Ni mapungufu gani ya mkeo/mumeo umeamua kuishi nayo?

Ni mapungufu gani ya mkeo/mumeo umeamua kuishi nayo?

Wakuuu habari za usiku.

Moja kwa Moja twende kwenye maada. Mimi kwa upande wangu mapungu yafuatayo kutoka kwa mama watoto wangu nimekubali KUISHI NAYO.

1. Kuto pokea simu.
Mke wa Mimi hapokei simu hata aione inaita hatashughulika NAYO Hadi amalize shughuli zake. Ukimpigia simu asipo pokea usijisumbue kutuma sms, ukituma Kuna siku utaisoma mwenyewe.

2. Dawa ya mswaki.
Kwenye matumizi ya hii KITU yeye huminya popote pale.

3. Hajichanganya na WATU.
Yeye ni kazini, nyumbani na kanisani. Haendi tofauti na maeneo hayo labda kwenye mambo ya jamii.

4. Ukimkosea hakuulizi na haoneshi kama amechukia ila utaulizwa siku nyingine na atawasilisha kwa njia ya utani.

5. Akikukosea ukiuliza atakuambia nisamehe baba......... hapo hata uongee vipi hatakujibu.

Hapendi kabisaa kijichanganya na WATU hasa ukitaka umuudhi fika nyumbani anza kumwongelea mtu hapendi kabisaa na anachukia kwa dhati.

Haya ndio baadhi ya mambo ambayo nimeamua KUISHI NAYO na nimefamikiwa KUISHI NAYO kwa muda wa miaka 19 ya ndoa yetu.

2 nilisikia kuna ndoa waliachana kisa kuminya popote dawa ya mswaki??

heeeh hii dunia sasa naww kumbe n mmoja wako eti nacho kinakukera
 
Kabla sijamuoa alikuwa akija kwangu anafua, kufagia na kudeki nyumba. Kumbe ananilaghai tu.
Simshauri ndugu yangu kuoa mwanamke asiyeishia nae pamoja chini ya mwaka.

Ni mchafu na Mvivu sana

Asante
[emoji2960][emoji848] Makubwa
Kwani kabla hujamuoa hukuona haya?
Yaani Bora mwanaume awe mchafu,sio mwanamke [emoji119][emoji119]
Pole sn
 
Kabla sijamuoa alikuwa akija kwangu anafua, kufagia na kudeki nyumba. Kumbe ananilaghai tu.
Simshauri ndugu yangu kuoa mwanamke asiyeishia nae pamoja chini ya mwaka.

Ni mchafu na Mvivu sana

Asante
Very true.

Japo pia kuna uwezekano mtu ukaishi naye kumbe mwenzio yupo kimkakati. anakuficha tabia zake mbayambaya hadi uingie laini umpe ndoa hapo ndo anaanzisha moto wake hadi maji uyaite mma.


Wakati nikiwa mdogo nilikuwa nashangaa kuna watu walikuwa wakibadilisha sana wanawake. unakuta saivi anaishi na mdada au mmama huyu ukija tena unakuta kamdump yule kaleta mwingine mpya, naye baada ya muda anamwacha analeta mwingine.

Lakini baada ya kupata umri nikagundua kuishi na mwanamke sio ishu ndogo aisee na ndomaana wanaume tunakufa mapema sana.

Hawa watu wengi wao ni pasua kichwa sana. yani usipojizima data tunakuimbia "[emoji445][emoji344]niagieni niagieni[emoji443][emoji444][emoji397]" sasaivi.

mi kuna kamoja hako huwa nakaangalia nakapotezea tu. yani unaweza kuwa umekaacha hom kamezungukwa na mazaga kibao ya kupika lakin mwenzio lazima atakupigia simu kuulizia leo apike nini. au ukirudi ubebe kile na kile cha kupika. yani kanaboa kweli. sijazoea maisha hayo. tena sometimes uko busy mwenyewe katikati ya mambo ya job unakuta kanapiga kukuuliza mambo ya misosi. yani kanapenda misosi balaa utafikiri kanakufa kesho.

mwanzoni nilidhani labda huyu atakuwa amemaliza vitu vya kula ndomaana anapiga simu baadaye nikagungua ndo alivyo.
 
