Ni mapungufu gani ya mkeo/mumeo umeamua kuishi nayo?

Ni mapungufu gani ya mkeo/mumeo umeamua kuishi nayo?

Mimi hata anune vp nna upwiru atanipa tu hata kwa kumbaka manina zake uninyime tam nikiisusa nitaenda kuitafuta ya nje atajuta kuniringishia
Kabisa huyo wa kumletea mwanamke mwingine ndani ili achague kukaa au kuondoka.
 
mume wangu hajali , hata kwenye mambo ya msingi
Anaweza akakupa hela labda ya kwenda site lakin ndo kila kitu utafanya mwenyewe
Fundi utatafta mwenyewe
H/ware utaenda mwenyewe
Nyumba utamwagilia mwenyewe,
hata penye kuhitaji marekebisho atakwambia we malizana na fundi unavyotaka iwe. kuuliza hela imetumikaje haulizi..ukimwambia imeisha atakwambia haya


Nimeongea sana, nimezira sana, lkn wapi
Inanikera ila basi tu ,sina namna
 
mume wangu hajali , hata kwenye mambo ya msingi
Anaweza akakupa hela labda ya kwenda site lakin ndo kila kitu utafanya mwenyewe
Fundi utatafta mwenyewe
H/ware utaenda mwenyewe
Nyumba utamwagilia mwenyewe,
hata penye kuhitaji marekebisho atakwambia we malizana na fundi unavyotaka iwe. kuuliza hela imetumikaje haulizi..ukimwambia imeisha atakwambia haya


Nimeongea sana, nimezira sana, lkn wapi
Inanikera ila basi tu ,sina namna
Mbna cjaona tatizo lolote hapo.
 
Kumbe kwenye ndoa swala la kuminya dawa ya mswaki hi serious hivi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa Kama hujui kuminya dawa vizuri si unaweza kusababisha matatizo na utaonekana Ni mshamba? Kwangu Mimi hakuna mwanamke ninaye mthamini kwenye mahusiano Kama anaejua kuminya dawa ya msuwaki vizuri[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Bora wewe unajibiwa asante baba, wengine ni wanabisha hawajakosea na wako sahihi.. [emoji1787][emoji23]

Ukishinda hoja utaambiwa basi yaishe.

Nina mwanangu ana majanga, wakati mwingine unaona hata aibu kumtembelea nyumbani kwake.

Mkewe ana kaujeri kakimya kimya, ukimuona ni mpole lakini ni mjeuri kinoooma, mwanangu anapata tabu saana, kuna muda anafikiria kumuacha.

Mie wangu ni kutaka kujua kila kitu in details, ananiboa saana, chochote kile atataka in details, hata apige simu mtu akuongeleshe atakuuliza nani huyo, ndio yupi. [emoji23][emoji1787] Unamuliza utamjuaje sasa, hata nikikutajia fulani huwezi kumjua [emoji23], sijui ni kupenda kuongea na simu au vipi

Hata umpelekee zawadi atataka kujua yoote, kama umekopa, umemnunulia na sh ngapi, unajiuliza we unataka kujua nini, yaani ni shughuli pevu [emoji23]

Kingine anapenda mnoo kuongea na simu, bora muwe karibu hii inasaidia, akiwa mbali anapiga simu ataongea mpaka stori zaitaisha, mie mvivu kubonga na FONI naishia kuweka loudspeaker tu.

Sometimes hana stori, anakupihia anakwambia mwanao anakuita, sasa mtoto Mwenyewe ndio bado hajatimiza mwaka vizuri, kuongea haongei, unajua tu hapa nimemisiwa.

Mengine madogo madogo, yanachangiwa na maisha yangu ya awali.

Elewa neno AWALI. lizingatie vema.
Carleen
 
mume wangu hajali , hata kwenye mambo ya msingi
Anaweza akakupa hela labda ya kwenda site lakin ndo kila kitu utafanya mwenyewe
Fundi utatafta mwenyewe
H/ware utaenda mwenyewe
Nyumba utamwagilia mwenyewe,
hata penye kuhitaji marekebisho atakwambia we malizana na fundi unavyotaka iwe. kuuliza hela imetumikaje haulizi..ukimwambia imeisha atakwambia haya


Nimeongea sana, nimezira sana, lkn wapi
Inanikera ila basi tu ,sina namna
Mbona hapo hamna shida mkuu? Au ulitaka awe anakubana bana mpaka usipumue?
 
Mbona hapo hamna shida mkuu? Au ulitaka awe anakubana bana mpaka usipumue?
Shida ipo mkuu
Mimi siwez kusimamia mafundi kama yeye, kwanza yy ni mwanaume fnd hawez leta mzaha
Pili uelewa wake na wangu khs ujenzi ni tofaut, why asisimame km mwanaume??

Hlf sasa usidhani hata anajambo la msingi sana la kufanya zaidi ya kaz
Akitoka kazini anapita baa...hapa ndo nakasirikaga mpk nataman ardhi ipasuke
Nimeamua niishi nalo tu
 
Wakuuu habari za usiku.

Moja kwa Moja twende kwenye maada. Mimi kwa upande wangu mapungu yafuatayo kutoka kwa mama watoto wangu nimekubali KUISHI NAYO.

1. Kutopokea simu.
Mke wa Mimi hapokei simu hata aione inaita hatashughulika NAYO Hadi amalize shughuli zake. Ukimpigia simu asipopokea usijisumbue kutuma sms, ukituma kuna siku utaisoma mwenyewe.

2. Dawa ya mswaki.
Kwenye matumizi ya hii KITU yeye huminya popote pale.

3. Hajichanganya na WATU.
Yeye ni kazini, nyumbani na kanisani. Haendi tofauti na maeneo hayo labda kwenye mambo ya jamii.

4. Ukimkosea hakuulizi na haoneshi kama amechukia ila utaulizwa siku nyingine na atawasilisha kwa njia ya utani.

5. Akikukosea ukiuliza atakuambia nisamehe baba......... hapo hata uongee vipi hatakujibu.

Hapendi kabisaa kijichanganya na WATU hasa ukitaka umuudhi fika nyumbani anza kumwongelea mtu, hapendi kabisaa na anachukia kwa dhati.

Haya ndio baadhi ya mambo ambayo nimeamua KUISHI NAYO na nimefamikiwa KUISHI NAYO kwa muda wa miaka 19 ya ndoa yetu.
Hongera mkuu, una mke.
Ngj tuone wengine wanakumbana na kadhia zipi😁😁, nasoma comments
 
Mshamba huyo demu, mwanamke kuwa mvivu kufanya mapenzi bila sababu inaboa sana yani haumwii wala hana tatizo analeta mizozo tu kutoa tunda hapana and if there is a reason ntatafta mchepuko is once hilo likinitokea.

Sitajiliza hata sekunde ngapi ntatafta malaya wa nje chap niendelee kujiliwaza nae.
Shindikana katika ubora wako.
 
Back
Top Bottom