Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

1.kwa nini kuna w2 wa rangi tofauti?.wausi na weupe a.k.a wazungu afu wao ni weng duniani kuliko weusi.

2.kama dunia isingekuwepo kungekuwepo nn?

3.adam na hawa,walimuzaa kaini na abel.baada ya kaini kutenda kosa dhidi ya nduguye alifukuzwa.2naambiwa badaye alipata uzao wake. Je huko alizaa na nani?

alizaa na nyani
 
1. If all the nations in the world are in debt (am not joking, even US has got debts), where did all the money go?

2. When dog food is new and improved tasting, who tests it?

3. What is the speed of darkness?

4. Who copyrighted the copyright symbol?

5. Can you cry under water?

6. Do fish ever get thirsty?

7. Can you get cornered in a round room?

8. Why do birds not fall out of trees when they sleep?

9. What came first, the fruit or the color orange?

10. Can you blow a balloon up under water?

11. Why is it called a "building" when it is already built?

12. If you were traveling at the speed of sound and you turned on your radio would you be ! able to hear it?

13. If you're traveling at the speed of light and you turn your headlights on, what happens?

14. If a person owns a piece of land do they own it all the way down to the core of the earth?

15. Where are all the big magma chambers that could produce super-eruptions?
 
1.kwa nini kuna w2 wa rangi tofauti?.wausi na weupe a.k.a wazungu afu wao ni weng duniani kuliko weusi.

2.kama dunia isingekuwepo kungekuwepo nn?

3.adam na hawa,walimuzaa kaini na abel.baada ya kaini kutenda kosa dhidi ya nduguye alifukuzwa.2naambiwa badaye alipata uzao wake. JE HUKO ALIZAA NA NANI?

Mungu aliwaumba Adamu na Eva ambao wakawazaa Kaini na Abeli.

Mbona watu waliendelea kuzaliana wakati kaini na abel walikuwa wanaume?

Basi ina maana kulikuwa na watu wengine zaidi ya kaini na abeli walokuwepo

Mbona hatujaambiwa watoto wengine?
 
Dunia ina uzito kiasi gan? Nani aliupima huo uzito? Alipima akiwa wapi?

Watu wanakufa sana, vyuma vinachimbwa vinatengenezea vitu halafu vinapata kutu vinaoza, misitu inachomwa kila siku, maji yanaevaporate sana, ndege zote duniani zikiruka na zikawa zimejaza watu inamana uzito wa dunia haupungui?
 
Back
Top Bottom