Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Aisee pole sana. Mimi Mwenyewe inajua kunionea sio kidogoYaani hii kitu imenitesa tangu nikiwa mdogo. Nimekula midawa mpk usioijua.
Yaani km unaeumwa na uchungu na mtt hatoki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee pole sana. Mimi Mwenyewe inajua kunionea sio kidogoYaani hii kitu imenitesa tangu nikiwa mdogo. Nimekula midawa mpk usioijua.
Yaani km unaeumwa na uchungu na mtt hatoki
Thanks.Aisee pole sana. Mimi Mwenyewe inajua kunionea sio kidogo
Na kunywa maji mengi. Nimejiwekea na ratiba za kunywa ukwajuThanks.
Ila saivi nashkuru sana. Natumia sana mbogamboga zinasaidia. Hasa mchicha
Kweli eeh. Ukwaju nao mjarab 👌Na kunywa maji mengi. Nimejiwekea na ratiba za kunywa ukwaju
Kuna Ile unalima afu mpini wa jembe ukugonge kwenye mguu mfupa wa mbele....sijui mnanielewa!Wakuu habari za humu ndani.
Hivi ni maumivu gani makali zaidi ya mwili wa binadamu ushawahi ku experience au uliona mtu anapitia ukaona kabisa ni maumivu makali kwa binadamu.
Kwangu mimi ni maumivu ya tumbo,kuna siku niliwahi changanya pilipili kichaa na vitunguu swaumu nikabrend then nikanywa aisee maumivu niliyoyapata sitakuja kusahau.Niliona Israel huyu hapa kaja kunisalimia.Tumbo linauma asikuambie mtu.
Je ni ni maumivu gani makali zaidi ya mwili?
Hakika, hata huyu Dada alikuwa anatumia morphine ile ya syrup.Kama umeenda Ocean Road Cancer Institute kumuangalia mgonjwa kuna wale waliofikia stage ya mwisho wanapigwa morphine tu kuwapunguzia maumivu, inasikitisha sana.
Since 2012 mayKunamuda gani tangu umen'goa gego ?
Kuna siku na mie nliumwa na tumbo km hilo. Ilikuwa gesi sijui, maana nikitoka kula mihogo.Kuna siku nataka kusafiri kesho yake.. jicho from no where jamani likaanza kuuma..wee liliniumaaa jamanii liliumaaa nikaanza kulia ndo sasa nikahisi linaanguka..mpk saa 10 alfajiri nilishakata tamaa sisafiri tena moyo unaumaa..nilishaomba mpk basi...hatimae likapoa ila sijui ilikua ni nini mpk leo sijawahi pata ile hali
Tumbo nalo uwiiii kuna siku niliamka saa nne tumbo kama utani..likaanza jamani lile tumboo...sijui ni nini nilikua nasikia moyo unapigia hapo kwny mbavu....siharishi sitapiki...yani nahisi kufaa natambaa jasho linatoka...mwili wote...nikasema sasa nipige simu nitafia ndani...lakini kabla sijapiga simu nikasema ninywe maji..sijui ndo ilikua dawa ilee...likapungua kuuma mpk kupoa..
Maumivu ya kujifungua ni hatari sanaaa...sema huwa tunavikwa ujasiri na Mungu...
#Hakuna kitu kwny mwili wa binadamu ambacho hakiumi...##
Ni zaid ya mwanaume kubakwa na watu naneBawasiri inaumaje mkuu
Nilitaka niandike yangu,nikaona hii nikasoma, nimeona nitulie kwanza mpaka mwili umesisimka.Mgonjwa cancer ya tezidume anaposhindwa kukojoa anapowekewa ule mpira wa mkojo. Aisee usiombe kuona, ule mrija(catheter) una urefu zaidi ya futi moja, unene kama kalamu ya speedo unapenyezwa kwenye tundu la mboo hadi ufike kwenye kibofu cha mkojo. Narudia kusema usiombe kushuhudia ama yakukute.
Kubinywa ngozi ya pumbuWakuu habari za humu ndani.
Hivi ni maumivu gani makali zaidi ya mwili wa binadamu ushawahi ku experience au uliona mtu anapitia ukaona kabisa ni maumivu makali kwa binadamu.
Kwangu mimi ni maumivu ya tumbo,kuna siku niliwahi changanya pilipili kichaa na vitunguu swaumu nikabrend then nikanywa aisee maumivu niliyoyapata sitakuja kusahau.Niliona Israel huyu hapa kaja kunisalimia.Tumbo linauma asikuambie mtu.
Je ni ni maumivu gani makali zaidi ya mwili?