Ni matumaini yangu Ikulu mpya inayoenda Kuzinduliwa hatutasikia nayo ina Hirizi nyingi na Kondoo wengi Wamezikwa

Ni matumaini yangu Ikulu mpya inayoenda Kuzinduliwa hatutasikia nayo ina Hirizi nyingi na Kondoo wengi Wamezikwa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kuna Mtu Mmoja aliingia zamu yake ( mwaka nauhifadhi ) na alikuta Hirizi kila mahala huku Kondoo wakiwa Wamefukiwa hadi hawaka anashindwa Kulala ndipo Watu wa Maombi wakaitwa na Kuombea kisha vyote vikatolewa na ikawa salama na aliyekuwa navyo akaondoka navyo vingine Kwake Mikocheni, Masaki na Kawe Beach.

Na ni matumaini yangu makubwa kuwa GENTAMYCINE nikija kuwa Rais na kuishi hapo sitokutana na haya Maupuuzi nikiamini Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan ni Mcha Mungu kama ilivyokuwa kwa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi, Mzee Mkapa na Hayati Magufuli ambao hawakuwa Washirikina na Wapuuzi wa Imani za Kiuchawi Uchawi.

Kila la Kheri Yanga SC huko Bondeni.
 
Kuna Mtu Mmoja aliingia zamu yake ( mwaka nauhifadhi ) na alikuta Hirizi kila mahala huku Kondoo wakiwa Wamefukiwa hadi hawaka anashindwa Kulala ndipo Watu wa Maombi wakaitwa ...
Heee makubwa, nikutojiamini au!
 
Kuna wengine wanakuwa na mpaka wachawi wa kuajiriwa kwa kuloga. Iko wazi mchawi mmoja maarufu bila aibu alisikika kuwa ametoa ulinzi wa kichawi kwa mheshimiwa mmoja ambaye alikuwa anadondoshwa na mauzauza alipokuwa kwenye kampeni kuomba kuchaguliwa tena. Waabudu uchawi hawaachi kuloga mazingira wanamoishi kwa maana hiyo ndiyo miungu yao inayowa ulinzi
 
Kuna Mtu Mmoja aliingia zamu yake ( mwaka nauhifadhi ) na alikuta Hirizi kila mahala huku Kondoo wakiwa Wamefukiwa hadi hawaka anashindwa Kulala ndipo Watu wa Maombi wakaitwa na Kuombea kisha vyote vikatolewa na ikawa salama na aliyekuwa navyo akaondoka navyo vingine Kwake Mikocheni, Masaki na Kawe Beach.

Na ni matumaini yangu makubwa kuwa GENTAMYCINE nikija kuwa Rais na kuishi hapo sitokutana na haya Maupuuzi nikiamini Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan ni Mcha Mungu kama ilivyokuwa kwa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi, Mzee Mkapa na Hayati Magufuli ambao hawakuwa Washirikina na Wapuuzi wa Imani za Kiuchawi Uchawi.

Kila la Kheri Yanga SC huko Bondeni.
Aisee una chuki na Kaka sijui kala nini chako.
 
Kuna Mtu Mmoja aliingia zamu yake ( mwaka nauhifadhi ) na alikuta Hirizi kila mahala huku Kondoo wakiwa Wamefukiwa hadi hawaka anashindwa Kulala ndipo Watu wa Maombi wakaitwa na Kuombea kisha vyote vikatolewa na ikawa salama na aliyekuwa navyo akaondoka navyo vingine Kwake Mikocheni, Masaki na Kawe Beach.

Na ni matumaini yangu makubwa kuwa GENTAMYCINE nikija kuwa Rais na kuishi hapo sitokutana na haya Maupuuzi nikiamini Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan ni Mcha Mungu kama ilivyokuwa kwa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi, Mzee Mkapa na Hayati Magufuli ambao hawakuwa Washirikina na Wapuuzi wa Imani za Kiuchawi Uchawi.

Kila la Kheri Yanga SC huko Bondeni.
CCM ni chama cha kichawi, na hawawezi kubadilika, kwani tayari wana maagano mengi. Miongoni mwa maagano hayo ni mwenge
 
Kuna Mtu Mmoja aliingia zamu yake ( mwaka nauhifadhi ) na alikuta Hirizi kila mahala huku Kondoo wakiwa Wamefukiwa hadi hawaka anashindwa Kulala ndipo Watu wa Maombi wakaitwa na Kuombea kisha vyote vikatolewa na ikawa salama na aliyekuwa navyo akaondoka navyo vingine Kwake Mikocheni, Masaki na Kawe Beach.

Na ni matumaini yangu makubwa kuwa GENTAMYCINE nikija kuwa Rais na kuishi hapo sitokutana na haya Maupuuzi nikiamini Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan ni Mcha Mungu kama ilivyokuwa kwa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi, Mzee Mkapa na Hayati Magufuli ambao hawakuwa Washirikina na Wapuuzi wa Imani za Kiuchawi Uchawi.

Kila la Kheri Yanga SC huko Bondeni.
Kuna mtu nasikia alienda huko pemba kwenye mapango gani sijui huko akiutaka Urais! Ila ni mwanamke ijapokuwa yule mganga mwenyewe hakusema yule mtu wa nchi gani! Ila alienda kuomba kuwa Rais kwenye mizimu huko na akakubaliwa na Urais aliupata!
 
Kuna Mtu Mmoja aliingia zamu yake ( mwaka nauhifadhi ) na alikuta Hirizi kila mahala huku Kondoo wakiwa Wamefukiwa hadi hawaka anashindwa Kulala ndipo Watu wa Maombi wakaitwa na Kuombea kisha vyote vikatolewa na ikawa salama na aliyekuwa navyo akaondoka navyo vingine Kwake Mikocheni, Masaki na Kawe Beach.

Na ni matumaini yangu makubwa kuwa GENTAMYCINE nikija kuwa Rais na kuishi hapo sitokutana na haya Maupuuzi nikiamini Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan ni Mcha Mungu kama ilivyokuwa kwa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi, Mzee Mkapa na Hayati Magufuli ambao hawakuwa Washirikina na Wapuuzi wa Imani za Kiuchawi Uchawi.

Kila la Kheri Yanga SC huko Bondeni.
Mzee hiyo ni kinga Mbona Juzi Juzi tu Makolo walifukia Mbuzi na Paka ili waifunge Yanga na wewe akashangilia ushindi huyo.
 
Kuna mtu nasikia alienda huko pemba kwenye mapango gani sijui huko akiutaka Urais! Ila ni mwanamke ijapokuwa yule mganga mwenyewe hakusema yule mtu wa nchi gani! Ila alienda kuomba kuwa Rais kwenye mizimu huko na akakubaliwa na Urais aliupata!
[emoji33][emoji33][emoji33] makubwa haya!

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom