Ni mazoea mabaya kuombaomba kuchangiwa mara kwa mara

Ni mazoea mabaya kuombaomba kuchangiwa mara kwa mara

Kila mtu afanye maisha yake.Acha kuangaika na kuwashwa na maisha ya watu.wewe kama nyota haing'ai punguza wivu kwa waliobarikiwa.Watu tunachanga hadi damu sembuse pesa.
ni lazima kukemea tabia na utamaduni usio faa. kujitegemea ni jambo la maana zaidi. kungarisha nyota kwa fedheha ya kuomba omba mara kwa mara ni aibu sana kwa watoto, wazazi na wanaFamilia kwa ujumla 🐒
 
nikueleze tu gentleman ,

hizo stori na porojo unaleta haiwezi kuficha ile aibu na fedheha familia wana pitia, marafiki wanapitia, ndugu, jamaa, chadema na Taifa kwa ujumla wanapitia, juu ya ombaomba hii ya mara kwa mara ya huyu muungwana kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi. Inaumiza sana aise 🐒

Lakini jambo ambalo wengi hafahamu, hiyo ni exit signal ya huyo kibaraka ndani ya Chadema. Anaondoka huyo. Kwa ombaomba hii anataka kuaminisha uma kwamba chadema haimjali wala haina uwezo wa kumnunulia gari ila wanachama wake 🐒

hayo ni mazingira ya kuondoka chadema na wanachama wake, coz baadae ataomba achangiwe mafuta coz chama hakitoi mafuta kwa gari binafsi 🐒

at the end ataomba achangiwe kila kitu na mwisho wa siku itaonekana ni useless kua chadema coz haimsaidii chochote bora aanzishe chama au ahamie chama kingine kuliko kuendelea kua kwenye chama kisicho mthamini 🐒
Ccm mbona ,inaomba sana ni aibu kwa nani?

Chadema hela wataitoa wapi zaidi ya michango ya wanachama na ndicho kinachofanyika

Hayo mambo ya exit ni hisia zako tu
Hata mama yenu hajaonekana wiki mbili ameshindwa kuhudhulia kikao Cha kamati kuu

Tusema naye ni exit?
 
ni mambo ya kushangaza kidogo....

mfano kuna mwanasiasa anapitisha mchango sasa hivi.
Yes, alikua mgonjwa na alichangiwa vya kutosha matibabu yake ingawa alilipiwa na wasio waTz pia huko ng'ambo....

alivyopona,
akarejea nyumbani na alikua na madai yake kwa serikali ya pesa za matibabu, mishahara pamoja na kiunua mgongo. amelipwa akiwa amepona kabisa na akakiri kua amelipwa....

hivi kweli hakua anajua kwamba atajitahidi gari kwa matumizi yake ya kawaida na hivyo akaamua kufuja hizo pesa, kwa matarajio ya kuomba kuchangiwa tena zoezi ambalo linaendelea?

si mazoea mabaya hayo?
nakuhakikishieni, mwakani ataomba tena achangiwe kama sio gari lingine basi mafuta ya gari 🐒
Umeongea kweli tupu ila kwakua watanzania ni wanafiki wakubwa watakupinga wewe na wengine wenye mtazamo huu
 
najiskia kukupatia ng'ambe wa maziwa, umfuge na kuvuna maziwa yakupatie kama hizo nyingi zaidi halafu sifa, utukufu na shukrani viwe kwa Mungu, right?
😂😂😂😂😂 Ameeeeen,, praise the Lord everybody
 
Ccm mbona ,inaomba sana ni aibu kwa nani?

Chadema hela wataitoa wapi zaidi ya michango ya wanachama na ndicho kinachofanyika

Hayo mambo ya exit ni hisia zako tu
Hata mama yenu hajaonekana wiki mbili ameshindwa kuhudhulia kikao Cha kamati kuu

Tusema naye ni exit?
nakusanua unashupaza shingo shauli yao, watch it 🐒

kwahiyo baada ya kumchangia huyu muungwana alie omba kuchangiwa gari,
na umekiri chadema kinaendeshwa na wanachama,

je, kuchangia mafuta kutaanza lini?

na mafuta ya gari ya chairman huchangiwa na nani wapi?

na hiyo gari ni ya chama au ya kibaraka mwenyewe as personal 🐒
 
We jamaa empty headed, yaani unaongelea mambo ya kujitegemea wakati bajeti ya nchi iliyosomwa juzi 80% inategemea misaada?

