Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Mfano
1. Kuna nini kinaendelea baada ya kifo.?
2. Mwenyezi Mungu alitokea wapi?
1. Kuna nini kinaendelea baada ya kifo.?
2. Mwenyezi Mungu alitokea wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
3) Anga ('UNIVERSE') lina ujazo gani?mfano
1.kuna nini kinaendelea baada ya kifo.?
2.mwenyezi mungu alitoka wapi
3) Anga ('UNIVERSE') lina ujazo gani?
4) 'INFINITY' INA TARAKIMU ZIPI?
5) UJAZO MDOGO KABISA, KABLA YA 'HAKUNA', UNA VIPIMO GANI?
.
.
.
.
NI MENGI AISEE!
Mungu hashindwi chochote? Kama ndiyo; basi mungu anaweza kutengeneza jiwe kubwa ambalo hawezi kulibeba?
Majanga ya kufikiri pasipo kutafakari, hashindwi chochote ; anaweza kutengeneza...ambalo HAWEZI...atakuwaje hawezi wakati hashindwi na chochote ? Tafakari chukua HatuaMungu hashindwi chochote? Kama ndiyo; basi mungu anaweza kutengeneza jiwe kubwa ambalo hawezi kulibeba?
dah!!! hapa pamezidi ugumu
Mungu hashindwi chochote? Kama ndiyo; basi mungu anaweza kutengeneza jiwe kubwa ambalo hawezi kulibeba?
...mkuu hili nadhani majibu yake yapo kwenye biblia,ukifuatilia historia ya adam na hawa na jinsi walipo muasi Mungu,ndo sheria zikaanza...Sheria na nchi kilianza nini?
Hahahahahahaha, kama alivyomtengeneza shetani akashindwa kumcontrol
...acha masiala bhana, God is God of principals and not otherwise..
Mungu hashindwi chochote? Kama ndiyo; basi mungu anaweza kutengeneza jiwe kubwa ambalo hawezi kulibeba?
Masiala tena? Kwan maandiko yanasemaje mkuu kuhusu shetan na mungu?
...its just a matter of time the prophesy will come to pass...
Hahahahahahaha, kama alivyomtengeneza shetani akashindwa kumcontrol