Ni mauzauza gani ulishawahi kukutana nayo barabarani?

Leo amesafiri naona upo jf muda huu saa nane usiku
 
Hatari sana
 
Duh, dereva naye alikuwa kajisindika
 
Aisee, kumbe na wewe shule ulienda kusomea digrii ya ujinga
 
Write your reply...Yaani nihatari tupu barabarani , kunasiku nipo na chopa yangu rodini mida ya saa4 usiku nikawa nakutana na warembo kibao. Aiii! mara nakatiza kipori flani hivi mara nakutana na kademu nikajisemea chakujitesea nini nikatupia vocal kiaina dakika mbili mtoto katiki piga gori mbili chapu nikaendelea na safari Aise!! yani barabarani mauzauza nimengi mno ni Nungutu anatuepushia na madhara yake yanakuwa machache.
 
Khaaa ulikaa siti ya ngapi ukamuona?
Unajua hata prado TX ikiwa kwa mwendo kwenye tuta uhisi kama umeligusa🤣🤣.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…