Alafu unajiita mbunge
Hi nchi Ina wapumbavu wengi sana
 
Huyu bwana alikuwa uhamishonii kwenye matibabu ndo amerejea
Stahiki zake hajalipwa hana kipato.
Bado hapata kazi za uwakili
Sioni shida akiomba msaada apate pa Kuanzia

Tutamlaumu ikiwa tutamchangia Leo
Alafu akirudi tena kesho kuombwa michango bila sababu za msingi
 
Umeongea kweli tupu ila kwakua watanzania ni wanafiki wakubwa watakupinga wewe na wengine wenye mtazamo huu
muhimu zaidi ni wachache tu waelewe na itapendeza zaidi mkuu...

yaani kwa hali ilivyo nchini kwa sasa, kuchange mindset ya generations tofauti tofauti kua na aim na understanding ya pamoja ni kazi sana but slowly we can ....

and you know,
hapo ndipo tatizo liko🐒
 
Ni vizuri zaidi kumshukuru na kumuomba mungu kila wakati, bila kuchoka wala kukata tamaa.

Sio tabia njema wala sio tabia nzuri kujenga mazingira au hali ya huruma na kuombaomba kwa wanyonge ambao hawawezi kukataa kuchangia kwasabb wamefundishwa utamaduni kutoa. Utamaduni na malezi haya sio fursa ya kuchangiwa ndugu zangu 🐒

Ni vizuri na muhimu sana kujifuza kujitegemea. Kufanya kazi kwa bidii ili kujiongezea kipato cha kutosha na kuepuka fedheha na aibu ya kutegemea kuomba na kuchangiwa mara kwa mara.

Ni aibu na fedheha kubwa kwa wana familia, ndugu, jamaa, marafiki na taasisi uliopo na kwamba kuomba omba kwako kuna maanisha, hawakujali, hawana uwezo, hawakusaidii na hawana kabisaa msaada kwako. Unawaumiza, unawafedhehesha hawasemi lakini wanaumia sana, hujui tu 🐒
Ogopa sana mtu mwenye tabia ya kuombaomba na maisha anataka kuishi ya juu kwa kuombaomba. Hasa msomi kama lissu. Mtu aina hiyo anaweza kutumiwa kama kibaraka mzuri na adui wa taifa hata wenye kutaka kueneza mambo mabaya kama kuibia nchi au kupora uhuru wake. Juzi hapa mzee wetu Museveni kaonya kwamba ukiwa ombaomba unaweza pelekeshwa kua malaya hata kua shoga. Ni kupenda vya bure tu kwa sababu hiyo gari inatengenezeka kabisa na kua kama mpya na mwenyeye hajakosa uwezo.
 
muhimu zaidi ni wachache tu waelewe na itapendeza zaidi mkuu...

yaani kwa hali ilivyo nchini kwa sasa, kuchange mindset ya generations tofauti tofauti kua na aim na understanding ya pamoja ni kazi sana but slowly we can ....

and you know,
hapo ndipo tatizo liko🐒
Mbona hujapeleka hiyo elimu ya kuchange mindset za maccm wenzio

Au mindset change ni default kwa chadema
Kwenda zako na wivu wako na nia yako ovu
 
We jamaa empty headed, yaani unaongelea mambo ya kujitegemea wakati bajeti ya nchi iliyosomwa juzi 80% inategemea misaada?

