Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

Umejuaje Kama nimeshindwa??

kwasababu neno 'umejuaje' umeshindwa kulitumia ipasavyo na sehemu husika kama hujashindwa state the semantic Nje ya hapo rudi kwa mwalimu wako simple as that.
 
kwasababu neno 'umejuaje' umeshindwa kulitumia ipasavyo na sehemu husika kama hujashindwa state the semantic Nje ya hapo rudi kwa mwalimu wako simple as that.

Una uhakika nitarudi??
 
Una uhakika nitarudi??

kurudi au kutokurudi ni nje ya syntax ya nilicho kuuliza nje ya hapo tena ukishindwa rudi ,ukishindwa kabisa uliza maswali yako,ukishindwa kufikiri zaidi ya hapo we ni mfu wa akili
 
Hii sayari ya dunia ina uzito kiasi gani?
Hili swali limejibiwa miaka mingi sana iliyopita....
Na uzito najua utakua unaongelea in terms of mass ambayo ni kilogram, ina uzito wa 5.97x10^24kg
 
That will remain for further convergent investigations to determine.

There was a time when a good portion of the respectable scientific community accepted the existence of the ether, with questions.

Today, the ether is an anecdote relegated to the dustbin of science.

Of course this does not mean that it cannot be resurrected to respectability, like Einsteins cosmological constant
.
Hapo kwenye red unajua kuwadanganya wasiodeep in science na kingereza.. ila walio-deep sehemu zote mbili wanaona unavoenda chaka...
 
Kati ya yai na kuku kipi kilitangulia duniani
Science ina proof kua kuku ndio alitangulia.... na tukifata dini pia bado uumbaji unatetea kuku kutangulia sio yai...
So, obviously ni kuku ndio alitangulia
 
kuna viumbe wengine wanaishi katika sayari zingine wewe fanya utafiti tembelea katika sayari ya mars utajionea mwenyewe
Theres no such thing kama kiumbe kuishi Mars, Mars hajapatikana kiumbe hai hata moja, unless definition yako ya viumbe unaongelea vitu kama milima ila sio kisayansi kiumbe hai anakua na sifa kama excretiion, reproduction, DNA etc.. hadi leo hii hajapatikana kiumbe yeyote yule kwenye sayari tofauti na dunia... Waweza kuwepo ndio maana universe ni kubwa mno lakini hatujawapata bado
 
Hili swali limejibiwa miaka mingi sana iliyopita....
Na uzito najua utakua unaongelea in terms of mass ambayo ni kilogram, ina uzito wa 5.97x10^24kg

how comes while inside its hollow
 
Theres no such thing kama kiumbe kuishi Mars, Mars hajapatikana kiumbe hai hata moja, unless definition yako ya viumbe unaongelea vitu kama milima ila sio kisayansi kiumbe hai anakua na sifa kama excretiion, reproduction, DNA etc.. hadi leo hii hajapatikana kiumbe yeyote yule kwenye sayari tofauti na dunia... Waweza kuwepo ndio maana universe ni kubwa mno lakini hatujawapata bado

there are species out of earth existing but is likely to be a secret kept by NASA
 
Jinsi kirusi cha ukimwi HIV virus kinavyoweza kuzalisha DNA tofauti tofauti kutokea kwenye RNA kirahisi kabisa na uzuia kabisa jitihada za kuinasa aina fuani ya protein iliyotumika kutengeneza kirusi fulani
kama ni swali umeuliza! kwanza unavosema DNA kutokea kwenye RNA kuna kugha mchanganyo hapo, DNA inakua transcribed kwenda katika RNA manake inabadilishwa na si kua inatokea kwenye RNA, na hili ni swali ambalo limejibiwa labda kama unauliza kitu kingine ila sijakuelewa vzr... Virus inavoingia kwenye mwili ikienda kwenye cell ina-inject DNA yake katika nucleus ya cell ya host, hapo inatumia mechanisms za host's cell za kufanya DNA replication na transcription kujitoa copy na kutengeneza RNA, manake host cell ndio inamtengeneza yule kirusi mpya.. Kuna process kadhaa hapo kati jinsi DNA inavopelekwa kua RNA hadi mwishoni translation inavoform protein, na process ni the same kwa DNA ya kirusi sawa na ya binadamu.. kama ni mtu mwenye kupenda kujua deep naweza nikakuelezea process nzima inavokwenda nlikua nakupa highlights kama ntajibu swali kako...
 
