Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

Kwa wana cdm tu

1. Fisadi papa ni nani?

2. Ben Saa8 kwa sasa amelele au anacheza?

3. Mlipimwa akili baada ya kumpigia kura mr Lowasa?
 
Umbali gan upo kutoka dunian hadi kwenye jua
According to flat earth society jua lipo mile 3000...
according to scientist jua lipo takribani km milioni 150 na mwanga wake unachukua dakika 8 kufika duniani.
 
Wlizaa na watoto wa kike tena wengi tu ila enzi hizo watoto wa kiume pekee ndo walikuwa wanahesabiwa na kuandikwa kwenye Biblia ni mpaka ulikuwa na history yaani kitu ulichofanya mpaka uandikwe
Vitu kama hivi vinathibitisha kwamba bible na quran zimeandikwa na kuhaririwa na wanaume.
 
According to flat earth society jua lipo mile 3000...
according to scientist jua lipo takribani km milioni 150 na mwanga wake unachukua dakika 8 kufika duniani.
Itahitaji muda gan kulifikia kwa usafir gan
 
1.kwa nini kuna w2 wa rangi tofauti?.wausi na weupe a.k.a wazungu afu wao ni weng duniani kuliko weusi.

2.kama dunia isingekuwepo kungekuwepo nn?

3.adam na hawa,walimuzaa kaini na abel.baada ya kaini kutenda kosa dhidi ya nduguye alifukuzwa.2naambiwa badaye alipata uzao wake. JE HUKO ALIZAA NA NANI?
Miaka hiyo.. Wanawake walikuwa hawahesabiwi... Hivyo Pengine alizaa na dada ake..
 
Mungu aliwaumba Adamu na Eva ambao wakawazaa Kaini na Abeli.

Mbona watu waliendelea kuzaliana wakati kaini na abel walikuwa wanaume?

Basi ina maana kulikuwa na watu wengine zaidi ya kaini na abeli walokuwepo

Mbona hatujaambiwa watoto wengine?
Wanawake hawakuhesabiwa katka nyakati hizo.. Kwahiyo lazima tu walikuwepo kwenye uzao.. Lakini hawakutajwa
 
Mungu aliupenda ulimwengu hadi akamtuma mwanae wa pekee, kama alitupenda sana kwanini hakuzuia dhambi duniani?
Dhambi imezuiliwa.. Lakini ndani ya kanuni, binadamu ana mwili, roho na nafsi..
Dhambi hukaa kwenye nafsi ya mtu..

Nafsi hubeba,our thoughts, emotions and will..
Sasa Will(utashi) that's the power of choice.. And that power is very strong and powerful to extent it can choose even against God..
And that will ndo inatutofautisha na viumbe Wengine...
Kuondoa dhambi ktka ulimwengu is not all about God.. And is not all about us..
Ndo Maana kuishinda dhambi ni mapambano ya mtu na nafsi yake kwa msaada wa kimungu..

Dhambi iliingia ktka ulimwengu kwa kanuni.. Na kuitoa ni kwa kanuni..

Stick to codes..
 
Is Jesus really god?
d723aebae589dada6c5293144cb9ab5c.jpg
b9908c5f8ad140254cdcb98db4fe2310.jpg
b270b38e62b1657c98633f78edbf643d.jpg

Tafakuri ianzie kwenye neno hilo.. Litizame kwa njia ya Rohoni..
Mungu akutangulie kwenye Tafakuri yako
 
Kwa nini Mungu anakubali watu wateseke na kuhangaika duniani? While he can simply make a new heaven without any complication...
And ye ametokea wapi?
Mungu yupi unayemzungumzia Mkuu...
 
Back
Top Bottom