Ni mauzauza gani ulishawahi kukutana nayo barabarani?

Ni mauzauza gani ulishawahi kukutana nayo barabarani?

Mnachezewa kijinga sana na hayo mnayoita mauzauza. Usiendeshe gari under the influence of alcohol na ukichoka lala.

download.jpg
 
Majira ya saa 10 alasiri Same kilimanjaro nikielekea Dar, ndani ya gari tupo watatu, mmoja dada askari JkT amekaa kushoto kwangu.

Ghafla akatokea Nyoka mkubwa tokea kushoto mwa barabara kuelekea kulia.

Ninawaambia mnameona yule nyoka?
Wote wananishangaa hawaoni kitu.

Jambo la ajabu nilipofika eneo alokatisha nyoka upepo ulivuma sana kiasi cha gari kuhama barabarani.

Nilibaki na maswali hadi leo
Itakua kirinjiko hiyo kuna upepo mkali sana pale ....Kuhusu nyoka..Same ni moja ya eneo lenye nyoka wengi sana,
Nafkir uwepo wa mbuga ya mkomazi imechangia pia
 
Back
Top Bottom