Mwanamke ni kumuacha tu hivyo alivyo. Si kapenda mwenyewe?
-Akikosea,msamaha ni mara moja tuuu. Ya mwanzo na ndo inakuwa ya mwisho.
-Ukifa! Wa kukuzika wapo tuuuu. Kikubwa isikikizie nafsi yako. Kama kaandaa msosi na nafsi inakusuta kula? Hamna kula. Bora uende gengeni.
-Hakikisha mnakula pamoja,hamna cha kukupakulia wala kukutengea sahani. Chukua sahani mwenyewe.
-Watu wote,hata mdada wa kazi au kijana. Mnakula pamoja hapo hapo. Wakijichanganya wakaweka midawa yao kwa makubaliano, mtayala wote. Wakisusa, waachie chakula chao na wewe.
-Kwenye mihangaiko yako na wewe unachoka na unahitaji kupumzika. Asikusumbue. Hama chumba kama kidogo lala na watoto. Akijisogeza, mwambie kesho aende kwa Shida, kwamba na wewe ukiwa na nyege utamuona Tabu.
-anza kujiandaa kuishi maisha yako. Kahela kaku anza kutunza vizuri.
-Usihudhulie vikao alivyoitisha. Kama kakuoa,aitishe. Kama kesi,aende mahakamani.
-Epuka kabisa ushauli wa wanaume. Badhi yao ndo wanampa kiburi baada ya kumbinua.
-Marafiki zake ukiwabamba usiache hata mmoja. Chapa,tembea.
Mengine ongezeeni.
Biashara ya ndoa iliisha miaka ya 1990, baada ya kuingiliwa na ujanja wa kuchovywachovywa.
Mtajua wenyewe