min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Wa kwetu hakuna kitu kinauma ila mbupu ziweke mbali na watu wa ovyo.Kuna siku nataka kusafiri kesho yake.. jicho from no where jamani likaanza kuuma..wee liliniumaaa jamanii liliumaaa nikaanza kulia ndo sasa nikahisi linaanguka..mpk saa 10 alfajiri nilishakata tamaa sisafiri tena moyo unaumaa..nilishaomba mpk basi...hatimae likapoa ila sijui ilikua ni nini mpk leo sijawahi pata ile hali
Tumbo nalo uwiiii kuna siku niliamka saa nne tumbo kama utani..likaanza jamani lile tumboo...sijui ni nini nilikua nasikia moyo unapigia hapo kwny mbavu....siharishi sitapiki...yani nahisi kufaa natambaa jasho linatoka...mwili wote...nikasema sasa nipige simu nitafia ndani...lakini kabla sijapiga simu nikasema ninywe maji..sijui ndo ilikua dawa ilee...likapungua kuuma mpk kupoa..
Maumivu ya kujifungua ni hatari sanaaa...sema huwa tunavikwa ujasiri na Mungu...
#Hakuna kitu kwny mwili wa binadamu ambacho hakiumi...##