Hamna timu mle muzeye.Kama utakuwa shabiki kweli wa mpira na mfatiliaji wa soka la Tanzania na Afrika utakubaliana na mimi kwamba kwa simba ya msimu jana ambayo iliisumbua yanga mechi ya round ya pili ya ligi na matokeo kuwa Yanga 2 na Simba 1 basi kama simba ile ndo ingecheza na wale Warabu wa Libya Simba ile ingeshinda ugenini tena sio kwa goli moja. Pamoja na mapungufu mengine ila kila kikosi kilikuwa bora mara mia ya hiki cha sasa nikikumbuka siku wanamchapa mtu goli sita Kwa mkapa na kutinga atua ya robo fainali ligi ya Mabigwa msimu jana nabaki kushangaa wale wachezaji waliwakosea nn?
Nadhani pia umesahau (au hujui) kwamba kikosi hicho hicho kilichoshinda goli 6-0 kwa Mkapa ndicho hicho hicho kilichotoa sare ya 0-0 ugenini dhidi ya timu hiyo hiyo. Sasa kama kikosi cha mwaka jana unachokisifia kilitoa sare ya 0-0 ugenini na hautaki kuizungumzia, ila unazungumzia tu mchezo wa marudiano Kwa Mkapa, kwa nini na hiki cha mwaka huu kilichoanza na sare kama hiyo hiyo ya 0-0 ugenini usisubiri kwanza mchezo wa marudiano?... nikikumbuka siku wanamchapa mtu goli sita Kwa mkapa na kutinga atua ya robo fainali ligi ya Mabigwa msimu jana nabaki kushangaa wale wachezaji waliwakosea nn?
Unadhani aliewaita utopwinyo alikosea?????KAGOMA VIPI BADO NI MCHEZAJI WA YANGA? SIMON PATRICK ANASEMAJE KUHUSU KAGOMA? KWENYE MECHI YA CBE ATAKUEPO?
Unadhani aliewaita utopwinyo alikosea?????KAGOMA VIPI BADO NI MCHEZAJI WA YANGA? SIMON PATRICK ANASEMAJE KUHUSU KAGOMA? KWENYE MECHI YA CBE ATAKUEPO?
Jwaneng was a weak Team . This Tripoli invested millions of dollars for Africa competition this yearNadhani pia umesahau (au hujui) kwamba kikosi hicho hicho kilichoshinda goli 6-0 kwa Mkapa ndicho hicho hicho kilichotoa sare ya 0-0 ugenini dhidi ya timu hiyo hiyo. Sasa kama kikosi cha mwaka jana unachokisifia kilitoa sare ya 0-0 ugenini na hautaki kuizungumzia, ila unazungumzia tu mchezo wa marudiano Kwa Mkapa, kwa nini na hiki cha mwaka huu kilichoanza na sare kama hiyo hiyo ya 0-0 ugenini usisubiri kwanza mchezo wa marudiano?
View attachment 3099265Ja
Kama utakuwa shabiki kweli wa mpira na mfatiliaji wa soka la Tanzania na Afrika utakubaliana na mimi kwamba kwa simba ya msimu jana ambayo iliisumbua yanga mechi ya round ya pili ya ligi na matokeo kuwa Yanga 2 na Simba 1 basi kama simba ile ndo ingecheza na wale Warabu wa Libya Simba ile ingeshinda ugenini tena sio kwa goli moja. Pamoja na mapungufu mengine ila kila kikosi kilikuwa bora mara mia ya hiki cha sasa nikikumbuka siku wanamchapa mtu goli sita Kwa mkapa na kutinga atua ya robo fainali ligi ya Mabigwa msimu jana nabaki kushangaa wale wachezaji waliwakosea nn?
Bado hujasema.Kama utakuwa shabiki kweli wa mpira na mfatiliaji wa soka la Tanzania na Afrika utakubaliana na mimi kwamba kwa simba ya msimu jana ambayo iliisumbua yanga mechi ya round ya pili ya ligi na matokeo kuwa Yanga 2 na Simba 1 basi kama simba ile ndo ingecheza na wale Warabu wa Libya Simba ile ingeshinda ugenini tena sio kwa goli moja. Pamoja na mapungufu mengine ila kila kikosi kilikuwa bora mara mia ya hiki cha sasa nikikumbuka siku wanamchapa mtu goli sita Kwa mkapa na kutinga atua ya robo fainali ligi ya Mabigwa msimu jana nabaki kushangaa wale wachezaji waliwakosea nn?
Kwa hiyo ni ukali wa mpinzani, sio tena ubora wa Simba ya mwaka jana?Jwaneng was a weak Team . This Tripoli invested millions of dollars for Africa competition this year
Kama utakuwa shabiki kweli wa mpira na mfatiliaji wa soka la Tanzania na Afrika utakubaliana na mimi kwamba kwa simba ya msimu jana ambayo iliisumbua yanga mechi ya round ya pili ya ligi na matokeo kuwa Yanga 2 na Simba 1 basi kama simba ile ndo ingecheza na wale Warabu wa Libya Simba ile ingeshinda ugenini tena sio kwa goli moja. Pamoja na mapungufu mengine ila kila kikosi kilikuwa bora mara mia ya hiki cha sasa nikikumbuka siku wanamchapa mtu goli sita Kwa mkapa na kutinga atua ya robo fainali ligi ya Mabigwa msimu jana nabaki kushangaa wale wachezaji waliwakosea nn?
Mpira wa kushinda unaonekana uwanjani sio vinginevyo.Nadhani pia umesahau (au hujui) kwamba kikosi hicho hicho kilichoshinda goli 6-0 kwa Mkapa ndicho hicho hicho kilichotoa sare ya 0-0 ugenini dhidi ya timu hiyo hiyo. Sasa kama kikosi cha mwaka jana unachokisifia kilitoa sare ya 0-0 ugenini na hautaki kuizungumzia, ila unazungumzia tu mchezo wa marudiano Kwa Mkapa, kwa nini na hiki cha mwaka huu kilichoanza na sare kama hiyo hiyo ya 0-0 ugenini usisubiri kwanza mchezo wa marudiano?
View attachment 3099265
yani kwa ubora wa simba. hata ile draw tulishangaa. simba angetakiwa kuongeza lile kundi sema. sema alizingua tu yeye.Kwa hiyo ni ukali wa mpinzani, sio tena ubora wa Simba ya mwaka jana?
yanga watu wamemind kushinda goli moja. watu wamemind sanaTUONGELEEE YANGA YETU MAANA NASI KILA SIKU SIMBA , SIMBA. WHY?
umemalizaMpira wa kushinda unaonekana uwanjani sio vinginevyo.