Ni maumivu gani makali zaidi ya mwili?

Ni maumivu gani makali zaidi ya mwili?

Binafsi mimi mtu ambae nilimshuhudia akipitia maumivu.

Huyu dada alikuwa hospitali akiumwa saratani ya titi,

Titi lake lilikuwa limeoza kwa upande wa kwapa huku.
Huyu dada dawa ya kuzuia maumivu ilikuwa ikiisha nguvu alikuwa analia sana.
Alikuwa anaumia sana.
Inasikitisha sana.
Aisee hadi nimesisimka,alipona mkuu?
 
Wakuu habari za humu ndani.
Hivi ni maumivu gani makali zaidi ya mwili wa binadamu ushawahi ku experience au uliona mtu anapitia ukaona kabisa ni maumivu makali kwa binadamu.

Kwangu mimi ni maumivu ya tumbo,kuna siku niliwahi changanya pilipili kichaa na vitunguu swaumu nikabrend then nikanywa aisee maumivu niliyoyapata sitakuja kusahau.Niliona Israel huyu hapa kaja kunisalimia.Tumbo linauma asikuambie mtu.

Je ni ni maumivu gani makali zaidi ya mwili?
Inatibu nini mkuu. Usikute ulikunywa kwa ajili ya shoo nzito🤣🤣😂
 
Kipanda Uso.

Unaona hadi macho yanataka kutokaa. Ni homa ambayo nimefanya tiba ya hospital na asili, ila bado nateseka nayo.
Chukua pilipili kichaa zilizokomaa vyema ziponde / twanga kwenye kinu kisha loweka kwenye mafuta ya taa halafu weka juani kwa muda wa lisaa. Chovya kitambaa kwenye huo mchanganyiko halafu pangusa kwa namna ya kupakaa kwenye eneo linalouma (paji la uso) kisha kaa sehemu yenye utulivu kwa masaa walau manne kabla hujaenda kuosha uso wako.

Binti yangu alisumbuka sana na kadhia hiyo ,katika kuhangaika nikaelekezwa tiba hiyo ,asante Mola ilisaidia na hakuwahi kuumwa tena.

NB: kuwa makini mchanganyiko wako usiingie machoni wakati wa kupakaa
 
Mmetaja vyote, ila kwa mimi the worst physical pain niliyoyapata ni pale nilipokinga panga na mkono ili wasinijeruhi kichwani. Wale washenzi walinipora simu yangu na wakaniachia na jeraha baya sana. Vidole vi4 vya mkono vingeenda chini dah!
 
Back
Top Bottom