Ni mauzauza gani ulishawahi kukutana nayo barabarani?

Mnachezewa kijinga sana na hayo mnayoita mauzauza. Usiendeshe gari under the influence of alcohol na ukichoka lala.

 
Itakua kirinjiko hiyo kuna upepo mkali sana pale ....Kuhusu nyoka..Same ni moja ya eneo lenye nyoka wengi sana,
Nafkir uwepo wa mbuga ya mkomazi imechangia pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…