Alafu unajiita mbunge
Hi nchi Ina wapumbavu wengi sana
gentleman,
nilienda kugombea ubunge kwa mara ya kwanza nina lak5 pekeyake mfukoni....

nilitumia usafiri wa piki piki aina ya baja kufanya kampeni zangu, tena baja kuu kuu kweli kweli, halina stakabadhi maalumu wala mad guard, break za kutafuta 🐒

ningekua mtu mvivu wa kuomba omba nani angeniamini na kuchagua kiongozi ombaomba?

ile bidii niko nayo, ile maombi kwa Mungu nilifanya, na ile roho ya ujasiri na kutokukata tamaa nilikua nayo ndio imenifanya kua kakitu mbele ya watu 🐒

there is no way,
unatamani au una nia ya kua kiongozi wa jamii halafu ukiwa na afya njema, nguvu, akili timamu, kazi na shughuli za kufanya zipo then eti unaomba omba sijui uchangiwe nini ati ndio uwe kiongozi mzuri 🐒

si,
ungekuja na hiyo pikipiki yao au gari yako mbovu huko kwenye kampeni then wanainchi waguswe na ugumu unayopitia kwa hiyo gari mbaya uko nayo ili una hoja za maana ndio wanainchi wenyewe wakuchangie?

You know kwa staili hiyo,
You have completely lost the support of undecided voters lakini pia the support of other parties, apart from chadema itself politically speaking 🐒
 
Mbona hujapeleka hiyo elimu ya kuchange mindset za maccm wenzio

Au mindset change ni default kwa chadema
Kwenda zako na wivu wako na nia yako ovu
suala la generations mindset sio issue ya ccm ama chadema pekee ni issue ya nchi nzima 🐒

ni suala pana sana nasita kuconfuse kamanda 🐒

La muhimu zaidi ni kujitegemea, tuache tabia ya kuchangiwa na kuombaomba 🐒
 
Ogopa sana mtu mwenye tabia ya kuombaomba na maisha anataka kuishi ya juu kwa kuombaomba. Hasa msomi kama lissu. Mtu aina hiyo anaweza kutumiwa kama kibaraka mzuri na adui wa taifa hata wenye kutaka kueneza mambo mabaya kama kuibia nchi au kupora uhuru wake. Juzi hapa mzee wetu Museveni kaonya kwamba ukiwa ombaomba unaweza pelekeshwa kua malaya hata kua shoga. Ni kupenda vya bure tu kwa sababu hiyo gari inatengenezeka kabisa na kua kama mpya na mwenyeye hajakosa uwezo.
Shukrani sana comrade kwa msisitizo wako Juu ya jambo hili la aibu na fedheha sana 👊💪
 
Huyu bwana alikuwa uhamishonii kwenye matibabu ndo amerejea
Stahiki zake hajalipwa hana kipato.
Bado hapata kazi za uwakili
Sioni shida akiomba msaada apate pa Kuanzia

Tutamlaumu ikiwa tutamchangia Leo
Alafu akirudi tena kesho kuombwa michango bila sababu za msingi
kwahiyo unataka kusema muungwana, aliudanganya umma kwa kusema uongo, kwamba baada ya kukutana na Rais, comrade Dr Samia Suluhu Hassan huko ughaibuni, madai na stahiki zake za mishahara pamoja na pesa ya matibabu yalilipwa...

unapotosha kwa makusudi ama hauna taarifa kamanda 🐒
 
Mlitaka lisu afe Mungu akaingilia kati akamtwa jiwe mwendazake bahari ikatulia taifa likapona
 
Mlitaka lisu afe Mungu akaingilia kati akamtwa jiwe mwendazake bahari ikatulia taifa likapona
nazungumzia tabia mbaya ya fedheha ya kuombaomba kusaidiwa mara kwa mara,

masuala ya kufa ni mipango ya Mungu. Mwili wako na wangu vitaliwa mchangani, hakuna haja kuringa sana :BASED:
 
Mtu amelipwa mamilioni kayasunda halafu akitaka gari ya kifahari anawaomba nyie makapuku mumchangie! Wale viherehere nao wanachanga!
 
kibaraka alichangiwa na hawa wanyonge, kwa matibabu wakati alipata shida, mabwenyenye ya magharibi yakasema yatamtibu bure, alipopona, akawaomba diaspora wamchangie pesa, eti kwajili ya ada ya watoto wake ataabika akishindwa kuwalipia, wakamchangia millions of dollars 🐒

