GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kuna Mtu Mmoja aliingia zamu yake ( mwaka nauhifadhi ) na alikuta Hirizi kila mahala huku Kondoo wakiwa Wamefukiwa hadi hawaka anashindwa Kulala ndipo Watu wa Maombi wakaitwa na Kuombea kisha vyote vikatolewa na ikawa salama na aliyekuwa navyo akaondoka navyo vingine Kwake Mikocheni, Masaki na Kawe Beach.
Na ni matumaini yangu makubwa kuwa GENTAMYCINE nikija kuwa Rais na kuishi hapo sitokutana na haya Maupuuzi nikiamini Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan ni Mcha Mungu kama ilivyokuwa kwa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi, Mzee Mkapa na Hayati Magufuli ambao hawakuwa Washirikina na Wapuuzi wa Imani za Kiuchawi Uchawi.
Kila la Kheri Yanga SC huko Bondeni.
Na ni matumaini yangu makubwa kuwa GENTAMYCINE nikija kuwa Rais na kuishi hapo sitokutana na haya Maupuuzi nikiamini Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan ni Mcha Mungu kama ilivyokuwa kwa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi, Mzee Mkapa na Hayati Magufuli ambao hawakuwa Washirikina na Wapuuzi wa Imani za Kiuchawi Uchawi.
Kila la Kheri Yanga SC huko Bondeni.