Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
Yaani yale ni maumivu ya ajabu kuwahi kuwepo kwenye Dunia.Uchungu wa kuzaa🙌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani yale ni maumivu ya ajabu kuwahi kuwepo kwenye Dunia.Uchungu wa kuzaa🙌
Aisee hadi nimesisimka,alipona mkuu?Binafsi mimi mtu ambae nilimshuhudia akipitia maumivu.
Huyu dada alikuwa hospitali akiumwa saratani ya titi,
Titi lake lilikuwa limeoza kwa upande wa kwapa huku.
Huyu dada dawa ya kuzuia maumivu ilikuwa ikiisha nguvu alikuwa analia sana.
Alikuwa anaumia sana.
Inasikitisha sana.
Inatibu nini mkuu. Usikute ulikunywa kwa ajili ya shoo nzito🤣🤣😂Wakuu habari za humu ndani.
Hivi ni maumivu gani makali zaidi ya mwili wa binadamu ushawahi ku experience au uliona mtu anapitia ukaona kabisa ni maumivu makali kwa binadamu.
Kwangu mimi ni maumivu ya tumbo,kuna siku niliwahi changanya pilipili kichaa na vitunguu swaumu nikabrend then nikanywa aisee maumivu niliyoyapata sitakuja kusahau.Niliona Israel huyu hapa kaja kunisalimia.Tumbo linauma asikuambie mtu.
Je ni ni maumivu gani makali zaidi ya mwili?
Unakua kichaa kwa muda arghYaani yale ni maumivu ya ajabu kuwahi kuwepo kwenye Dunia.
Mimi naona kutoa kiumbe duniani hapa Wanawake wenzangu mnaelewa pili maumivu ya jino.
Chukua pilipili kichaa zilizokomaa vyema ziponde / twanga kwenye kinu kisha loweka kwenye mafuta ya taa halafu weka juani kwa muda wa lisaa. Chovya kitambaa kwenye huo mchanganyiko halafu pangusa kwa namna ya kupakaa kwenye eneo linalouma (paji la uso) kisha kaa sehemu yenye utulivu kwa masaa walau manne kabla hujaenda kuosha uso wako.Kipanda Uso.
Unaona hadi macho yanataka kutokaa. Ni homa ambayo nimefanya tiba ya hospital na asili, ila bado nateseka nayo.
Sina habari kwa kweli.Aisee hadi nimesisimka,alipona mkuu?
Kuzaa mkuuKutoa kwa kuzaa kwa mda sahihi au abortion?
Pamoja na utu uzima wake, mama yangu mdogo alikuwa analia hadi anagaragara chini siku tatu au nne, hadi huruma na ni kila mwezi. Aliposhika ujauzito akapata mtoto hakuumwa vile tenaTumbo la period
Hauzidi maumivu ya kupitishiwa Spoku kwenye kichwa cha uume mpaka inatokea upande wa pili bila ganziUchungu wa kuzaa🙌
Hapo mwili utakuwa na alama ya vidoti km mvuta sigara kazimia fegi mwilini mwako 😹 Pole sanaMaumivu ya kuumwa tetekuwanga