Ni mawazo yamenizidi au uzembe?

Ni mawazo yamenizidi au uzembe?

Juzi jumatano nilikua namnunulia mtu voucher kwenye max malipo ya elfu 10 nikakosea namba ikaenda kwa mtu mwingine. Leo asubuhi nilikua namtumia dogo hela nikakosea hapa nasubiri ndani ya hizi siku 3 irudishwe hiyo hela maana ilikua ni hela ya dogo nimepewa na mtu nimpe ikapitishwa kwangu.
Kinachoniuma zaidi ni sasa hivi nilikua nalipia tena king'amuzi nimekosea namba elfu 69 yangu imeenda na maji.
Inawezekana nina mawazo sana bila kujijua ndo maana nakosea sana au nimekua mzembe tu? Maana hali Hii si kawaida kabisa
Mara ya mwisho kukutana na mwenzako lini?
 
Kukosea namba kwenye simu kutokana na matatizo ya macho na si mawazo kama unavyofikiria.
Ya vocha nilikua naona kabisa 5 halafu nasema 6. Alivyomakiza kununua tu kabla hajanipa risiti nikamuuliza kama alikua anaweka 5 au 6. Nahisi uzembe zaidi.
 
Mganga wa kienyeji ninapatikana hapa kwa huduma kupitia piem....
1. Ninatibu maradhi ya kukosea kutuma hela.
2. Ninatibu maradhi ya kukosea kufanya muamala.
3. Ninatibu msongo wa mawazo ambao hupelekea kusahau.
4. Ninatibu kusahau ambapo husababisha kujilaumu.
5. Pia ninatibu na kadhalika.

Nyote nawakaribisha piem
 
Mganga wa kienyeji ninapatikana hapa kwa huduma kupitia piem....
1. Ninatibu maradhi ya kukosea kutuma hela.
2. Ninatibu maradhi ya kukosea kufanya muamala.
3. Ninatibu msongo wa mawazo ambao hupelekea kusahau.
4. Ninatibu kusahau ambapo husababisha kujilaumu.
5. Pia ninatibu na kadhalika.

Nyote nawakaribisha piem
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom