Ni marufuku kuingia UK kwa wasafiri kutokea DRC na Tanzania kisa corona

Ni marufuku kuingia UK kwa wasafiri kutokea DRC na Tanzania kisa corona

Yaani hata baada ya kujifukizaaa na kunywa tani za malimao na tangawizi, hadi na kikombe cha babu wa Madagascar juu yake, bado ban zinazidi kutembezwa tu? Mabeberu buana! [emoji1]
 
Yaani hata baada ya kujifukizaaa na kunywa tani za malimao na tangawizi, hadi na kikombe cha babu wa Madagascar juu yake, bado ban zinazidi kutembezwa tu? Mabeberu buana! [emoji1]

Na juzi tu hao UK wamepewa mgodi wote mazima mazima wajichumie....
 
Tunaendelea na uzalishaji wakati kila siku hapa JF tunasoma habari za misiba ya watu tena watu maarufu sijui Bregedia,sijui mbunge,sijui nani achilia mbali wanyonge ambao hawatangazwi!
kwahiyo watu hawajawahi kufa kabla ya covid!!!

au sio utaratibu wetu kutangaza vifo vya watu maarufu mpaka covid ilipokuja???
 
Wakenya kufa kwa Corona haihalalishi kuwa Watanzania tukifa kwa Corona liwe ni jambo la kawaida na sahihi.
sasa kama wengine wanakufa point ya kukataa watz wasife unaitoa wapi!!!

na kama si halali na watz kufa wakifa wengine kwanini ukiambiwa hawafi kwa corona unakataa pia[emoji38][emoji38][emoji38].
 
Mkiona wameanza na sisi basi na nyie mjiandae
hao ni ndugu hawawezi wapiga ban[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

kaa pembeni usome update utajua hakuna urafiki wa kweli duniani hapa.
 
Yaani hata baada ya kujifukizaaa na kunywa tani za malimao na tangawizi, hadi na kikombe cha babu wa Madagascar juu yake, bado ban zinazidi kutembezwa tu? Mabeberu buana! [emoji1]
hata baada ya kupima bado corona inawafack bila huruma[emoji28][emoji28][emoji28]
 
kwahiyo watu hawajawahi kufa kabla ya covid!!!

au sio utaratibu wetu kutangaza vifo vya watu maarufu mpaka covid ilipokuja???
Kwani watu kufa kabla ya Corona inathibitisha kuwa watakaokufa baada ya Corona vifo vyao vitakuwa havijatokana na Corona?
 
sasa kama wengine wanakufa point ya kukataa watz wasife unaitoa wapi!!!

na kama si halali na watz kufa wakifa wengine kwanini ukiambiwa hawafi kwa corona unakataa pia[emoji38][emoji38][emoji38].
Wapi nimekataa watz wasife?Mimi napinga madai ya kwamba TZ hawafi kwa Corona.
 
To set the record straight :

UK haijazuia "watanzania" au "wakongo" kuingia chini mwao. Wamezuia WAGENI wanaotoka au waliopitia Tanzania na DRC ndani ya siku 10 kabla ya tarehe 22 Januari 2021. Raia wao na Raia wenye haki za makazi UK wataruhusiwa ila kwa masharti ya kujitenga kwa siku 10. Hivyo hata kama ni raia wa nchi nyingine - hata mkenya - unaishi Tanzania/DRC, au kama umepitia Tanzania/DRC, na haukidhi vigezo vya uraia na haki za makazi, hautaruhusiwa kuingia.
.
Kama ni mtanzania au mkongo ila haukuwa Tanzania/DRC katika kipindi hicho, bado utaruhusiwa kuingia kwa masharti.
 
To set the record straight :

UK haijazuia "watanzania" au "wakongo" kuingia chini mwao. Wamezuia WAGENI wanaotoka au waliopitia Tanzania na DRC ndani ya siku 10 kabla ya tarehe 22 Januari 2021. Raia wao na Raia wenye haki za makazi UK wataruhusiwa ila kwa masharti ya kujitenga kwa siku 10. Hivyo hata kama ni raia wa nchi nyingine - hata mkenya - unaishi Tanzania/DRC, au kama umepitia Tanzania/DRC, na haukidhi vigezo vya uraia na haki za makazi, hautaruhusiwa kuingia.
.
Kama ni mtanzania au mkongo ila haukuwa Tanzania/DRC katika kipindi hicho, bado utaruhusiwa kuingia kwa masharti.

Umekurupuka kujibu kabla haujasoma, maana nimeandika "wasafiri kutokea Tanzania", hiyo ina maana kwa yeyote ambaye amekanyaga Tanzania haruhusiwi kuingia UK, hata awe Mkenya ilmradi kapitia huko Tz, labda tu awe raia wao. Lakini hamna sehemu imesema Watanzania wamekatazwa, leo hii wale wakimbizi wenu wa kisiasa akina Tundu Lissue wakienda UK watakaribishwa maana hawatakua wametokea Tz moja kwa moja.
 
ndio wanakufa kwa corona.unasemaje
Unajicontradict mwenyewe!
Mara TZ Corona iliondolewa kwa jina la Yesu kupitia maombi ya siku tatu,mara watz tunakufa kwa Corona!Unapaswa kuwa consistent katika arguments zako,tofauti na hapo unakuwa unapotezea watu unaojenga nao hoja muda wao.
 
Back
Top Bottom