Ni mapungufu gani ya mkeo/mumeo umeamua kuishi nayo?

Ni mapungufu gani ya mkeo/mumeo umeamua kuishi nayo?

Me wa kwangu shida kubwa aliyonayo ni kwenyw kutoa papuchi tu especially akiwa ameshalala hataki kabisa kuamshwa. Yaani mtagombana hapo, na hutapata kitu na utaishia kununiwa na unaweza kukosa hata wiki 2 au 3. So nimeshajizoelea, nikitaka mambo namuwahi kabla hajalala, mwanzoni ilinipa shida sana baaye nikazoea tu. Kitu kingine anachoniboa ni mkitofautiana kidogo tu kosa liwe lake au lako basi hapo adhabu yake ni kukunyima papuchi😊, yaani hapo atanuna hata wiki na mzigo hupati. Yaani nilishaongea sana kuhusu hii issue lakini wala hajali. Uzuri wake ni mcha Mungu sana kanisani, jumuiya hakosi, watoto analea vizuri, mfuatiliaji wa masomo yao, msafi, mpishi mzuri sana, si mchoyo, kifupi ni mama bora wa wanangu.
Ila kama ujuavyo nyege hazina adabu kwa hiyo kukabikiana na hali hiyo nina single mama wangu mmoja huyo mzuri shape na nn alizalishwaga mapema, nikizidiwa na upriru naenda punguza nyege huko, shida ni cost zake mara nimeishiwa chakula, sijui nimuongezee ada ya mwanae, sijui pango la nyumba, mara gas, mara zamu yake kununua umeme etc.. Wanaume tutafika mbinguni tumechoka sana
Mkeo ana tabia ambayo ndio imevunja ndoa nyingi sana miaka hii.

Ku-weaponize sex dhidi ya mmeo ni kitu kibaya sana.
 
Mkeo ana tabia ambayo ndio imevunja ndoa nyingi sana miaka hii.

Ku-weaponize sex dhidi ya mmeo ni kitu kibaya sana.
Kweli kabisa mkuu yaani kama una roho nyepesi mbona unapiga chini, sema mm nimeamua tu niishi na hayo mapungufu for the sake ya malezi ya watoto, maana watoto bila malezi ya mama ni changamoto. Nikibanwa sana nakamata mchepuko wangu napunguza uzito narudi home mwepesi, maisha yanasonga
 
Kweli kabisa mkuu yaani kama una roho nyepesi mbona unapiga chini, sema mm nimeamua tu niishi na hayo mapungufu for the sake ya malezi ya watoto, maana watoto bila malezi ya mama ni changamoto. Nikibanwa sana nakamata mchepuko wangu napunguza uzito narudi home mwepesi, maisha yanasonga
Huu nao ni uamuzi mzuri, maana umepima cons na pros za kumuacha ukaona kipi ni SAHIHI .. good luck Mzee.

Ila mwanaume anaeoa miaka hii inabidi awe na thick skin, maana si kwa wanawake hawa na jamii nayo ndio hii hapo inawakingia kifua kwa kila wanalolifanya.
 
Nimekuelewa vizuri sana, sema wewe ndio umeshindwa kunielewa kwanini nimekujibu hivyo.....

Umesema kuwa wewe hupendi kuongea ongea mara kwa mara au sio muongeaji tuseme, wakati huo mkeo nimuongeaji sana kiasi kwamba mpaka muda mwingine unaona kero.....

Sasa na Mimi ndio nasemaje, wewe ulistahili kupata mwanamke mwenye gubu yaani yule ambaye haongei kabisa na hasa mkiwa mmetofautiana jambo anaweza akakaa hata wiki nzima haongei... Huyo mngeendana
Sasa tumeelewana
 