how comes while inside its hollow
ndani ya earth hakuna nafasi ya wazi... Kuna inner core kabisa ambayo ni solid, afu inafata ya liquid, semi-liquid kuja juu kabisa hadi kwenye solid tena.... Afu hata kama ingekua na uwazi bado inaweza kua calculated... Note kua mass ni total content ambayo kitu flani kinakua nayo.. na calculation ya mass ya dunia kwa mtu aliyesoma advanced physics ataona ni calculation rahisi sana kufanya....
 
there are species out of earth existing but is likely to be a secret kept by NASA
Hizi zinabaki kua hoax, watu mkikaa mnawafikiria NASA kama vile ni kundi la watu wenye chuki na binadamu...
NASA inachukua experts wa kwenye fields flani wanaenda kua kama wafanya kazi tu, mfano wewe au mimi yeyote anaweza akaenda na akafanya kazi NaSA kama ana qualifications sawa, sasa kama ni hivo unadhani wangepata species sayari nyingine wasingesema ati iwe siri tu kwa kila mtu? hakuna siri ya watu zaidi ya mia, mfano ingekua ni wewe ungetaka kumwambia mtu lazima usingeweza kuitunza siri kama hiyo.. Na wanasayansi wengi ambao wako deep kwenye astronomy mfano ni watu ambao wanapenda kushare knowledge usidhani wataficha hilo... Wanaosema NaSA wanaficha ni watu tu wanataka mfungue page zao au video zao wao wanapata hela..
 
Hapo kwenye red unajua kuwadanganya wasiodeep in science na kingereza.. ila walio-deep sehemu zote mbili wanaona unavoenda chaka...

Umeelewa ni nini na kwa nini nawadanganya?
 
Majanga ya kufikiri pasipo kutafakari, hashindwi chochote ; anaweza kutengeneza...ambalo HAWEZI...atakuwaje hawezi wakati hashindwi na chochote ? Tafakari chukua Hatua

Haki elimu hahaaah umenichekesha eti tafakari chukua hatua!!!
 
Hizi zinabaki kua hoax, watu mkikaa mnawafikiria NASA kama vile ni kundi la watu wenye chuki na binadamu...
NASA inachukua experts wa kwenye fields flani wanaenda kua kama wafanya kazi tu, mfano wewe au mimi yeyote anaweza akaenda na akafanya kazi NaSA kama ana qualifications sawa, sasa kama ni hivo unadhani wangepata species sayari nyingine wasingesema ati iwe siri tu kwa kila mtu? hakuna siri ya watu zaidi ya mia, mfano ingekua ni wewe ungetaka kumwambia mtu lazima usingeweza kuitunza siri kama hiyo.. Na wanasayansi wengi ambao wako deep kwenye astronomy mfano ni watu ambao wanapenda kushare knowledge usidhani wataficha hilo... Wanaosema NaSA wanaficha ni watu tu wanataka mfungue page zao au video zao wao wanapata hela..

the lost sheeps in southaafrica?the blurst of colombia spaceshuttlee?the lost scientists?on myside i have seen an UFO oneday one night ,something undefined
 
Kama ndio hivyo basi na Mungu ambaye ndio muumbaji na yeye pia si mkamilifu ana mapungufu kama yanavyoonekana kwenye uumbaji wake (kwa kuumba viumbe visivyo kamilifu kwa mf wake)

Hiv nyie wapinga uwepo wa mungu mna mpango gan na huu ulimwengu.......!!!!
 
Back
Top Bottom