Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pita hivohivo😁Napita
Kua na heshima juu ya uzi sijasema mchezaji😁Mchezaji alienifurahisha ni Kibu kumkanda Diara...
🤣🤣🤣View attachment 2856639
Taarifa kwa umma 😂
😂😂🖐
Yaani ile mechi ya 5imba kuthimbwa 5 bado naiangalia kila siku hadi leo kwenye youtube. Naiona kama inachezwa LIVE kila ninapoiangalia..!!Habari wana Jukwaa La Michezo,
Mwaka 2023 unakata huu,
Tumetoka Mbali ulikua Mwaka wa Matukio Mengii ila Leo Naomba niwaalike wote hapa kukumbushana Ni Mchezo gani Kutoka kwa Team yako pendwa ya Ligi kuu ya NBC hutausahau.
Ulikukosha ukakupa Raha.
Ukafurahi ukaona Maisha ya Bongo ni kama ya Scandinavian countries😁😁
#NOTE MKIUTAJA SANA MCHEZO WA TABULELE NA EDIT UZI WOTE😁
Mkuu kiukweli ile mechi haichoshi. 😀Yaani ile mechi ya 5imba kuthimbwa 5 bado naiangalia kila siku hadi leo kwenye youtube. Naiona kama inachezwa LIVE kila ninapoiangalia..!!
YAANI HAICHOSHI KABISAAAA...!!! TOKA LILE BAO LA KWANZA LA KICHWA HATARI, LILE LA MUSONDA BAADA YA CROSS YA YAO YAO..!!! Yaani hatari...!!Mkuu kiukweli ile mechi haichoshi. 😀
Hahahaaa. Mechi inayozungumzika. 😂😂YAANI HAICHOSHI KABISAAAA...!!! TOKA LILE BAO LA KWANZA LA KICHWA HATARI, LILE LA MUSONDA BAADA YA CROSS YA YAO YAO..!!! Yaani hatari...!!
Ukija kwenye bao la pili la Nzengeli si mchezo...!!! Uje sasa kwa master Key na bao la tatu ni hatari kuliko hatari yenyewe..!! Key alipiga matobo wawili beki na kipa wake..!!! Uje tena bao la nne la Nzengeli kwa assist ya Mnzizeeeeee....!!!! Nzengeli alitaka kujibebea mpira wake lakini Inonga akamfyeka na kusababisha penati ambayo Pakome Z alimpeleka MALIKITI MV manula...!!!
Hivi hapa namalizia kukoment naingalia tena upyaaaa, nione kono la nyani..!!!
Mechi yenye mtiririko..!!! Ukipita huko TikTok, malalamiko yoote ya wana mbumbumbu FC yalianza baada ya kono la nyani..!!!Hahahaaa. Mechi inayozungumzika. 😂😂
Hapana chezea kono la nyani. 😀Mechi yenye mtiririko..!!! Ukipita huko TikTok, malalamiko yoote ya wana mbumbumbu FC yalianza baada ya kono la nyani..!!!
Kono hili hapa, nimetoka kurudia kuliangalia...!!Hapana chezea kono la nyani. 😀
Bado mpaka wassemme. 😂😂Kono hili hapa, nimetoka kurudia kuliangalia...!!
View attachment 2856734