Ni mawazo yamenizidi au uzembe?

Ni mawazo yamenizidi au uzembe?

Kuna demu wangu wa form five na six(Juliet), aliporwa na kigogo mmoja (masha) wakati wake nilitamni kujiua sina hamu na nyie viumbe wa ifm tena..!
Polee. Ila huyo kigogo alipita tu maaba angekua mwanamke wake kabisa kabisa ningemjua
 
We acha tuuh..! Si kwa chura ile juliet nilijua nitaporwa tuuh..!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Kumbe ulitaka mwenyewe stress. Mwanamkee mwenye chura kaa nae ukiwa unajiaminu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Kumbe ulitaka mwenyewe stress. Mwanamkee mwenye chura kaa nae ukiwa unajiaminu
Alikuwa na chura balaaa..! Mh. Alifika bei kidume niligugumia maumivu hatari mno, nilianza naye mbali aisei, kama yuo humu akisoma ataelewa tuuh
 
Juzi jumatano nilikua namnunulia mtu voucher kwenye max malipo ya elfu 10 nikakosea namba ikaenda kwa mtu mwingine. Leo asubuhi nilikua namtumia dogo hela nikakosea hapa nasubiri ndani ya hizi siku 3 irudishwe hiyo hela maana ilikua ni hela ya dogo nimepewa na mtu nimpe ikapitishwa kwangu.
Kinachoniuma zaidi ni sasa hivi nilikua nalipia tena king'amuzi nimekosea namba elfu 69 yangu imeenda na maji.
Inawezekana nina mawazo sana bila kujijua ndo maana nakosea sana au nimekua mzembe tu? Maana hali Hii si kawaida kabisa
Una tatizo kubwa sana. Nicheki PM kwa ushauri nasaha...
 
Back
Top Bottom