Ni mara ya pili sasa nachapiwa

Ni mara ya pili sasa nachapiwa

mwanamke mchakarikaji hana mawazo ya mbupu holela ila pia akiwa na mambo yake sio rahisi kujua na atafania mbali huko ushenzi wake mtaani atakupa heshima. NB wana roho kama sisi ila dawa tendea pale kati kazi kisawasawa, maana wazee wanasema wanawake wana masikio 3 haya mawili ukiyashindwa basi malizia hilo moja kultendea maajabu maana na lenyewe ukilishindwa sasa mwana ankuwa si wako tena piga mbupu sanaaa
 
Habari wakuu

Katika maisha yangu nimekua nikiamini mwanamke akiwa na kazi au biashara ya kutoka asubuhi na kurudi jioni kuongea na wateja wa kiume katika biashara basi ni rahisi kuliwa

Na mimi nilivyoumbwa na wivu nikaona bora nijinyakulie mtu asiyekuwa na kazi yani awe mama wa nyumbani nikachukua mtoto mmoja mbichiii wa kizaramo lakini nifupishe story aliliwa palepale nyumbani kwenye kitanda changu nikamtimua.

Nikakaa kama miaka miwili ya usingo baadae nikavuta pisi moja teketeke ya kinyaki ina miaka 22 haina kazi nikawa naiacha nyumbani nikiamini kua ikiwa inajishughulisha wahuni watanichapia

Lakini mpaka naandika uzi huu kwa kifupi nimetoka kufumania
Ukiona hivyo, umeoa kahaba au umtoshelezi. Jitafiti
 
Back
Top Bottom