Polee. Ila huyo kigogo alipita tu maaba angekua mwanamke wake kabisa kabisa ningemjuaKuna demu wangu wa form five na six(Juliet), aliporwa na kigogo mmoja (masha) wakati wake nilitamni kujiua sina hamu na nyie viumbe wa ifm tena..!
We acha tuuh..! Si kwa chura ile juliet nilijua nitaporwa tuuh..!Polee. Ila huyo kigogo alipita tu maaba angekua mwanamke wake kabisa kabisa ningemjua
News Alert: - Natafuta mwanamke wa Kuoa nipo serious Kwa hili.Maisha mkuu. Nilivuka salama na siwazi tena huo upuuzi.
Ha ha ha chura weseleWe acha tuuh..! Si kwa chura ile juliet nilijua nitaporwa tuuh..!
Nashukuru. Ngoja nimwendee pmNews Alert: - Natafuta mwanamke wa Kuoa nipo serious Kwa hili.
[emoji115][emoji115]Mume huyo hapo...!
Alikuwa na chura balaaa..! Mh. Alifika bei kidume niligugumia maumivu hatari mno, nilianza naye mbali aisei, kama yuo humu akisoma ataelewa tuuh[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Kumbe ulitaka mwenyewe stress. Mwanamkee mwenye chura kaa nae ukiwa unajiaminu
Kuwa serious nitakuja kula ubwabwa..! Siku ukikosa kabisakabisa njoo nikutoe kimasomaso[emoji16][emoji16][emoji16][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Nashukuru. Ngoja nimwendee pm
Asante!Poleee
Una tatizo kubwa sana. Nicheki PM kwa ushauri nasaha...Juzi jumatano nilikua namnunulia mtu voucher kwenye max malipo ya elfu 10 nikakosea namba ikaenda kwa mtu mwingine. Leo asubuhi nilikua namtumia dogo hela nikakosea hapa nasubiri ndani ya hizi siku 3 irudishwe hiyo hela maana ilikua ni hela ya dogo nimepewa na mtu nimpe ikapitishwa kwangu.
Kinachoniuma zaidi ni sasa hivi nilikua nalipia tena king'amuzi nimekosea namba elfu 69 yangu imeenda na maji.
Inawezekana nina mawazo sana bila kujijua ndo maana nakosea sana au nimekua mzembe tu? Maana hali Hii si kawaida kabisa
Ukichelewa usinilaumu...Sawa babu nakuja
Juzi tu umewakataza single mothers ku-do sasa unataka afanyeje mwenzio!Poole nyege hzo