Pesa za join the chain naona zilimpitia juu kwa juu na machekbob pale party HQ, ndio maana alikua anang"aka sana, kujua zimetumikaje, maana anaona manyoya tu 🤣

haitoshi leo hii anaomba tena anchangiwe anunue gari la kifahari 🤣

I'm sure akifanikiwa Lazima ataomba tena anchangiwe mafuta ya hiyo gari na hii yote ni njia ya kuifanya chadema ionekane haimjali, lakini pia ni gia ya kuondoka chadema na watu kisiasa, na kujisambaratisha kabisa 🐒
Mabwanyenye ya magharibi hayalali usingizi yanahakikisha yakutengenezea ARV za kutosha uendelee kuzichanga buku 7 hapo kwenye viunga vya lumumba
 
Ni vizuri zaidi kumshukuru na kumuomba mungu kila wakati, bila kuchoka wala kukata tamaa.

Sio tabia njema wala sio tabia nzuri kujenga mazingira au hali ya huruma na kuombaomba kwa wanyonge ambao hawawezi kukataa kuchangia kwasabb wamefundishwa utamaduni kutoa. Utamaduni na malezi haya sio fursa ya kuchangiwa ndugu zangu [emoji205]

Ni vizuri na muhimu sana kujifuza kujitegemea. Kufanya kazi kwa bidii ili kujiongezea kipato cha kutosha na kuepuka fedheha na aibu ya kutegemea kuomba na kuchangiwa mara kwa mara.

Ni aibu na fedheha kubwa kwa wana familia, ndugu, jamaa, marafiki na taasisi uliopo na kwamba kuomba omba kwako kuna maanisha, hawakujali, hawana uwezo, hawakusaidii na hawana kabisaa msaada kwako. Unawaumiza, unawafedhehesha hawasemi lakini wanaumia sana, hujui tu [emoji205]
Ingekuwa akili inaweza kuchangiwa, ningekushauri uombe uchangiwe akili.

Mwalimu wakati anaenda UN kutafuta uhuru wa Tanganyika, gharama za safari yake zilichangiwa na wote waliokuwa na uwezo na dhamira njema. Hata wakati anazunguka nchi nzima kuwaelimisha watu, maisha yake yote yalifadhiliwa na watanzania wenye dhamira njema na nchi yao ya Tanganyika.

Ungeonekana ni mwendawazimu wa kiwango cha juu sana kama eti ungeanza kusema kuwa Mwalimu hakustahili kuchangiwa. Alikuwa na kazi ya mshahara, akaacha kazi ili awakomboe Watanzania, hana mshahara, unataka ale nini, aishi wapi, asafiri na nini, wakati ameamua kuacha yote kwaajili ya Watanganyika? Utakuwa ni kichaa kama unafikiri hakustahili kuchangiwa.

The same applies to Tundu Lisu. Ameacha yote, ameacha kazi za mshahara, ameamua kuwapambania Watanzania na nchi yake, anafanya hiyo kazi bila ya kuwa na mshahara. Halafu mwehu mmpja anasema eti hastahili kuchangiwa. Unamlisha wewe, anaishi kwako, anasafiri kwa gari lako?

Lakini pia kama wewe ni kapuku kabisa, hujalazimishwa kuchangia. Au kama wewe ni mtu mnafiki ambaye huoni umuhimu wa kazi anayofanya Lisu, kaa na pesa yako. Hakuna atakayekufuata nyumbani kwako kuwa eti unatakiwa kuchangia ununuzi wa gari ya kutumia Lisu. Hujachangia chochote, hujalazimishwa, lakini kwa ushetani wako, unaumia kuona wapo watu wanaochangia! Si bure, ni mgonjwa wewe.

Watu wote wanaofanya kazi kubwa za kujitolea kwaajili ya watu wengine, wanaopokea hiyo huduma, wenye uwezo, akili, na dhamira njema, huwa wanachanga ili kumwezesha huyo aliyejitolea kwaajili yao, aweze kumudu majukumu yake. Ndiyo maana huwa tunachanga kununua magari ya mapadre, maaskofu, hata mashekhe. Ikilazimu huwa tunachanga hata kuwanunulia mavazi ya ukihani. Tunachanga kwaajili ya chakula chao. Na hiyo siyo hisani, bali ni wajibu wetu kama wanufaika wa huduma yao.
 
Back
Top Bottom