kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Prof muruma na osoro , wanatuabisha mahakama kimataifa na wanajuta wanamkumbuka chadema na lisuBaada ya kuachiwa wameleta tija gani??
jitegemeeni bana,
mbona CHAUMA wanajitegemea hawapati fedheha hizi jamani π
Kama umejua vilekusaidiwa mara kwa mara π
Mazoea hujenga tabia ,(begging is the last thing to do in life)Ni vizuri zaidi kumshukuru na kumuomba mungu kila wakati, bila kuchoka wala kukata tamaa.
Sio tabia njema wala sio tabia nzuri kujenga mazingira au hali ya huruma na kuombaomba kwa wanyonge ambao hawawezi kukataa kuchangia kwasabb wamefundishwa utamaduni kutoa. Utamaduni na malezi haya sio fursa ya kuchangiwa ndugu zangu π
Ni vizuri na muhimu sana kujifuza kujitegemea. Kufanya kazi kwa bidii ili kujiongezea kipato cha kutosha na kuepuka fedheha na aibu ya kutegemea kuomba na kuchangiwa mara kwa mara.
Ni aibu na fedheha kubwa kwa wana familia, ndugu, jamaa, marafiki na taasisi uliopo na kwamba kuomba omba kwako kuna maanisha, hawakujali, hawana uwezo, hawakusaidii na hawana kabisaa msaada kwako. Unawaumiza, unawafedhehesha hawasemi lakini wanaumia sana, hujui tu π
Omba omba ni serikali ya chama Cha mapinduzi CCM kwa wazungu nina uhakika hata bajeti ya nchi kwa asilimia kubwa ni mkono wa mabeberuNi vizuri zaidi kumshukuru na kumuomba mungu kila wakati, bila kuchoka wala kukata tamaa.
Sio tabia njema wala sio tabia nzuri kujenga mazingira au hali ya huruma na kuombaomba kwa wanyonge ambao hawawezi kukataa kuchangia kwasabb wamefundishwa utamaduni kutoa. Utamaduni na malezi haya sio fursa ya kuchangiwa ndugu zangu π
Ni vizuri na muhimu sana kujifuza kujitegemea. Kufanya kazi kwa bidii ili kujiongezea kipato cha kutosha na kuepuka fedheha na aibu ya kutegemea kuomba na kuchangiwa mara kwa mara.
Ni aibu na fedheha kubwa kwa wana familia, ndugu, jamaa, marafiki na taasisi uliopo na kwamba kuomba omba kwako kuna maanisha, hawakujali, hawana uwezo, hawakusaidii na hawana kabisaa msaada kwako. Unawaumiza, unawafedhehesha hawasemi lakini wanaumia sana, hujui tu π
Hivi hayo mambo ya kuchangishana yanatoka wapi kwani hauna budget yake?Mwenge wa Uhuru licha ya kuwa hauna tija, Hadi Leo umegeuka kero kuchangisha watu bila ridhaa Yao.
Tija ni Mzee kulala CHATTLEBaada ya kuachiwa wameleta tija gani??
kibaraka alichangiwa na hawa wanyonge, kwa matibabu wakati alipata shida, mabwenyenye ya magharibi yakasema yatamtibu bure, alipopona, akawaomba diaspora wamchangie pesa, eti kwajili ya ada ya watoto wake ataabika akishindwa kuwalipia, wakamchangia millions of dollars πOmba omba ni serikali ya chama Cha mapinduzi CCM kwa wazungu nina uhakika hata bajeti ya nchi kwa asilimia kubwa ni mkono wa mabeberu
kisiasa hiyo ni namna ya kuipaint taasisi yake yaani chadema, kwamba haimjali na wala haimsaidii chochote, ispokua wanachama wake ndio wanaomsaidia,Hivi hayo mambo ya kuchangishana yanatoka wapi kwani hauna budget yake?
Kama ni rahisi omba na ww, yeye anatuomba sisi tunaoona thamani yake, mbona ww unachangia mwenge wa uhuru, kwani serekali imeshindwa?mshahara, pesa za matibabu na marupurupu vilitosha kununua gari ya maana sana π
kwasabb ya mazoea mabaya sana ya kuomba omba ndio maana tena anaomba achangiwe, haitapita mwaka ataomba achangiwe mafuta π
Ni kweli serikali ombaomba ya ccmNi vizuri zaidi kumshukuru na kumuomba mungu kila wakati, bila kuchoka wala kukata tamaa.
Sio tabia njema wala sio tabia nzuri kujenga mazingira au hali ya huruma na kuombaomba kwa wanyonge ambao hawawezi kukataa kuchangia kwasabb wamefundishwa utamaduni kutoa. Utamaduni na malezi haya sio fursa ya kuchangiwa ndugu zangu π
Ni vizuri na muhimu sana kujifuza kujitegemea. Kufanya kazi kwa bidii ili kujiongezea kipato cha kutosha na kuepuka fedheha na aibu ya kutegemea kuomba na kuchangiwa mara kwa mara.
Ni aibu na fedheha kubwa kwa wana familia, ndugu, jamaa, marafiki na taasisi uliopo na kwamba kuomba omba kwako kuna maanisha, hawakujali, hawana uwezo, hawakusaidii na hawana kabisaa msaada kwako. Unawaumiza, unawafedhehesha hawasemi lakini wanaumia sana, hujui tu π
Namuomba na kumuamini Mungu pekeyake....Kama ni rahisi omba na ww, yeye anatuomba sisi tunaoona thamani yake, mbona ww unachangia mwenge wa uhuru, kwani serekali imeshindwa?
nikueleze tu gentleman ,Ni kweli serikali ombaomba ya ccm
Inawawaomba sana wanyonge kupitia tozo na Kodi,
Lakini pia kupitia waziri wa fedha serikali hii dhaifu imekuwa ikitembeza bakuli kwa wahisani kwa ajili ya kuomba hela za kuendesha serikali
Juzi tu wafanyabiashara wote tuliomba tuchangie mbio za mwenge
Na hivi tunakaribis uchaguzi mkuu tutaombwa tuchangie kampeni
Niliona mahali walimu na watumishi wa umma Wakilazimishwa kuchangia hela ya kumchukulia fomu mwenyekiti wa chama flan ili apitishwe kugombea uraisi
unajua kuombaomba kuchangiwa ni mazoea na ubinafsi mbaya wa kiwango cha juu sana πHao waliopo madarakani wameshakula sana Fadhili za Nchi sasa ni wakati muafaka wakangβatuka madarakani ili wawaachie Watanzania wenzao nao waanze kula Neema za Nchi ,
Wakifanya hivyo utaona mambo ya kuchangiwa changiwa yataisha ,
Ubaya wa watu walafi huwa hawataki kabisa kuwaachia na wengine wahomondole Neema za Nchi ππ«΅