Ni maumivu gani makali zaidi ya mwili?

Ni maumivu gani makali zaidi ya mwili?

Sijawahi kuexperience ila inasemekana kuwa Kidney Stones ( Mawe Mawe katika figo) ndio kitu kilicho kuwa na maumivu makubwa Kuliko yote katika Mwili wa Mwanadamu.
 
Sijawahi kuexperience ila inasemekana kuwa Kidney Stones ( Mawe Mawe katika figo) ndio kitu kilicho kuwa na maumivu makubwa Kuliko yote katika Mwili wa Mwanadamu.
Kwahiyo mkuu hujawahi umwa chochote mwilini mwako
 
Jino,sikio.Nakumbuka kunakipindi nilikua nyumbani uzazi WA mtoto wangu wa pili.Jioni nimekaa dining nakunywa mtori Ile nimetafuna nyama nikajisahau nikatafunia Jino lililokua linauma.Maumivu yake nilijikuta nimeenda sebleni kukunja nguo zilizokua zimeanuliwa (hamna alieniambia).Mama akanikuta "vipi ushamaliza Kula"Mimi Niko mhmh nasubiri upoe.
 
Kuna mtu alinipanga humu jf inaongeza nguvu zaidi ya mamba kwenye kufanya ududu
Humu unatakiwa kukaa kitaalamu. Humu nilishaona threads za ovyo sana mfn. Ukitakaa kurefusha uume pakaa pilipili na aloevera.
Nyingine ukitaka demu asikuache mnyonye mkundu (Hii nilijaribu cha ajabu yule malaya aliniachaga aise).
 
Hiyo ya mfupa nilishuhudia pale keko mwez wa 11 jamaa aliruka vibaya katika kushuka na daladala mguu wa kulia wote ulisagika pale pale
Tuwe makini sana tunaposhuka aisee, kuna watu huiga kuruka kama wafanyavyo wapiga debe na makonda. Chuma inatembea yeye anataka kuruka, bahati mbaya hawajui mguu wa kutanguliza, mwingine anasharuka tu ka anarukia shimoni.
Bora usubiri gari isimame ushuke tu kama huwezi kuruka.
 
mapenzi . yana wa drive wengi crazy tena sana bora hayo maumivu mengine yataisha ila ukiangalia wengi humu jamii forum wana maumivu na ukishindwa kipengele cha forgive and forget utapata tabu sana
 
Kuna lile chango wanapita linaumaga hata usipokuwa Mp Yani 😂😂😂nilikuwa natambaa tu 😂😂 na kulala nimebinua Tako juu😂😂😂 majirani walicheka badae nilivopona
"Na kulala nimebinua tako juu"😅😅😅😅
 
Wakuu habari za humu ndani.
Hivi ni maumivu gani makali zaidi ya mwili wa binadamu ushawahi ku experience au uliona mtu anapitia ukaona kabisa ni maumivu makali kwa binadamu.

Kwangu mimi ni maumivu ya tumbo,kuna siku niliwahi changanya pilipili kichaa na vitunguu swaumu nikabrend then nikanywa aisee maumivu niliyoyapata sitakuja kusahau.Niliona Israel huyu hapa kaja kunisalimia.Tumbo linauma asikuambie mtu.

Je ni ni maumivu gani makali zaidi ya mwili?
Tumbo aisee
 
Back
Top Bottom