Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,647
Wakuu katika mahusiano kuna wakati kama mwanaume inabidi ujitafakari katika mahusiano ujue kama unapedwa kweli au unatumikaa ktk hayo mahusiano
Sometime unaweza ukawa unajiuliza hivi hapa napedwa kweli au nalazimisha maana kama mimi niko na mpenzi ila Sijui kama napedwa au nalazimia mfano Kama Mimi nimeshatishiwa kuachwa tiyali kwa kubadilisha namba ya simu nisiipate tena
Kwa wale wenye uzoefu hebu tupeni zile critical questions ukimuuliza mwanamke wako anakupenda au anakutumia
Sometime unaweza ukawa unajiuliza hivi hapa napedwa kweli au nalazimisha maana kama mimi niko na mpenzi ila Sijui kama napedwa au nalazimia mfano Kama Mimi nimeshatishiwa kuachwa tiyali kwa kubadilisha namba ya simu nisiipate tena
Kwa wale wenye uzoefu hebu tupeni zile critical questions ukimuuliza mwanamke wako anakupenda au anakutumia