Ni mara mia Simba ya msimu uliopita kuliko Simba ya msimu huu.

Ni mara mia Simba ya msimu uliopita kuliko Simba ya msimu huu.

M.Rutabo

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2015
Posts
1,031
Reaction score
2,647
Kama utakuwa shabiki kweli wa mpira na mfatiliaji wa soka la Tanzania na Afrika utakubaliana na mimi kwamba kwa simba ya msimu jana ambayo iliisumbua yanga mechi ya round ya pili ya ligi na matokeo kuwa Yanga 2 na Simba 1 basi kama simba ile ndo ingecheza na wale Warabu wa Libya Simba ile ingeshinda ugenini tena sio kwa goli moja. Pamoja na mapungufu mengine ila kila kikosi kilikuwa bora mara mia ya hiki cha sasa nikikumbuka siku wanamchapa mtu goli sita Kwa mkapa na kutinga atua ya robo fainali ligi ya Mabigwa msimu jana nabaki kushangaa wale wachezaji waliwakosea nn?
 
Kama utakuwa shabiki kweli wa mpira na mfatiliaji wa soka la Tanzania na Afrika utakubaliana na mimi kwamba kwa simba ya msimu jana ambayo iliisumbua yanga mechi ya round ya pili ya ligi na matokeo kuwa Yanga 2 na Simba 1 basi kama simba ile ndo ingecheza na wale Warabu wa Libya Simba ile ingeshinda ugenini tena sio kwa goli moja. Pamoja na mapungufu mengine ila kila kikosi kilikuwa bora mara mia ya hiki cha sasa nikikumbuka siku wanamchapa mtu goli sita Kwa mkapa na kutinga atua ya robo fainali ligi ya Mabigwa msimu jana nabaki kushangaa wale wachezaji waliwakosea nn?
Hamna timu mle muzeye.
 
... nikikumbuka siku wanamchapa mtu goli sita Kwa mkapa na kutinga atua ya robo fainali ligi ya Mabigwa msimu jana nabaki kushangaa wale wachezaji waliwakosea nn?
Nadhani pia umesahau (au hujui) kwamba kikosi hicho hicho kilichoshinda goli 6-0 kwa Mkapa ndicho hicho hicho kilichotoa sare ya 0-0 ugenini dhidi ya timu hiyo hiyo. Sasa kama kikosi cha mwaka jana unachokisifia kilitoa sare ya 0-0 ugenini na hautaki kuizungumzia, ila unazungumzia tu mchezo wa marudiano Kwa Mkapa, kwa nini na hiki cha mwaka huu kilichoanza na sare kama hiyo hiyo ya 0-0 ugenini usisubiri kwanza mchezo wa marudiano?

超级截屏_20240918_072158.png
 
Nadhani pia umesahau (au hujui) kwamba kikosi hicho hicho kilichoshinda goli 6-0 kwa Mkapa ndicho hicho hicho kilichotoa sare ya 0-0 ugenini dhidi ya timu hiyo hiyo. Sasa kama kikosi cha mwaka jana unachokisifia kilitoa sare ya 0-0 ugenini na hautaki kuizungumzia, ila unazungumzia tu mchezo wa marudiano Kwa Mkapa, kwa nini na hiki cha mwaka huu kilichoanza na sare kama hiyo hiyo ya 0-0 ugenini usisubiri kwanza mchezo wa marudiano?

View attachment 3099265Ja
Jwaneng was a weak Team . This Tripoli invested millions of dollars for Africa competition this year
 
Tulia we mbn km unaumia?
Kama utakuwa shabiki kweli wa mpira na mfatiliaji wa soka la Tanzania na Afrika utakubaliana na mimi kwamba kwa simba ya msimu jana ambayo iliisumbua yanga mechi ya round ya pili ya ligi na matokeo kuwa Yanga 2 na Simba 1 basi kama simba ile ndo ingecheza na wale Warabu wa Libya Simba ile ingeshinda ugenini tena sio kwa goli moja. Pamoja na mapungufu mengine ila kila kikosi kilikuwa bora mara mia ya hiki cha sasa nikikumbuka siku wanamchapa mtu goli sita Kwa mkapa na kutinga atua ya robo fainali ligi ya Mabigwa msimu jana nabaki kushangaa wale wachezaji waliwakosea nn?
 
Simba tokea impige yanga zile goli 2 maisha yakaanza kubadilika kwa kasi sana,,,,,,,,hio ndo inaitwa ukiona choo ndotoni usikitumie,,,,game nyingine kamati za ufundi wanazitoa kafara kwa ajili ya kazi za huko mbeleni
 
Kama utakuwa shabiki kweli wa mpira na mfatiliaji wa soka la Tanzania na Afrika utakubaliana na mimi kwamba kwa simba ya msimu jana ambayo iliisumbua yanga mechi ya round ya pili ya ligi na matokeo kuwa Yanga 2 na Simba 1 basi kama simba ile ndo ingecheza na wale Warabu wa Libya Simba ile ingeshinda ugenini tena sio kwa goli moja. Pamoja na mapungufu mengine ila kila kikosi kilikuwa bora mara mia ya hiki cha sasa nikikumbuka siku wanamchapa mtu goli sita Kwa mkapa na kutinga atua ya robo fainali ligi ya Mabigwa msimu jana nabaki kushangaa wale wachezaji waliwakosea nn?
Bado hujasema.
 
Kama utakuwa shabiki kweli wa mpira na mfatiliaji wa soka la Tanzania na Afrika utakubaliana na mimi kwamba kwa simba ya msimu jana ambayo iliisumbua yanga mechi ya round ya pili ya ligi na matokeo kuwa Yanga 2 na Simba 1 basi kama simba ile ndo ingecheza na wale Warabu wa Libya Simba ile ingeshinda ugenini tena sio kwa goli moja. Pamoja na mapungufu mengine ila kila kikosi kilikuwa bora mara mia ya hiki cha sasa nikikumbuka siku wanamchapa mtu goli sita Kwa mkapa na kutinga atua ya robo fainali ligi ya Mabigwa msimu jana nabaki kushangaa wale wachezaji waliwakosea nn?


TUONGELEEE YANGA YETU MAANA NASI KILA SIKU SIMBA , SIMBA. WHY?
 
Nadhani pia umesahau (au hujui) kwamba kikosi hicho hicho kilichoshinda goli 6-0 kwa Mkapa ndicho hicho hicho kilichotoa sare ya 0-0 ugenini dhidi ya timu hiyo hiyo. Sasa kama kikosi cha mwaka jana unachokisifia kilitoa sare ya 0-0 ugenini na hautaki kuizungumzia, ila unazungumzia tu mchezo wa marudiano Kwa Mkapa, kwa nini na hiki cha mwaka huu kilichoanza na sare kama hiyo hiyo ya 0-0 ugenini usisubiri kwanza mchezo wa marudiano?

View attachment 3099265
Mpira wa kushinda unaonekana uwanjani sio vinginevyo.
 
Kwa hiyo ni ukali wa mpinzani, sio tena ubora wa Simba ya mwaka jana?
yani kwa ubora wa simba. hata ile draw tulishangaa. simba angetakiwa kuongeza lile kundi sema. sema alizingua tu yeye.

this time round. what if fadlu fails??
 
Back
Top Bottom