Me wa kwangu shida kubwa aliyonayo ni kwenyw kutoa papuchi tu especially akiwa ameshalala hataki kabisa kuamshwa. Yaani mtagombana hapo, na hutapata kitu na utaishia kununiwa na unaweza kukosa hata wiki 2 au 3. So nimeshajizoelea, nikitaka mambo namuwahi kabla hajalala, mwanzoni ilinipa shida sana baaye nikazoea tu. Kitu kingine anachoniboa ni mkitofautiana kidogo tu kosa liwe lake au lako basi hapo adhabu yake ni kukunyima papuchi[emoji4], yaani hapo atanuna hata wiki na mzigo hupati. Yaani nilishaongea sana kuhusu hii issue lakini wala hajali. Uzuri wake ni mcha Mungu sana kanisani, jumuiya hakosi, watoto analea vizuri, mfuatiliaji wa masomo yao, msafi, mpishi mzuri sana, si mchoyo, kifupi ni mama bora wa wanangu.
Ila kama ujuavyo nyege hazina adabu kwa hiyo kukabikiana na hali hiyo nina single mama wangu mmoja huyo mzuri shape na nn alizalishwaga mapema, nikizidiwa na upriru naenda punguza nyege huko, shida ni cost zake mara nimeishiwa chakula, sijui nimuongezee ada ya mwanae, sijui pango la nyumba, mara gas, mara zamu yake kununua umeme etc.. Wanaume tutafika mbinguni tumechoka sana
daah unakosa mambo mazuri buddah. naonaga mto.mbano mzuri ni ule wa usikumwingi tena ile kwenye giza la kufa mtu, ni tam sn, ladha yake haielezeki
 
Me wa kwangu shida kubwa aliyonayo ni kwenyw kutoa papuchi tu especially akiwa ameshalala hataki kabisa kuamshwa. Yaani mtagombana hapo, na hutapata kitu na utaishia kununiwa na unaweza kukosa hata wiki 2 au 3. So nimeshajizoelea, nikitaka mambo namuwahi kabla hajalala, mwanzoni ilinipa shida sana baaye nikazoea tu. Kitu kingine anachoniboa ni mkitofautiana kidogo tu kosa liwe lake au lako basi hapo adhabu yake ni kukunyima papuchi[emoji4], yaani hapo atanuna hata wiki na mzigo hupati. Yaani nilishaongea sana kuhusu hii issue lakini wala hajali. Uzuri wake ni mcha Mungu sana kanisani, jumuiya hakosi, watoto analea vizuri, mfuatiliaji wa masomo yao, msafi, mpishi mzuri sana, si mchoyo, kifupi ni mama bora wa wanangu.
Ila kama ujuavyo nyege hazina adabu kwa hiyo kukabikiana na hali hiyo nina single mama wangu mmoja huyo mzuri shape na nn alizalishwaga mapema, nikizidiwa na upriru naenda punguza nyege huko, shida ni cost zake mara nimeishiwa chakula, sijui nimuongezee ada ya mwanae, sijui pango la nyumba, mara gas, mara zamu yake kununua umeme etc.. Wanaume tutafika mbinguni tumechoka sana
Mwanamke anayekimbilia kukunyima usiku sasa umemuoa wa nini sasa.

Akifanya hivyo kesho namletea mke mwenzie tu.
 
Iwe fundisho kwa wengine.
Wakati mwingine unawaletea umbubu tu.

Nilipata kuishi na demu fulani, ni zile dizaini za kizaramo, kidogo kanuna, anaweza ongea usiku kucha.
Siku moja tumevurugana, kabwabwaja wee, mie nikajipandia zangu kitandani nikalala, asubuhi nimeamka anafanya usafi, mie mzee wa kuflash nikampa hi, anaitikia kama kalazimishwa, nikafanya yangu... Namuuliza tumapiga kifungua kinywa gani, maana ndani kulikuwa hakuna kitu kabiisa mzaga zaga yalikuwa yamekata
Jibu lake sasa
"sijisikii kupika"
Nikavaa nguo zangu, nikaanza kutoka akaniuliza unaniachaje, humu ndani hakuna kitu au ndio unaenda kununua vitu, mie "hapana"
Yeye, unaniachaje sasa, niachie hela ya kula.
Nami nikamjibu sijisikii kuacha hela..
Nikatoka mtaa wa kwanza mtaa wa pili, naenda kwa jini langu moja, napata kifungua kinywa saafi, nakula na kumkula mwanadamu mwenzangu.
Mchana simu, mie nina njaa, sijajibu, usiku simu nina njaa sijajibu, urudi hata na chipsi mume wangu, nikaona huyu tayari kajua kama ana mume.. Nikahakikisha nimekula nimeshiba, nikanunua chipsi kavu nikaeda nazo ananawa ale, nami nikanawa nile, akasema mume wangu vichipsi hivi tule wote, nikamuuliza unataka kula na nani sasa, we umesema hujisikii kupika, sasa nimekula wapi, akajichekesha tukavitafuna viazi, tukashushia na maji usingiz asubuh salam ya kwanza ni umeamkaje mume wangu. [emoji23]
Moyoni nikasema pumbavu kabisa.. Nikajibu salama nae ndio wa kwanza kuuliza tunapiga kifungua kinywa gani.. [emoji23][emoji1787]
Fanya yote lakini sio kumnyima chakula mwenzio.
 
Muha yule na ubishi daadek kama uji na mgonjwa. Simu ukipiga na kupokelewa unashangilia yaani kila siku simu utapiga mpaka ujae upepo haipokelewi, mara itupwe huko yaani tafrani. Mengine Alhamdulilaah nimepata ila humo kwenye hayo daah hapana
 
Ubishi jamani ubishiiii kwani waha wote lazima muwe wabishii?
Daah hawa viumbe sijui ndio Maana Mungu akawapa Mkoa wa mbali, aisee ni wajuajii, wabishi daah kiukweli ktk kitu kinaniboa kwa huyu Muha wangu hili la kubishabisha daah sijawahi kupiga mwanamke ila nnahisi sintazeeka sijamlamba kofi
 
Wee kitumbua kabisa kimeanikwa kwa ufundi. Hasira zinakata. Kichwa cha chini kina nguvu[emoji1787][emoji1787]

Mi sipo hivyo na wangu sio rahisi afanye hayo labda mchepuko japo nae siwezi mpiga kipigo ni kwa mke wangu tu hawa wengine tukishindwana pita kushoto nipite kulia
 
Mwanamke anayekimbilia kukunyima usiku sasa umemuoa wa nini sasa.

Akifanya hivyo kesho namletea mke mwenzie tu.

Mimi hata anune vp nna upwiru atanipa tu hata kwa kumbaka manina zake uninyime tam nikiisusa nitaenda kuitafuta ya nje atajuta kuniringishia
 
Bora wewe unajibiwa asante baba, wengine ni wanabisha hawajakosea na wako sahihi.. 🤣😂

Ukishinda hoja utaambiwa basi yaishe.

Nina mwanangu ana majanga, wakati mwingine unaona hata aibu kumtembelea nyumbani kwake.

Mkewe ana kaujeri kakimya kimya, ukimuona ni mpole lakini ni mjeuri kinoooma, mwanangu anapata tabu saana, kuna muda anafikiria kumuacha.

Mie wangu ni kutaka kujua kila kitu in details, ananiboa saana, chochote kile atataka in details, hata apige simu mtu akuongeleshe atakuuliza nani huyo, ndio yupi. 😂🤣 Unamuliza utamjuaje sasa, hata nikikutajia fulani huwezi kumjua 😂, sijui ni kupenda kuongea na simu au vipi

Hata umpelekee zawadi atataka kujua yoote, kama umekopa, umemnunulia na sh ngapi, unajiuliza we unataka kujua nini, yaani ni shughuli pevu 😂

Kingine anapenda mnoo kuongea na simu, bora muwe karibu hii inasaidia, akiwa mbali anapiga simu ataongea mpaka stori zaitaisha, mie mvivu kubonga na FONI naishia kuweka loudspeaker tu.

Sometimes hana stori, anakupihia anakwambia mwanao anakuita, sasa mtoto Mwenyewe ndio bado hajatimiza mwaka vizuri, kuongea haongei, unajua tu hapa nimemisiwa.

Mengine madogo madogo, yanachangiwa na maisha yangu ya awali.

Elewa neno AWALI. lizingatie vema.
Hahahahahhah......umeniongelea mim kabsa kaka......hata wangu anakuwa na hiii kitabia ya kutaka kujua kila kitu in detail na ingine ndio hii anapenda Sana kuongea na simu na ndug zake kuliko ndg zangu......
 
Back
Top Bottom