Ni mapungufu gani ya mkeo/mumeo umeamua kuishi nayo?

Ni mapungufu gani ya mkeo/mumeo umeamua kuishi nayo?

Bora wewe unajibiwa asante baba, wengine ni wanabisha hawajakosea na wako sahihi.. 🤣😂

Ukishinda hoja utaambiwa basi yaishe.

Nina mwanangu ana majanga, wakati mwingine unaona hata aibu kumtembelea nyumbani kwake.

Mkewe ana kaujeri kakimya kimya, ukimuona ni mpole lakini ni mjeuri kinoooma, mwanangu anapata tabu saana, kuna muda anafikiria kumuacha.

Mie wangu ni kutaka kujua kila kitu in details, ananiboa saana, chochote kile atataka in details, hata apige simu mtu akuongeleshe atakuuliza nani huyo, ndio yupi. 😂🤣 Unamuliza utamjuaje sasa, hata nikikutajia fulani huwezi kumjua 😂, sijui ni kupenda kuongea na simu au vipi

Hata umpelekee zawadi atataka kujua yoote, kama umekopa, umemnunulia na sh ngapi, unajiuliza we unataka kujua nini, yaani ni shughuli pevu 😂

Kingine anapenda mnoo kuongea na simu, bora muwe karibu hii inasaidia, akiwa mbali anapiga simu ataongea mpaka stori zaitaisha, mie mvivu kubonga na FONI naishia kuweka loudspeaker tu.

Sometimes hana stori, anakupihia anakwambia mwanao anakuita, sasa mtoto Mwenyewe ndio bado hajatimiza mwaka vizuri, kuongea haongei, unajua tu hapa nimemisiwa.

Mengine madogo madogo, yanachangiwa na maisha yangu ya awali.

Elewa neno AWALI. lizingatie vema.
Wewe mbona umepata mke kabisa!! Hayo uliyoyaelezea hapa Kama mapungufu kwangu Mimi naona upendo na si kero kama unavyochukulia.... Ungepata BOMU kama la mleta mada nahisi ungekuwa umeshabwaga manyanga siku nyingi.

Yaani mkeo kukupigia simu na kuongea na wewe muda mrefu Tena anamuita na mwanao hili muongee wote watatu wewe unaona ni kero aisee!! Haya anataka kujua zawadi fedha unazotumia kwenye vitu minor kama zawadi unaona anakukera... Kuna wenzako wanayatamani sana haya yote uliyoyaandika hapa wangeyapata kutoka kwa wake zao, lakini ndio hivyo hata moja wapo tu miongoni mwa hayo hawapati.....!!

Mtu ana shauku ya kujua watu wote unaojichanganya nao kwa ustawi wa familia ya baba wa watoto wake.... aisee uyo mke wako ni mke adimu kwa zama hizi, Fanya kuachana nae Kisha ubadilishane na wa huyo jamaa yako Kisha baada ya mwaka urudi hapa kutupa mrejesho.
 
Huyo mke wako anakupenda hongera mkuu wanaume wengi wameoa wanawake ambao hawapendwi na wake zao
Nimemshangaa sana jamaa kuona upendo anaoneshwa na mkewe yeye kwake ni kero.... Mwambie kuwa Kuna wenzake wakipigiwa simu na wake zao basi ujue ni ama luku imeisha au mtoto ameugua ghafla basi, tofauti na hapo mtu anaweza akakaa hata mwezi mzima bila kuona simu ya mkewe.
 
Wewe mbona umepata mke kabisa!! Hayo uliyoyaelezea hapa Kama mapungufu kwangu Mimi naona upendo na si kero kama unavyochukulia.... Ungepata BOMU kama la mleta mada nahisi ungekuwa umeshabwaga manyanga siku nyingi.

Yaani mkeo kukupigia simu na kuongea na wewe muda mrefu Tena anamuita na mwanao hili muongee wote watatu wewe unaona ni kero aisee!! Haya anataka kujua zawadi fedha unazotumia kwenye vitu minor kama zawadi unaona anakukera... Kuna wenzako wanayatamani sana haya yote uliyoyaandika hapa wangeyapata kutoka kwa wake zao, lakini ndio hivyo hata moja wapo tu miongoni mwa hayo hawapati.....!!

Mtu ana shauku ya kujua watu wote unaojichanganya nao kwa ustawi wa familia ya baba wa watoto wake.... aisee uyo mke wako ni mke adimu kwa zama hizi, Fanya kuachana nae Kisha ubadilishane na wa huyo jamaa yako Kisha baada ya mwaka urudi hapa kutupa mrejesho.
Sifikirii hata kidogo. Sina hata mawazk hayo.

Ni ishara ya upendo, ila kwangu nisiyependa kuzungumza na simu muda mrefu ni tabu kidogo, nikilala kuamshwa sipendi, pia sipendi vijiswali vingi vingi, najua ni upendo ila kwangu ni changamoto
 
Sifikirii hata kidogo. Sina hata mawazk hayo.

Ni ishara ya upendo, ila kwangu nisiyependa kuzungumza na simu muda mrefu ni tabu kidogo, nikilala kuamshwa sipendi, pia sipendi vijiswali vingi vingi, najua ni upendo ila kwangu ni changamoto

Bado kidogo uzabuliwe makofi kwa kufananisha upendo na usumbufu[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wewe mbona umepata mke kabisa!! Hayo uliyoyaelezea hapa Kama mapungufu kwangu Mimi naona upendo na si kero kama unavyochukulia.... Ungepata BOMU kama la mleta mada nahisi ungekuwa umeshabwaga manyanga siku nyingi.

Yaani mkeo kukupigia simu na kuongea na wewe muda mrefu Tena anamuita na mwanao hili muongee wote watatu wewe unaona ni kero aisee!! Haya anataka kujua zawadi fedha unazotumia kwenye vitu minor kama zawadi unaona anakukera... Kuna wenzako wanayatamani sana haya yote uliyoyaandika hapa wangeyapata kutoka kwa wake zao, lakini ndio hivyo hata moja wapo tu miongoni mwa hayo hawapati.....!!

Mtu ana shauku ya kujua watu wote unaojichanganya nao kwa ustawi wa familia ya baba wa watoto wake.... aisee uyo mke wako ni mke adimu kwa zama hizi, Fanya kuachana nae Kisha ubadilishane na wa huyo jamaa yako Kisha baada ya mwaka urudi hapa kutupa mrejesho.
ok
 
Sifikirii hata kidogo. Sina hata mawazk hayo.

Ni ishara ya upendo, ila kwangu nisiyependa kuzungumza na simu muda mrefu ni tabu kidogo, nikilala kuamshwa sipendi, pia sipendi vijiswali vingi vingi, najua ni upendo ila kwangu ni changamoto
Ni changamoto kwako, unapenda mwanamke mwenye gubu Mzee yule ambaye mnakaa hata wiki nzima hamuongeleshani pale mnapozinguana
 
Acha nimstiri wangu maana nilisema katika shida na raha, iweje nizipende raha tu, shida nianze kuzilalamikia?
Unapoeleza inasaidia kujua kumbe ni mambo ya kawaida na yapo kwa wengi. Unajifunza jinsi ya kuyakabili bila madhara.
 

Attachments

  • Screenshot_20231123-205931_1.jpg
    Screenshot_20231123-205931_1.jpg
    61.4 KB · Views: 8
Back
Top Bottom