Ni mapungufu gani ya mkeo/mumeo umeamua kuishi nayo?

Ni mapungufu gani ya mkeo/mumeo umeamua kuishi nayo?

Umbea….. kila jion hua sitakiwi kua karibu na simu wala tv, nikuanza kupewa habari za kitaifa na kimataifa, kabla ya kua nae sikuwahi kujua ni mbea kiasi hiki, umbea ukiwa mpya napigiwa simu nikiwa kazini niwahi nyumban leo kumbe issue ni umbea tu, yan akikosa umbea atanza hata kunipa story za mtoto au wateja wake kazini yan akikosa kabisa ananza kuniletea story za kwenye viseries vya kwenye group zake huko ilimradi aongee tu na kumsikiliza iyo ni lazima sio ombi.

Ukiona kaacha kukupa umbea!! Sign kubwa sana, kuna mahali anapeleka na akimaliza kuthimulia tu......!!!
 
hahahahah
Kuna mda huwa naziba masikio anatuma kama sipo eneo hilo😁😁
Nshapokea sana malalamiko yake kwamba namtuma sana yani baba #%='¥$¢ kama muhindi, nikamkanya akawa hasikii sasa nikaamua kuacha kumtuma yeye nikaanza kuwa namtuma beki tatu kila kitu. Matokeo yake akisikia tu naita jina la beki tatu yeye huwa anajiwahi unataka nikuletee nini baba #£&@¥€? Naona kama adabu imeanza kumrejea.
 
Personally mama chanja amekua nguzo kubwa sana kwangu. Tunatofautiana, yeye ni super organized alaf mimi sasa ni totally opposite. Kweli anajitahd, kila kitu anaweka sawa after me na ameshazoea.
Jam ni pale akinuna, wooi, ukizubaa mnaeza enda hata siku 3. Nlichoamua kufanya, nkiona amenuna, namtema kwanza nakua nahangaika na mishe zangu, anaanza kuona wivu, akishafika hyo stage, nakaza vifuniko vyote ndani ya nyumba, lazma anitafute aniombe msaada. Tunaanza kuongea tena.
Lakini watoto analea vzur, nyumba n safi mida wote, chakula standard kabisa n.k
Mungu ampe maisha marefu seedco wangu
Upo vizuri Mungu akubariki
 
Wakuuu habari za usiku.

Moja kwa Moja twende kwenye maada. Mimi kwa upande wangu mapungu yafuatayo kutoka kwa mama watoto wangu nimekubali KUISHI NAYO.

1. Kuto pokea simu.
Mke wa Mimi hapokei simu hata aione inaita hatashughulika NAYO Hadi amalize shughuli zake. Ukimpigia simu asipo pokea usijisumbue kutuma sms, ukituma Kuna siku utaisoma mwenyewe.

2. Dawa ya mswaki.
Kwenye matumizi ya hii KITU yeye huminya popote pale.

3. Hajichanganya na WATU.
Yeye ni kazini, nyumbani na kanisani. Haendi tofauti na maeneo hayo labda kwenye mambo ya jamii.

4. Ukimkosea hakuulizi na haoneshi kama amechukia ila utaulizwa siku nyingine na atawasilisha kwa njia ya utani.

5. Akikukosea ukiuliza atakuambia nisamehe baba......... hapo hata uongee vipi hatakujibu.

Hapendi kabisaa kijichanganya na WATU hasa ukitaka umuudhi fika nyumbani anza kumwongelea mtu hapendi kabisaa na anachukia kwa dhati.

Haya ndio baadhi ya mambo ambayo nimeamua KUISHI NAYO na nimefamikiwa KUISHI NAYO kwa muda wa miaka 19 ya ndoa yetu.

Nimesoma weeee....! Sijaona mtu anayekabiliwa na mapungufu ninayokabiliana!!

Nimeoa msichana mzuri, tulikuwa tunafanana tabia kama kupenda kusikiliza aina fulani ya music pamoja. Kutoka outing, kupiga wine zetu wenyewe daaah!! Tukisafiri itaandaliwa collection ya music na humo garini ni raha tupu.

Sijui kakutana na mitume gani pumbafu!! Wamemfanya amebadilika totally, amekuwa mwoga wa maisha, anaogopa kufa kama yeye ndo atakufa pekee.