kitambo nilikuwaga na mmoja hawa wanajifanya hapendi kutiana yani mnaweza kukaa hata weeks hata miezi yeye akugusi hadi wewe umshtue napo unakuta ukimgusa mashauzi kibao yani kifupi ni km hataki tu, weeh!

nikaona isiwe taabu nikatafuta mtu mwingine nikawa namaliza mambo yangu huko huko tena ile unakamua haswa unahakikisha kila angle imeguswa ndo unajirudisha hom tartibu macho makavu mwenyewe unavuta shuka unageukia ukutani hadi kunakucha!

baada ya miezi kadhaa bidada kaona haguswi popote hasumbuliwi tena akili zikarudi akaona hata hii haiwezekani lazma huyu mtu kuna chimbo anamalizia mambo yake ama la biashara imeshaisha hapa.

baada ya hapo ndo tukaanza kuongea lugha moja. yeye ndo akawa ananisumbua hlf mm ndo nadengua kishenzi mamaeeh!


kiukweli hizi ndoa za mke mmoja ni makosa makubwa sana kuruhusiwa. zinawapa viburi sana hawa wanawake na kuleta masaibu mengi kwa wababa.
 
Mwanamke ni kumuacha tu hivyo alivyo. Si kapenda mwenyewe?

-Akikosea,msamaha ni mara moja tuuu. Ya mwanzo na ndo inakuwa ya mwisho.

-Ukifa! Wa kukuzika wapo tuuuu. Kikubwa isikikizie nafsi yako. Kama kaandaa msosi na nafsi inakusuta kula? Hamna kula. Bora uende gengeni.

-Hakikisha mnakula pamoja,hamna cha kukupakulia wala kukutengea sahani. Chukua sahani mwenyewe.

-Watu wote,hata mdada wa kazi au kijana. Mnakula pamoja hapo hapo. Wakijichanganya wakaweka midawa yao kwa makubaliano, mtayala wote. Wakisusa, waachie chakula chao na wewe.
-Kwenye mihangaiko yako na wewe unachoka na unahitaji kupumzika. Asikusumbue. Hama chumba kama kidogo lala na watoto. Akijisogeza, mwambie kesho aende kwa Shida, kwamba na wewe ukiwa na nyege utamuona Tabu.
-anza kujiandaa kuishi maisha yako. Kahela kaku anza kutunza vizuri.

-Usihudhulie vikao alivyoitisha. Kama kakuoa,aitishe. Kama kesi,aende mahakamani.
-Epuka kabisa ushauli wa wanaume. Badhi yao ndo wanampa kiburi baada ya kumbinua.
-Marafiki zake ukiwabamba usiache hata mmoja. Chapa,tembea.

Mengine ongezeeni.

Biashara ya ndoa iliisha miaka ya 1990, baada ya kuingiliwa na ujanja wa kuchovywachovywa.

Mtajua wenyewe
Mambo ya kula pamoja wote nayapenda, home tangu nakua, wote tunakaa mezani tunapakua msosi pamoja awe mfanyakazi awe nani wote na Kwa wakati mmoja hakuna kusema sijui Mimi ntakula jikoni .
 
kitambo nilikuwaga na mmoja hawa wanajifanya hapendi kutiana yani mnaweza kukaa hata weeks hata miezi yeye akugusi hadi wewe umshtue napo unakuta ukimgusa mashauzi kibao yani kifupi ni km hataki tu, weeh!

nikaona isiwe taabu nikatafuta mtu mwingine nikawa namaliza mambo yangu huko huko tena ile unakamua haswa unahakikisha kila angle imeguswa ndo unajirudisha hom tartibu macho makavu mwenyewe unavuta shuka unageukia ukutani hadi kunakucha!

baada ya miezi kadhaa bidada kaona haguswi popote hasumbuliwi tena akili zikarudi akaona hata hii haiwezekani lazma huyu mtu kuna chimbo anamalizia mambo yake ama la biashara imeshaisha hapa.

baada ya hapo ndo tukaanza kuongea lugha moja. yeye ndo akawa ananisumbua hlf mm ndo nadengua kishenzi mamaeeh!


kiukweli hizi ndoa za mke mmoja ni makosa makubwa sana kuruhusiwa. zinawapa viburi sana hawa wanawake na kuleta masaibu mengi kwa wababa.
Mkuu nimecheka eti Kila angle [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom