Ule mpira wa sembo , sitausahau wakati nafanya makaratee uwanjani lilipigwa shuti kali likatandika balls za muumba aiseh kifo hakina huruma.
Pia ulisha wai kidaka mpira kwa Mikono mitupu wakati wa penati ukikutana shuti Kali kama la drogba utajua hujui
Pia ulisha wai kidaka mpira kwa Mikono mitupu wakati wa penati ukikutana shuti Kali kama la drogba utajua hujui