ni lazima kukemea tabia na utamaduni usio faa. kujitegemea ni jambo la maana zaidi. kungarisha nyota kwa fedheha ya kuomba omba mara kwa mara ni aibu sana kwa watoto, wazazi na wanaFamilia kwa ujumla πKila mtu afanye maisha yake.Acha kuangaika na kuwashwa na maisha ya watu.wewe kama nyota haing'ai punguza wivu kwa waliobarikiwa.Watu tunachanga hadi damu sembuse pesa.
Ccm mbona ,inaomba sana ni aibu kwa nani?nikueleze tu gentleman ,
hizo stori na porojo unaleta haiwezi kuficha ile aibu na fedheha familia wana pitia, marafiki wanapitia, ndugu, jamaa, chadema na Taifa kwa ujumla wanapitia, juu ya ombaomba hii ya mara kwa mara ya huyu muungwana kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi. Inaumiza sana aise π
Lakini jambo ambalo wengi hafahamu, hiyo ni exit signal ya huyo kibaraka ndani ya Chadema. Anaondoka huyo. Kwa ombaomba hii anataka kuaminisha uma kwamba chadema haimjali wala haina uwezo wa kumnunulia gari ila wanachama wake π
hayo ni mazingira ya kuondoka chadema na wanachama wake, coz baadae ataomba achangiwe mafuta coz chama hakitoi mafuta kwa gari binafsi π
at the end ataomba achangiwe kila kitu na mwisho wa siku itaonekana ni useless kua chadema coz haimsaidii chochote bora aanzishe chama au ahamie chama kingine kuliko kuendelea kua kwenye chama kisicho mthamini π
Umeongea kweli tupu ila kwakua watanzania ni wanafiki wakubwa watakupinga wewe na wengine wenye mtazamo huuni mambo ya kushangaza kidogo....
mfano kuna mwanasiasa anapitisha mchango sasa hivi.
Yes, alikua mgonjwa na alichangiwa vya kutosha matibabu yake ingawa alilipiwa na wasio waTz pia huko ng'ambo....
alivyopona,
akarejea nyumbani na alikua na madai yake kwa serikali ya pesa za matibabu, mishahara pamoja na kiunua mgongo. amelipwa akiwa amepona kabisa na akakiri kua amelipwa....
hivi kweli hakua anajua kwamba atajitahidi gari kwa matumizi yake ya kawaida na hivyo akaamua kufuja hizo pesa, kwa matarajio ya kuomba kuchangiwa tena zoezi ambalo linaendelea?
si mazoea mabaya hayo?
nakuhakikishieni, mwakani ataomba tena achangiwe kama sio gari lingine basi mafuta ya gari π
πππππ Ameeeeen,, praise the Lord everybodynajiskia kukupatia ng'ambe wa maziwa, umfuge na kuvuna maziwa yakupatie kama hizo nyingi zaidi halafu sifa, utukufu na shukrani viwe kwa Mungu, right?
nakusanua unashupaza shingo shauli yao, watch it πCcm mbona ,inaomba sana ni aibu kwa nani?
Chadema hela wataitoa wapi zaidi ya michango ya wanachama na ndicho kinachofanyika
Hayo mambo ya exit ni hisia zako tu
Hata mama yenu hajaonekana wiki mbili ameshindwa kuhudhulia kikao Cha kamati kuu
Tusema naye ni exit?
muhimu zaidi ni wachache tu waelewe na itapendeza zaidi mkuu...Umeongea kweli tupu ila kwakua watanzania ni wanafiki wakubwa watakupinga wewe na wengine wenye mtazamo huu
Ogopa sana mtu mwenye tabia ya kuombaomba na maisha anataka kuishi ya juu kwa kuombaomba. Hasa msomi kama lissu. Mtu aina hiyo anaweza kutumiwa kama kibaraka mzuri na adui wa taifa hata wenye kutaka kueneza mambo mabaya kama kuibia nchi au kupora uhuru wake. Juzi hapa mzee wetu Museveni kaonya kwamba ukiwa ombaomba unaweza pelekeshwa kua malaya hata kua shoga. Ni kupenda vya bure tu kwa sababu hiyo gari inatengenezeka kabisa na kua kama mpya na mwenyeye hajakosa uwezo.Ni vizuri zaidi kumshukuru na kumuomba mungu kila wakati, bila kuchoka wala kukata tamaa.
Sio tabia njema wala sio tabia nzuri kujenga mazingira au hali ya huruma na kuombaomba kwa wanyonge ambao hawawezi kukataa kuchangia kwasabb wamefundishwa utamaduni kutoa. Utamaduni na malezi haya sio fursa ya kuchangiwa ndugu zangu π
Ni vizuri na muhimu sana kujifuza kujitegemea. Kufanya kazi kwa bidii ili kujiongezea kipato cha kutosha na kuepuka fedheha na aibu ya kutegemea kuomba na kuchangiwa mara kwa mara.