Nyumbani!! Hakuna kusikiliza music ni dhambi, no wine no anything!! Nyumba ipo kimyaaa....!!

Hakuna utani hakuna stories muda wote ni kuomba na kulia mpaka namshangaa kilichomkuta!!

Hakuna kujipodoa wala kusukia nywele bandia, dhambi!! Kuna manguo yao kama sketi za charanga yaan!! Kawa kama bibi fulani hivi!

Muda wote ni serious! Mkali kwa watoto mkali kwangu japo nilishamuwasha kwangu mie haleti ujinga wake.

Imebidi niwashike watoto (nipo nao close) maana niliona wanakuwa victims kwa hii tabia iliyokuja. Naye nimemuacha ajiendeshe mwenyewe kwanza akirudi kawaida tutaelewana.

Maisha nimeamua kuyafanya kama naishi alone kwanza ili mambo yaende ila ni kero kubwa saaana!!
 
Wakuuu habari za usiku.

Moja kwa Moja twende kwenye maada. Mimi kwa upande wangu mapungu yafuatayo kutoka kwa mama watoto wangu nimekubali KUISHI NAYO.

1. Kuto pokea simu.
Mke wa Mimi hapokei simu hata aione inaita hatashughulika NAYO Hadi amalize shughuli zake. Ukimpigia simu asipo pokea usijisumbue kutuma sms, ukituma Kuna siku utaisoma mwenyewe.

2. Dawa ya mswaki.
Kwenye matumizi ya hii KITU yeye huminya popote pale.

3. Hajichanganya na WATU.
Yeye ni kazini, nyumbani na kanisani. Haendi tofauti na maeneo hayo labda kwenye mambo ya jamii.

4. Ukimkosea hakuulizi na haoneshi kama amechukia ila utaulizwa siku nyingine na atawasilisha kwa njia ya utani.

5. Akikukosea ukiuliza atakuambia nisamehe baba......... hapo hata uongee vipi hatakujibu.

Hapendi kabisaa kijichanganya na WATU hasa ukitaka umuudhi fika nyumbani anza kumwongelea mtu hapendi kabisaa na anachukia kwa dhati.

Haya ndio baadhi ya mambo ambayo nimeamua KUISHI NAYO na nimefamikiwa KUISHI NAYO kwa muda wa miaka 19 ya ndoa yetu.
Huyu ni mzungu na msomi hongera sana kwa kumpata huyu
 
Wakuuu habari za usiku.

Moja kwa Moja twende kwenye maada. Mimi kwa upande wangu mapungu yafuatayo kutoka kwa mama watoto wangu nimekubali KUISHI NAYO.

1. Kuto pokea simu.
Mke wa Mimi hapokei simu hata aione inaita hatashughulika NAYO Hadi amalize shughuli zake. Ukimpigia simu asipo pokea usijisumbue kutuma sms, ukituma Kuna siku utaisoma mwenyewe.

2. Dawa ya mswaki.
Kwenye matumizi ya hii KITU yeye huminya popote pale.

3. Hajichanganya na WATU.
Yeye ni kazini, nyumbani na kanisani. Haendi tofauti na maeneo hayo labda kwenye mambo ya jamii.

4. Ukimkosea hakuulizi na haoneshi kama amechukia ila utaulizwa siku nyingine na atawasilisha kwa njia ya utani.

5. Akikukosea ukiuliza atakuambia nisamehe baba......... hapo hata uongee vipi hatakujibu.

Hapendi kabisaa kijichanganya na WATU hasa ukitaka umuudhi fika nyumbani anza kumwongelea mtu hapendi kabisaa na anachukia kwa dhati.

Haya ndio baadhi ya mambo ambayo nimeamua KUISHI NAYO na nimefamikiwa KUISHI NAYO kwa muda wa miaka 19 ya ndoa yetu.
Na. 1 sio nzuri
Kuna simu za dharula,aache ujinga!
Mfano ,mume kapata tatizo ye ndo anapigiwa afike kwenye tukio Kwa wakati na hapokei inakuwaje hapo?
No. 3 ndo km mi,aah mi sipendi bwana ,ila Huwa hatueleweki.
Ongea nae,mengine sio issue
 
Back
Top Bottom