Licking Wounds
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 3,979
- 5,146
Aliuza mechi kivipi mkuu? Kete NgumuMimi aliuza mechi ni mwaka wa pili nalea watoto peke yangu na nimeamua bora iishe hivi maana watoto wenyewe ni wakubwa sio wadogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliuza mechi kivipi mkuu? Kete NgumuMimi aliuza mechi ni mwaka wa pili nalea watoto peke yangu na nimeamua bora iishe hivi maana watoto wenyewe ni wakubwa sio wadogo.
Kabisa huyo wa kumletea mwanamke mwingine ndani ili achague kukaa au kuondoka.Mimi hata anune vp nna upwiru atanipa tu hata kwa kumbaka manina zake uninyime tam nikiisusa nitaenda kuitafuta ya nje atajuta kuniringishia
[emoji23]Ubishi jamani ubishiiii kwani waha wote lazima muwe wabishii?
Mbna cjaona tatizo lolote hapo.mume wangu hajali , hata kwenye mambo ya msingi
Anaweza akakupa hela labda ya kwenda site lakin ndo kila kitu utafanya mwenyewe
Fundi utatafta mwenyewe
H/ware utaenda mwenyewe
Nyumba utamwagilia mwenyewe,
hata penye kuhitaji marekebisho atakwambia we malizana na fundi unavyotaka iwe. kuuliza hela imetumikaje haulizi..ukimwambia imeisha atakwambia haya
Nimeongea sana, nimezira sana, lkn wapi
Inanikera ila basi tu ,sina namna
Sasa Kama hujui kuminya dawa vizuri si unaweza kusababisha matatizo na utaonekana Ni mshamba? Kwangu Mimi hakuna mwanamke ninaye mthamini kwenye mahusiano Kama anaejua kuminya dawa ya msuwaki vizuri[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kumbe kwenye ndoa swala la kuminya dawa ya mswaki hi serious hivi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
CarleenBora wewe unajibiwa asante baba, wengine ni wanabisha hawajakosea na wako sahihi.. [emoji1787][emoji23]
Ukishinda hoja utaambiwa basi yaishe.
Nina mwanangu ana majanga, wakati mwingine unaona hata aibu kumtembelea nyumbani kwake.
Mkewe ana kaujeri kakimya kimya, ukimuona ni mpole lakini ni mjeuri kinoooma, mwanangu anapata tabu saana, kuna muda anafikiria kumuacha.
Mie wangu ni kutaka kujua kila kitu in details, ananiboa saana, chochote kile atataka in details, hata apige simu mtu akuongeleshe atakuuliza nani huyo, ndio yupi. [emoji23][emoji1787] Unamuliza utamjuaje sasa, hata nikikutajia fulani huwezi kumjua [emoji23], sijui ni kupenda kuongea na simu au vipi
Hata umpelekee zawadi atataka kujua yoote, kama umekopa, umemnunulia na sh ngapi, unajiuliza we unataka kujua nini, yaani ni shughuli pevu [emoji23]
Kingine anapenda mnoo kuongea na simu, bora muwe karibu hii inasaidia, akiwa mbali anapiga simu ataongea mpaka stori zaitaisha, mie mvivu kubonga na FONI naishia kuweka loudspeaker tu.
Sometimes hana stori, anakupihia anakwambia mwanao anakuita, sasa mtoto Mwenyewe ndio bado hajatimiza mwaka vizuri, kuongea haongei, unajua tu hapa nimemisiwa.
Mengine madogo madogo, yanachangiwa na maisha yangu ya awali.
Elewa neno AWALI. lizingatie vema.
Mbona hapo hamna shida mkuu? Au ulitaka awe anakubana bana mpaka usipumue?mume wangu hajali , hata kwenye mambo ya msingi
Anaweza akakupa hela labda ya kwenda site lakin ndo kila kitu utafanya mwenyewe
Fundi utatafta mwenyewe
H/ware utaenda mwenyewe
Nyumba utamwagilia mwenyewe,
hata penye kuhitaji marekebisho atakwambia we malizana na fundi unavyotaka iwe. kuuliza hela imetumikaje haulizi..ukimwambia imeisha atakwambia haya
Nimeongea sana, nimezira sana, lkn wapi
Inanikera ila basi tu ,sina namna
Shida ipo mkuuMbona hapo hamna shida mkuu? Au ulitaka awe anakubana bana mpaka usipumue?
Hongera mkuu, una mke.Wakuuu habari za usiku.
Moja kwa Moja twende kwenye maada. Mimi kwa upande wangu mapungu yafuatayo kutoka kwa mama watoto wangu nimekubali KUISHI NAYO.
1. Kutopokea simu.
Mke wa Mimi hapokei simu hata aione inaita hatashughulika NAYO Hadi amalize shughuli zake. Ukimpigia simu asipopokea usijisumbue kutuma sms, ukituma kuna siku utaisoma mwenyewe.
2. Dawa ya mswaki.
Kwenye matumizi ya hii KITU yeye huminya popote pale.
3. Hajichanganya na WATU.
Yeye ni kazini, nyumbani na kanisani. Haendi tofauti na maeneo hayo labda kwenye mambo ya jamii.
4. Ukimkosea hakuulizi na haoneshi kama amechukia ila utaulizwa siku nyingine na atawasilisha kwa njia ya utani.
5. Akikukosea ukiuliza atakuambia nisamehe baba......... hapo hata uongee vipi hatakujibu.
Hapendi kabisaa kijichanganya na WATU hasa ukitaka umuudhi fika nyumbani anza kumwongelea mtu, hapendi kabisaa na anachukia kwa dhati.
Haya ndio baadhi ya mambo ambayo nimeamua KUISHI NAYO na nimefamikiwa KUISHI NAYO kwa muda wa miaka 19 ya ndoa yetu.
Huyo sio mke, n ms*ng*1. Mvivu sana hata nyumba hafagii yote. Ni jikoni na sebuleni tu. Nguo najifulia mwenyewe. Shuka mpaka uzitoe ndo kwa aibu atafua.
2. Mchafu.
Shindikana katika ubora wako.Mshamba huyo demu, mwanamke kuwa mvivu kufanya mapenzi bila sababu inaboa sana yani haumwii wala hana tatizo analeta mizozo tu kutoa tunda hapana and if there is a reason ntatafta mchepuko is once hilo likinitokea.
Sitajiliza hata sekunde ngapi ntatafta malaya wa nje chap niendelee kujiliwaza nae.
mkale mkalaleTusiokua na mke tunakoment wapi
yani hadi unipondee mremboShindikana katika ubora wako.
Jifunzeni hamu zetu ni tofauti na zenu.hahahahah
yani hadi unipondee mrembo
Tena wewe ningekupiga mpini asubuhi na jioni ili akili ikukae sawaJifunzeni hamu zetu ni tofauti na zenu.
Khaaaah!! Kwani akili haziko sawa?Tena wewe ningekupiga mpini asubuhi na jioni ili akili ikukae sawa
utaelewa tuKhaaaah!! Kwani akili haziko sawa?