Ni aibu na fedheha kubwa kwa wana familia, ndugu, jamaa, marafiki na taasisi uliopo na kwamba kuomba omba kwako kuna maanisha, hawakujali, hawana uwezo, hawakusaidii na hawana kabisaa msaada kwako. Unawaumiza, unawafedhehesha hawasemi lakini wanaumia sana, hujui tu π
Mbona hujapeleka hiyo elimu ya kuchange mindset za maccm wenziomuhimu zaidi ni wachache tu waelewe na itapendeza zaidi mkuu...
yaani kwa hali ilivyo nchini kwa sasa, kuchange mindset ya generations tofauti tofauti kua na aim na understanding ya pamoja ni kazi sana but slowly we can ....
and you know,
hapo ndipo tatizo likoπ
gentleman,We jamaa empty headed, yaani unaongelea mambo ya kujitegemea wakati bajeti ya nchi iliyosomwa juzi 80% inategemea misaada?
Alafu unajiita mbunge
Hi nchi Ina wapumbavu wengi sana
suala la generations mindset sio issue ya ccm ama chadema pekee ni issue ya nchi nzima πMbona hujapeleka hiyo elimu ya kuchange mindset za maccm wenzio
Au mindset change ni default kwa chadema
Kwenda zako na wivu wako na nia yako ovu
Shukrani sana comrade kwa msisitizo wako Juu ya jambo hili la aibu na fedheha sana ππͺOgopa sana mtu mwenye tabia ya kuombaomba na maisha anataka kuishi ya juu kwa kuombaomba. Hasa msomi kama lissu. Mtu aina hiyo anaweza kutumiwa kama kibaraka mzuri na adui wa taifa hata wenye kutaka kueneza mambo mabaya kama kuibia nchi au kupora uhuru wake. Juzi hapa mzee wetu Museveni kaonya kwamba ukiwa ombaomba unaweza pelekeshwa kua malaya hata kua shoga. Ni kupenda vya bure tu kwa sababu hiyo gari inatengenezeka kabisa na kua kama mpya na mwenyeye hajakosa uwezo.
kwahiyo unataka kusema muungwana, aliudanganya umma kwa kusema uongo, kwamba baada ya kukutana na Rais, comrade Dr Samia Suluhu Hassan huko ughaibuni, madai na stahiki zake za mishahara pamoja na pesa ya matibabu yalilipwa...Huyu bwana alikuwa uhamishonii kwenye matibabu ndo amerejea
Stahiki zake hajalipwa hana kipato.
Bado hapata kazi za uwakili
Sioni shida akiomba msaada apate pa Kuanzia
Tutamlaumu ikiwa tutamchangia Leo
Alafu akirudi tena kesho kuombwa michango bila sababu za msingi
nazungumzia tabia mbaya ya fedheha ya kuombaomba kusaidiwa mara kwa mara,Mlitaka lisu afe Mungu akaingilia kati akamtwa jiwe mwendazake bahari ikatulia taifa likapona
Mabwanyenye ya magharibi hayalali usingizi yanahakikisha yakutengenezea ARV za kutosha uendelee kuzichanga buku 7 hapo kwenye viunga vya lumumbakibaraka alichangiwa na hawa wanyonge, kwa matibabu wakati alipata shida, mabwenyenye ya magharibi yakasema yatamtibu bure, alipopona, akawaomba diaspora wamchangie pesa, eti kwajili ya ada ya watoto wake ataabika akishindwa kuwalipia, wakamchangia millions of dollars π
Pesa za join the chain naona zilimpitia juu kwa juu na machekbob pale party HQ, ndio maana alikua anang"aka sana, kujua zimetumikaje, maana anaona manyoya tu π€£
haitoshi leo hii anaomba tena anchangiwe anunue gari la kifahari π€£
I'm sure akifanikiwa Lazima ataomba tena anchangiwe mafuta ya hiyo gari na hii yote ni njia ya kuifanya chadema ionekane haimjali, lakini pia ni gia ya kuondoka chadema na watu kisiasa, na kujisambaratisha kabisa π
Ingekuwa akili inaweza kuchangiwa, ningekushauri uombe uchangiwe akili.Ni vizuri zaidi kumshukuru na kumuomba mungu kila wakati, bila kuchoka wala kukata tamaa.
Sio tabia njema wala sio tabia nzuri kujenga mazingira au hali ya huruma na kuombaomba kwa wanyonge ambao hawawezi kukataa kuchangia kwasabb wamefundishwa utamaduni kutoa. Utamaduni na malezi haya sio fursa ya kuchangiwa ndugu zangu [emoji205]
Ni vizuri na muhimu sana kujifuza kujitegemea. Kufanya kazi kwa bidii ili kujiongezea kipato cha kutosha na kuepuka fedheha na aibu ya kutegemea kuomba na kuchangiwa mara kwa mara.
Ni aibu na fedheha kubwa kwa wana familia, ndugu, jamaa, marafiki na taasisi uliopo na kwamba kuomba omba kwako kuna maanisha, hawakujali, hawana uwezo, hawakusaidii na hawana kabisaa msaada kwako. Unawaumiza, unawafedhehesha hawasemi lakini wanaumia sana, hujui tu [emoji205]