliano, mtayala wote. Wakisusa, waachie chakula chao na wewe.
-Kwenye mihangaiko yako na wewe unachoka na unahitaji kupumzika. Asikusumbue. Hama chumba kama kidogo lala na watoto. Akijisogeza, mwambie kesho aende kwa Shida, kwamba na wewe ukiwa na nyege utamuona Tabu.
-anza kujiandaa kuishi maisha yako. Kahela kaku anza kutunza vizuri.
-Usihudhulie vikao alivyoitisha. Kama kakuoa,aitishe. Kama kesi,aende mahakamani.
-Epuka kabisa ushauli wa wanaume. Badhi yao ndo wanampa kiburi baada ya kumbinua.
-Marafiki zake ukiwabamba usiache hata mmoja. Chapa,tembea.
Mengine ongezeeni.
Biashara ya ndoa iliisha miaka ya 1990, baada ya kuingiliwa na ujanja wa kuchovywachovywa.
Mtajua wenyewe
Hapo in details panakera saana omba isikukute hii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo kwenye in details, amekuwa shushushu
Utakula Kofi Moja zito , unasema basi yaishe kizembe tuuNdo zangu
Badi yaishe[emoji1787][emoji1787][emoji119]
Mkuu nimecheka eti Kila angle [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kitambo nilikuwaga na mmoja hawa wanajifanya hapendi kutiana yani mnaweza kukaa hata weeks hata miezi yeye akugusi hadi wewe umshtue napo unakuta ukimgusa mashauzi kibao yani kifupi ni km hataki tu, weeh!
nikaona isiwe taabu nikatafuta mtu mwingine nikawa namaliza mambo yangu huko huko tena ile unakamua haswa unahakikisha kila angle imeguswa ndo unajirudisha hom tartibu macho makavu mwenyewe unavuta shuka unageukia ukutani hadi kunakucha!
baada ya miezi kadhaa bidada kaona haguswi popote hasumbuliwi tena akili zikarudi akaona hata hii haiwezekani lazma huyu mtu kuna chimbo anamalizia mambo yake ama la biashara imeshaisha hapa.
baada ya hapo ndo tukaanza kuongea lugha moja. yeye ndo akawa ananisumbua hlf mm ndo nadengua kishenzi mamaeeh!
kiukweli hizi ndoa za mke mmoja ni makosa makubwa sana kuruhusiwa. zinawapa viburi sana hawa wanawake na kuleta masaibu mengi kwa wababa.
Aah wapiUtakula Kofi Moja zito , unasema basi yaishe kizembe tuu
PoleKabla sijamuoa alikuwa akija kwangu anafua, kufagia na kudeki nyumba. Kumbe ananilaghai tu.
Simshauri ndugu yangu kuoa mwanamke asiyeishia nae pamoja chini ya mwaka.
Ni mchafu na Mvivu sana
Asante
Wee kuna wanawake huko mbeya ukitaka kumpiga anakimbilia chumbani ukifuata anajirusha kwa bed naked harafu analala kwa mgongo na miguu anaiinua kwa juu na kuisambaza mkao wa saa 3:15. Utapiga wapi?[emoji23][emoji23]Utakula Kofi Moja zito , unasema basi yaishe kizembe tuu
Kuna majibu yanakera hasa ukiwa na hasira.Aah wapi
Hahaaa
[emoji28][emoji28] noma saanaWee kuna wanawake huko mbeya ukitaka kumpiga anakimbilia chumbani ukifuata anajirusha kwa bed naked harafu analala kwa mgongo na miguu anaiinua kwa juu na kuisambaza mkao wa saa 3:15. Utapiga wapi?[emoji23][emoji23]