Hivi kumbe ujaolewa..???Miezi miwili tu pazibe
Hahaaa kuna mtu anakufanyia kamchezo twende kwa msisiJuzi jumatano nilikua namnunulia mtu voucher kwenye max malipo ya elfu 10 nikakosea namba ikaenda kwa mtu mwingine. Leo asubuhi nilikua namtumia dogo hela nikakosea hapa nasubiri ndani ya hizi siku 3 irudishwe hiyo hela maana ilikua ni hela ya dogo nimepewa na mtu nimpe ikapitishwa kwangu.
Kinachoniuma zaidi ni sasa hivi nilikua nalipia tena king'amuzi nimekosea namba elfu 69 yangu imeenda na maji.
Inawezekana nina mawazo sana bila kujijua ndo maana nakosea sana au nimekua mzembe tu? Maana hali Hii si kawaida kabisa
Utaolewa tuuh, shida yenu masharti mengi kama wagaga wa jadi..!Kuolewa mchezo ndugu yangu??? Nashukuru kwa kuniwazia mazuri pia
Kanda kichwa na mafuta ya mzaituni kumbukumbu yako iwe sharp....[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]. Sawa
Pole sana,kuna kitu kimekuondolea kujiamini (self confidence).Nakosea kwenye hela tu. [emoji21]
Miezi miwili ni mingi sana.kitu kingine kinachomfanya mtu asahau au kupoteza umakini ni pombe.huwa sometimes inapunguza kwa mda kumbukumbu.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Hahahaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Inawezekana kweli ujue
Tiba ya ugonjwa wa kusahau ndogo sanaKawaida vipi mkuu?