Ni mapungufu gani ya mkeo/mumeo umeamua kuishi nayo?

Duuh! Me naona ni kama anakuaminia sana ndo mana anafanya hivyo! Take your position,usimuangushe wala usifelishe harakati! Fanya kadri ya uwezo wako na mambo yawe fresh! Huwezi jua,labda hiyo inampa sana amani ya moyo! Wanaume tuna mambo mengi! BTW kusimamia show tu mbona safi? Tena mpunga wote unakaa nao wewe?! Mbona safi tu?! Ishi nalo mkuu! ✌🏽
 
Kaka wifi ana wivu sana itakuwaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Kumbe kwenye ndoa swala la kuminya dawa ya mswaki hi serious hivi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huko ndoani tuvae na vinjuga shughuli sio ndogo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
🀣🀣🀣🀣
 
Watu ambao hamjawahi kupendwa jamani πŸ˜€πŸ˜€ mnahisigi ni tamthiliya ama mwingine anaona unamset..
Yani sijui wanaonaje hawajawah kupendwa πŸ˜‚πŸ˜‚
Mimi nilikuwa siamini mwanaume akipenda analia had mtu alivoniangushia kilio πŸ˜‚ πŸ˜‚πŸ˜‚ aisee hilo tukio silisahau
 
Yani sijui wanaonaje hawajawah kupendwa [emoji23][emoji23]
Mimi nilikuwa siamini mwanaume akipenda analia had mtu alivoniangushia kilio [emoji23] [emoji23][emoji23] aisee hilo tukio silisahau
Aqahhh ulimpa nn aiseeee embu tuanzie hapo
 
Aqahhh ulimpa nn aiseeee embu tuanzie hapo
Hahah upendo tu alikuwa ananipenda alafu mm nilikuwa nachukulia easy tu πŸ˜€ Yan Ilikuwa km vile kwenye bongo movie🀣🀣🀣🀣
 
Hahah upendo tu alikuwa ananipenda alafu mm nilikuwa nachukia easy tu [emoji3] Yan Ilikuwa km vile kwenye bongo movie[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23]hiyo syo bongo movie hlo ni picha la kihindi kabisa Kuch kuch hota hai
 
Hahah yani picha la kutisha
Lakini pia Nashukuru sana Mungu Kila niliewah kuwa kwenye maishayake nimeacha alama nzuri kuanzia mpenz,marafiki,ndugu hata majirani ni wote tu
Upo vzurii basi mamaa seems pia unakuaga na upendo wa dhati sana ukifall kwa mtu,, sisi wengne na maumivu tu full kuchoshanaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…